Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Baada ya jana Trump kusaini amri ya kukata msaada kwa South Africa pamoja na kuruhusu kupewa hifadhi ya ukimbizi Marekani kwa wazungu wa Africa Kusini(Boers) anaosema wananyanyaswa na serikali ya Africa Kusini, wazungu wenyewe wa huko wamepuuzilia mbali hatua hizo wakipaza sauti kila kona kwamba wanaishi vizuri Africa Kusini na hawana haja ya ukimbizi kwenda kuishi Marekani!
Wazungu wa Africa Kusini hadi wale wanaoonekana kuwa bado na ukaburu wamekataa kata kata kwamba wanabaguliwa nchini humo! Elon anamdanganya sana Trump.
Wazungu wa Africa Kusini hadi wale wanaoonekana kuwa bado na ukaburu wamekataa kata kata kwamba wanabaguliwa nchini humo! Elon anamdanganya sana Trump.