kijanamtanashati
JF-Expert Member
- Aug 22, 2014
- 516
- 905
Hii ni tekinolojia ya muda mrefu sana wala siyo mpya. Japan wanayo kitambo sana Labda ni mpya hapa TanzaniaWazungu wameamua kutuletea smart toilet. Ukikaa ktk iki choo huna haja ya kujikamua ata kama nnya ikiwa ngumu mitambo inakukamua unastukia mzigo umeshashuka chini. Baada ya apo unasafishwa unapigwa msasa na kukaushwa maji. Amna tabu ya kuanza kushika maji au kujishika. Mambo yote yakiisha unasimama unavaa kyupi unaondoka tu amna kusafisha wala nini kinajisafisha wenyewe. Naomba serikali yetu tukufu ituletee vyoo ivi mashuleni na kwnye ofisi za umma. Maana maeneo haya yamezidi kua na changamoto nyingi kwnye vyoo. View attachment 2835800View attachment 2835801View attachment 2835801View attachment 2835802
Mkuu itasaidia sana usafi wa mazingiraWatumie wao huko
Mi bado natumia kopo ata kama choo cha kukaaVyoo vingine vinachochea ushoga, kuanza kupapaswa papaswa huko fyade ni hatari.
Binafsi hata choo cha kukaa cha kawaida sikikubali kabisa.
Ije itasaidia usafi wa mazingiraSasa si itakamua hadi visivyokuwa lazima vitoke? Hii isije Bongo
Wazungu wanatafuta kila namna ya kuichokonoa mikundu ya watu yan tujiandae kisaikolojia machoko watakuwa wengi sana manake choo kinachokonoa nyoro tena ? Daah aiseeWazungu wameamua kutuletea smart toilet. Ukikaa ktk iki choo huna haja ya kujikamua ata kama nnya ikiwa ngumu mitambo inakukamua unastukia mzigo umeshashuka chini.
Baada ya apo unasafishwa unapigwa msasa na kukaushwa maji. Amna tabu ya kuanza kushika maji au kujishika.
Mambo yote yakiisha unasimama unavaa kyupi unaondoka tu amna kusafisha wala nini kinajisafisha wenyewe. Naomba serikali yetu tukufu ituletee vyoo ivi mashuleni na kwnye ofisi za umma. Maana maeneo haya yamezidi kua na changamoto nyingi kwnye vyoo.
View attachment 2835800View attachment 2835801View attachment 2835801View attachment 2835802
kijanamtanashati inaelekea unapenda kushikwa shikwa na kuchezewa!... Hizo sehemu zako za haja kubwa!!!Baada ya apo unasafishwa unapigwa msasa na kukaushwa maji. Amna tabu ya kuanza kushika maji au kujishika.
Mambo yote yakiisha unasimama unavaa kyupi unaondoka tu amna kusafisha wala nini kinajisafisha