Wazungu waja na Smart Toilet au Choo Janja

Wazungu waja na Smart Toilet au Choo Janja

Wazungu wameamua kutuletea smart toilet. Ukikaa ktk iki choo huna haja ya kujikamua ata kama nnya ikiwa ngumu mitambo inakukamua unastukia mzigo umeshashuka chini.

Baada ya apo unasafishwa unapigwa msasa na kukaushwa maji. Amna tabu ya kuanza kushika maji au kujishika.

Mambo yote yakiisha unasimama unavaa kyupi unaondoka tu amna kusafisha wala nini kinajisafisha wenyewe. Naomba serikali yetu tukufu ituletee vyoo ivi mashuleni na kwnye ofisi za umma. Maana maeneo haya yamezidi kua na changamoto nyingi kwnye vyoo.

View attachment 2835800View attachment 2835801View attachment 2835801View attachment 2835802
Wazungu wamedhamilia kuangamiza ulimwengu kwa ushoga! Yaani unaruhusu choo kikupelekee moto mpaka "nnya" itoke yenyewe??? Shenzi kabisa huna adabu!
 
Wazungu wamedhamilia kuangamiza ulimwengu kwa ushoga! Yaani unaruhusu choo kikupelekee moto mpaka "nnya" itoke yenyewe??? Shenzi kabisa huna adabu!
Juz nimeona tangazo eti kuna spray kama una constipation yan inya haitoki vizuri eti ile spray unaispray mkunduni, nyoro inalainika inatanuka kimba inatoka nikawaza sana aisee yan kuna kila stail wazungu wanafanya kulainisha mikundu ya kina juma lokole
 
Huu ni upotoshaji,smart toilet haikamui kinyesi wala kuingiza nyenzo yoyote kwenye njia ya haja kubwa.
Smart toilet inakusafisha kwa kuspray maji, baada ya hapo inakukausha(drying)
Pia smart toilet ina mfumo wa kupasha joto(warmin) sehemu unayokaa hasa msimu wa baridi.
Mwisho:Watu jitahidini kutafuta maarifa sio kila unachoambiwa mtandaoni au mtaani unaamini kama vile hauna ubongo wa kung'amua mambo.
 
Back
Top Bottom