Wazungu waliokuja kikazi hapa ofisini wanafurahi watanzania ni wakarimu maana wanapata treatment na attention nzuri hata kwa mabosi wakorofi.

Wazungu waliokuja kikazi hapa ofisini wanafurahi watanzania ni wakarimu maana wanapata treatment na attention nzuri hata kwa mabosi wakorofi.

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Sijui niseme ni ushamba wa rangi au vp, ila nikisema kwamba hii nchi kuna ubaguzi nako naweza kukaribia.

Kuna wazungu hapa wanafunzi wa waliotoka huko ulaya wamekuja kikazi hapa ofisini, wamefika jumatatu watakuwa hapa kwa wiki mbili. wawili wa kiume na wawili wa kike wapo kwenye rika la 21 hivi.

Wamefika jana wakiwa wageni ila kwa sasa ni kama wenyeji maana ofisini kwao watu huenda kuwapa salamu na kuwapa company sana hata kwa broken english ivo ivo.

Hata wale watumishi wakorofi hasa viongozi wa department wanawaongoza kwa unyenyekevu wa hali ya juu mno na sauti ya upole yenye adabu.

Watumishi wa hapa wakiwemo hata waliowazidi vyeo hupenda kuomba kupiga nao picha.

Kuna group huko la whatsapp lilikuwa kimya sana lakini hawa wazungu walipoungwa ile kujitambulisha tu na picha zao kuna wengine whatsapp zao walikuwa hawajawasha wiki ila sasa wapo active.

Wazungu hawa wamebaki kusahangaa na kusifia kwamba watanzania ni watu wakarimu mno.
 
Sijui niseme ni ushamba wa rangi au vp, ila nikisema kwamba hii nchi kuna ubaguzi nako naweza kukaribia.

Kuna wazungu hapa wanafunzi wa waliotoka huko ulaya wamekuja kikazi hapa ofisini, wamefika jumatatu watakuwa hapa kwa wiki mbili. wawili wa kiume na wawili wa kike wapo kwenye rika la 21 hivi.

Wamefika jana wakiwa wageni ila kwa sasa ni kama wenyeji maana ofisini kwao watu huenda kuwapa salamu na kuwapa company sana hata kwa broken english ivo ivo/

Watumishi wa hapa wakiwemo hata waliowazidi vyeo hupenda kuomba kupiga nao picha.

Kuna group huko la whatsapp lilikuwa kimya sana lakini hawa wazungu walipoungwa ile kujitambulisha tu na picha zao kuna wengine whatsapp zao walikuwa hawajawasha wiki ila sasa wapo active.

Wazungu hawa wamebaki kusahangaa na kusifia kwamba watanzania ni watu wakarimu mno.
Mswahili hajawahi kua professional ata akiwa boss wengi wameja ushamba na limbukeni.
 
Na wewe pigo zako zipoje baada ya ujio wa wazungu?
Isije ikawa wewe ndo unawaonyesha mitaa ushawapeleka Hadi wavuvi camp.
 
Sijui niseme ni ushamba wa rangi au vp, ila nikisema kwamba hii nchi kuna ubaguzi nako naweza kukaribia.

Kuna wazungu hapa wanafunzi wa waliotoka huko ulaya wamekuja kikazi hapa ofisini, wamefika jumatatu watakuwa hapa kwa wiki mbili. wawili wa kiume na wawili wa kike wapo kwenye rika la 21 hivi.

Wamefika jana wakiwa wageni ila kwa sasa ni kama wenyeji maana ofisini kwao watu huenda kuwapa salamu na kuwapa company sana hata kwa broken english ivo ivo/

Watumishi wa hapa wakiwemo hata waliowazidi vyeo hupenda kuomba kupiga nao picha.

Kuna group huko la whatsapp lilikuwa kimya sana lakini hawa wazungu walipoungwa ile kujitambulisha tu na picha zao kuna wengine whatsapp zao walikuwa hawajawasha wiki ila sasa wapo active.

Wazungu hawa wamebaki kusahangaa na kusifia kwamba watanzania ni watu wakarimu mno.
Royo tua ya ofisi
 
Dah, ikitokea siku wameenda huko kwao, (kama itatokea) ndo watajua hawajui.
 
Sijui niseme ni ushamba wa rangi au vp, ila nikisema kwamba hii nchi kuna ubaguzi nako naweza kukaribia.

Kuna wazungu hapa wanafunzi wa waliotoka huko ulaya wamekuja kikazi hapa ofisini, wamefika jumatatu watakuwa hapa kwa wiki mbili. wawili wa kiume na wawili wa kike wapo kwenye rika la 21 hivi.

Wamefika jana wakiwa wageni ila kwa sasa ni kama wenyeji maana ofisini kwao watu huenda kuwapa salamu na kuwapa company sana hata kwa broken english ivo ivo/

Watumishi wa hapa wakiwemo hata waliowazidi vyeo hupenda kuomba kupiga nao picha.

Kuna group huko la whatsapp lilikuwa kimya sana lakini hawa wazungu walipoungwa ile kujitambulisha tu na picha zao kuna wengine whatsapp zao walikuwa hawajawasha wiki ila sasa wapo active.

Wazungu hawa wamebaki kusahangaa na kusifia kwamba watanzania ni watu wakarimu mno.
Wale ni wageni ulitaka wachuniwe na wafanyakazi wote pamoja na viongozi wenu? Sijaona ushamba hapo, halafu labda hujui NI kweli watanzania NI wakarimu sana, achia haya Mambo madogo madogo tunayofanyiana wenyewe kwa wenyewe bado pia sisi ni wakarim tena usisema watanzania sema wabara, namaanisha kwamba panda boat nenda upande wa pili leta mrejesho

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
Wakati nasubiri kwenda chuo nilipata kazi somewhere kwenye mojawapo ya mradi ulioanzishwa na Magufuli. Siku moja wazungu wakaja kukagua kila mmoja akawa anawapapatikia, mimi nilikuwa nafanya kazi yangu kama inavyotakiwa na sikushtuka. Boss alinishangaa siwachangamkii wazungu, alivyoniuliza nikamwambia haikuwa kazi yangu ile. Kuna jina walianza kuniita.

Nilishangaa watu sijawahi waona kitengo kile wanakuja "kuwasindikiza" wazungu na kuwaelezea kazi za pale wakati sio job description yao.
Waafrika tuna ushamba, kujishusha, kujiona wa level ya chini na kunyenyekea wazungu. Ndio maana viongozi wetu wanaenda Ulaya kujadiliana mambo ya Somalia, au unakuta marais kibao wa Afrika wamepiga picha ya pamoja na Rais wa Marekani au Ufaransa ila tafuta picha marais wengi wa Afrika wamepiga picha pamoja wakiwa Botswana au Nigeria uone kama utaipata.
 
Matanzania mengi ni mapumbavu, yamejaa kujipendekeza!
 
Sijui niseme ni ushamba wa rangi au vp, ila nikisema kwamba hii nchi kuna ubaguzi nako naweza kukaribia.

Kuna wazungu hapa wanafunzi wa waliotoka huko ulaya wamekuja kikazi hapa ofisini, wamefika jumatatu watakuwa hapa kwa wiki mbili. wawili wa kiume na wawili wa kike wapo kwenye rika la 21 hivi.

Wamefika jana wakiwa wageni ila kwa sasa ni kama wenyeji maana ofisini kwao watu huenda kuwapa salamu na kuwapa company sana hata kwa broken english ivo ivo.

Hata wale watumishi wakorofi hasa viongozi wa department wanawaongoza kwa unyenyekevu wa hali ya juu mno na sauti ya upole yenye adabu.

Watumishi wa hapa wakiwemo hata waliowazidi vyeo hupenda kuomba kupiga nao picha.

Kuna group huko la whatsapp lilikuwa kimya sana lakini hawa wazungu walipoungwa ile kujitambulisha tu na picha zao kuna wengine whatsapp zao walikuwa hawajawasha wiki ila sasa wapo active.

Wazungu hawa wamebaki kusahangaa na kusifia kwamba watanzania ni watu wakarimu mno.
Ahahaha ahahaha daaah nimekutunukia phd ya majungu, ahahaha eti whatsapp hazikuwaactive ahahahaha
 
Back
Top Bottom