Wazungu waliokuja kikazi hapa ofisini wanafurahi watanzania ni wakarimu maana wanapata treatment na attention nzuri hata kwa mabosi wakorofi.

Wazungu waliokuja kikazi hapa ofisini wanafurahi watanzania ni wakarimu maana wanapata treatment na attention nzuri hata kwa mabosi wakorofi.

Sijui niseme ni ushamba wa rangi au vp, ila nikisema kwamba hii nchi kuna ubaguzi nako naweza kukaribia.

Kuna wazungu hapa wanafunzi wa waliotoka huko ulaya wamekuja kikazi hapa ofisini, wamefika jumatatu watakuwa hapa kwa wiki mbili. wawili wa kiume na wawili wa kike wapo kwenye rika la 21 hivi.

Wamefika jana wakiwa wageni ila kwa sasa ni kama wenyeji maana ofisini kwao watu huenda kuwapa salamu na kuwapa company sana hata kwa broken english ivo ivo.

Hata wale watumishi wakorofi hasa viongozi wa department wanawaongoza kwa unyenyekevu wa hali ya juu mno na sauti ya upole yenye adabu.

Watumishi wa hapa wakiwemo hata waliowazidi vyeo hupenda kuomba kupiga nao picha.

Kuna group huko la whatsapp lilikuwa kimya sana lakini hawa wazungu walipoungwa ile kujitambulisha tu na picha zao kuna wengine whatsapp zao walikuwa hawajawasha wiki ila sasa wapo active.

Wazungu hawa wamebaki kusahangaa na kusifia kwamba watanzania ni watu wakarimu mno.
Hata enzi za ukoloni,wapo waliowachekea na kutoa Siri za viongozi wa kimila,twende tutafika tuu!
 
wamekuja kuwafundisheni upinde wa mvua [emoji304]subirini na kuwashobokea wazungu
 
Mwafrica huiogopa hata maiti ya Mzungu, Mwafrica mtu mzima humuogopa hata Mzungu mtoto.

Kiongozi Africa akitembelewa na kiongozi Mzungu kwake ni fahari na sehemu ya mafanikio.

Binafsi nawachukulia watu wa kawaida sana.
 
Sijui niseme ni ushamba wa rangi au vp, ila nikisema kwamba hii nchi kuna ubaguzi nako naweza kukaribia.

Kuna wazungu hapa wanafunzi wa waliotoka huko ulaya wamekuja kikazi hapa ofisini, wamefika jumatatu watakuwa hapa kwa wiki mbili. wawili wa kiume na wawili wa kike wapo kwenye rika la 21 hivi.

Wamefika jana wakiwa wageni ila kwa sasa ni kama wenyeji maana ofisini kwao watu huenda kuwapa salamu na kuwapa company sana hata kwa broken english ivo ivo.

Hata wale watumishi wakorofi hasa viongozi wa department wanawaongoza kwa unyenyekevu wa hali ya juu mno na sauti ya upole yenye adabu.

Watumishi wa hapa wakiwemo hata waliowazidi vyeo hupenda kuomba kupiga nao picha.

Kuna group huko la whatsapp lilikuwa kimya sana lakini hawa wazungu walipoungwa ile kujitambulisha tu na picha zao kuna wengine whatsapp zao walikuwa hawajawasha wiki ila sasa wapo active.

Wazungu hawa wamebaki kusahangaa na kusifia kwamba watanzania ni watu wakarimu mno.
Wacha wawazoee watakuwa na sifa mpya ya WaTz, wanaomba kupita kiasi.
 
Kuna siku Bank ya Stanbic aiseee adi niliona aibu mimi. Alikuja mzungu umri wa makamo kama around 50 na kabinti kakibongo naona ndio kashika mikoba kake na atakuwa anakaweka kale.

Wameingia pale bank dah wafanyakazi zaidi ya wangapi wanamgombania kumhudumia. Kuna teller ilikuwa ipo closed wakafungua kwaajiri ya kumsaidia yeye kuna mdada aliingia tena nadhani sio teller ni wale mastaafu wa ndani huko.

Akaja akaanza mhudumia fasta akaondoka. Wadada ni kujichekesha chekesha na kujibaraguza.

Asieee raia walimind sana wao wamekaa foleni hawa mbwa anakuja mzungu wanamchangamkia utadhani ni nano vile.

Ilikuwa ni aibu kubwa sana aisee.
 
Sijui niseme ni ushamba wa rangi au vp, ila nikisema kwamba hii nchi kuna ubaguzi nako naweza kukaribia.

Kuna wazungu hapa wanafunzi wa waliotoka huko ulaya wamekuja kikazi hapa ofisini, wamefika jumatatu watakuwa hapa kwa wiki mbili. wawili wa kiume na wawili wa kike wapo kwenye rika la 21 hivi.

Wamefika jana wakiwa wageni ila kwa sasa ni kama wenyeji maana ofisini kwao watu huenda kuwapa salamu na kuwapa company sana hata kwa broken english ivo ivo.

Hata wale watumishi wakorofi hasa viongozi wa department wanawaongoza kwa unyenyekevu wa hali ya juu mno na sauti ya upole yenye adabu.

Watumishi wa hapa wakiwemo hata waliowazidi vyeo hupenda kuomba kupiga nao picha.

Kuna group huko la whatsapp lilikuwa kimya sana lakini hawa wazungu walipoungwa ile kujitambulisha tu na picha zao kuna wengine whatsapp zao walikuwa hawajawasha wiki ila sasa wapo active.

Wazungu hawa wamebaki kusahangaa na kusifia kwamba watanzania ni watu wakarimu mno.

Nakubalina na wewe ngozi nyeupe yeyote ikija bongo au niseme mgeni yeyote kutoka nchi nyingine wanakarimiwa vizuri sana. Nchi nyingine hakuna ukarimu wowote.Kwa kifupi TZ ni wakarimu sana
 
Back
Top Bottom