Wazungu waliwezaje kutuzidi ujanja sisi wanadamu wa rangi tofauti kwa muda mrefu?

Wazungu waliwezaje kutuzidi ujanja sisi wanadamu wa rangi tofauti kwa muda mrefu?

Mambo yalianzia pale wazungu walipopambana na era ya Dark age. Era ya uchawi na kudidimia kwa sayansi baada ya kuanguka kwa dola la rumi... Baada ya kupambana na dark age wakafanya Agricultural Revolution yaani nguvu kubwa waliiwekeza kwenye kupiga jembe na kubuni mbinu za ukulima bora.

Baada ya hapo ikafuata Demographic Revolution yaani watu wakajazana coz chakula kilikuwepo na kama unavyojua mtu ukishiba unawaza kushibisha na Abdallah rungu mnofu.

Baaada ya hapo ikafuata Industrial revolution... Yaani baada ya kufika hiyo era tu.. Basi kila kitu kikabadirika nchizikapiga hatua mbele na kuweza kutawala mataifa mengine.

Sasa sisi waafrika bado tunapambana na era ya dark age hapo hapo tunataka tufanye industrial revolution na Agricultural revolution hatuwezi toboa daima. Coz wenzetu walipita phase to phase
Nilisoma sehemu kwamba ulaya walikuwa wapagani hatari... walivyosanuka wakachoma wachawi karibia wote na vibanda vyao... baada ya hapo nuru ikaanza kuonekana.. huku afrika kuacha ulozi ngumu sana ndio maana tunanyata sana kimaendeleo.
 
Dunia inawazungu wachina kwa jamii zao, wahindi kwa jamii zao, waarabu kwa jamii zao walatino kwa jamii zao na sisi weusi kwa jamii zetu.

Wakuu wazungu tangu waliposhika kijiti wanaushawishi kwenye kila mtu na kila jamii dunia nzima.

Licha ya mapinduzi makubwa ya kiteknolojia bado sioni dalili ya race nyingine kuwapindua. Tena sisi kwa akili za mqbabu zetu zingeachwa ziendelee kututawala hadi leo bado tungekuwa wajadi sana.

Kwa nini hawa jamaa wameonyesha uendelevu (consistency) isiyochuja karibu katika kila nyanja ya ubinadamu. Hawa wengine wanafeli wapi tukiwemo na sisi?
Eneo la asili la wazungu ....

Maisha ya eneo baya waliloumbiwa ndilo lililowapa akili ya kupambana na changamoto za kuishi ....

Walizaliwa eneo NUKSI wakayabadilisha maisha yao kuwa BARAKA......
 
Eneo la asili la wazungu ....

Maisha ya eneo baya waliloumbiwa ndilo lililowapa akili ya kupambana na changamoto za kuishi ....

Walizaliwa eneo NUKSI wakayabadilisha maisha yao kuwa BARAKA......
Mbonq sisi huku mtu akizalowa eneo baya ndio analitumia kama ndio sababu ya umasikini au kutoendelea. Tatizo ni nini.
 
Hapo walipofikia panashangaza,laki vumbuzi zao za kimitandao zinazoendeleabkujengwa mfano AI yaani akili mnemba na mifumo mingine mipya itakayounganisha Matumizi ya internet kwa upya mfano ule wa Metaverse,vitakapokuwa vimekamilika tutakuwa tumeachwa kama vile mbingu na ardhi.
 
Hapo walipofikia panashangaza,laki vumbuzi zao za kimitandao zinazoendeleabkujengwa mfano AI yaani akili mnemba na mifumo mingine mipya itakayounganisha Matumizi ya internet kwa upya mfano ule wa Metaverse,vitakapokuwa vimekamilika tutakuwa tumeachwa kama vile mbingu na ardhi.
Ni hatari. Haiwezekani mtu mweusi huko mbele kupindua matokeo na kushika usukani.
 
Kuna Mwanasayansi anaitwa James Watson aliyefanya ugunduzi wa DNA alisema kuna genes za intelligence ambazo ziko kwa wingi kwa wazungu kuliko blacks na pia kwamba kiujumla wazungu wana IQ kubwa kuliko blacks.

Alizua mjadala na shutuma kali sana dhidi ya kauli yake hiyo pamoja na kupokonywa vyeo na tuzo kadhaa.
 
Kuna Mwanasayansi anaitwa James Watson aliyefanya ugunduzi wa DNA alisema kuna genes za intelligence ambazo ziko kwa wingi kwa wazungu kuliko blacks na pia kwamba kiujumla wazungu wana IQ kubwa kuliko blacks.

Alizua mjadala na shutuma kali sana dhidi ya kauli yake hiyo pamoja na kupokonywa vyeo na tuzo kadhaa.
Mwanasayansi anaweza kuwa na kitu.
 
Back
Top Bottom