Wazungu wamenivutia zaidi


Hatufanani na dada zako
 
Wapowapo tu. Ila kwa kawaida huwa hawakatwi ngozi if you dont mind!
 
Pathetic… kila mtu na uhitaji wake wewe unavohitaji mwanamke mweupe with big matako sisi vimbaumbau unamuachia nani.. sisi weusi unamuachia nani

Kila mtu na mtue bwanaaa wewe
Kuna jamaa yangu yeye ni rasta na ana hostel ya kufikia wamarekani.
Huwa anawaunga sana wadada wa kibongo.
Mashrti yake umtumie picha yako awaonyeshe hao wazungu.
Ujira wake mtaelewana ukiwa utamvutia hata kitumbua anapokea
 
[emoji1787] mamamzungu toka 2019 hadi leo hujapata mzungu soon utarudisha timu kwa wamatumbi tukupe hata huyo mmoja mwenye kipilipili akuliwaze [emoji1787][emoji1787]

We mpe tu dada ako mimi nataka mthungu bhn
 
Kuna jamaa yangu yeye ni rasta na ana hostel ya kufikia wamarekani.
Huwa anawaunga sana wadada wa kibongo.
Mashrti yake umtumie picha yako awaonyeshe hao wazungu.
Ujira wake mtaelewana ukiwa utamvutia hata kitumbua anapokea

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mimi sina cha kumlipa mwambie atalipwa na Mungu anipe tu mthungu
 

Huyu atakufaa sana
 

Attachments

  • 1660262109234.jpg
    29.9 KB · Views: 12
 
Nenda Zanzibar Kuna wazungu kibao kutoka Ukraine wametulia Shamba baada ya vita, kamchukue mmoja umsaidie kuishi huku Bara.

Pangani, Ushongo Beach wazungu wapo kibao, ukikosa Nenda Mike's Hotel Mike ni mholanzi mtafyatua katoto shombe shombe maana yupo kuwapa dada zetu watoto coloured.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…