mamamzungu
JF-Expert Member
- Nov 17, 2019
- 2,554
- 4,271
- Thread starter
- #81
[emoji1787]
Huwa nacheka na kuwaonea huruma napoona dada zetu wanavyojitega kwenye mahotel kumendea mizungu.
Tukitoka wanyamwezi tuliodondoka toka unyamwezini tukipiga story kidogo tu wanatamani hata tuondoke nao wanasahau malengo yao, kimsingi wanawinda mizungu in search of a better life not necessarily mapenzi. Na mtu akifika kwenye hii peak ya desperation anakua vulnerable kufanyiwa unyama wowote ule. It's really heartbreaking.
Hatufanani na dada zako