Wazungu wamenivutia zaidi

Wazungu wamenivutia zaidi

[emoji1787]

Huwa nacheka na kuwaonea huruma napoona dada zetu wanavyojitega kwenye mahotel kumendea mizungu.

Tukitoka wanyamwezi tuliodondoka toka unyamwezini tukipiga story kidogo tu wanatamani hata tuondoke nao wanasahau malengo yao, kimsingi wanawinda mizungu in search of a better life not necessarily mapenzi. Na mtu akifika kwenye hii peak ya desperation anakua vulnerable kufanyiwa unyama wowote ule. It's really heartbreaking.

Hatufanani na dada zako
 
Wazima humu nyie watu,,,

Kama kichwa cha habari kilivyoandikwa hapo juu.

Nimetokea kuvutiwa na wazungu Sanaa labda hii ni kutokana na maigizo yao nayoyaangalia sana

Kubwa zaidi natamani kuchanganya rangi nipate watoto wa kizungu machotara wenye manywele

Kama kuna anaejua namna ya kuwapata hao wazungu anidokeze au kama unae unipe

Namtaka mzungu wa umri miaka 23-48

NB:
Sitaki mababu wala sitaki mali nataka ni mix color [emoji23][emoji23][emoji23]
Sina hela ya kulipia dating sites labdaa kama kuna za bure yaani free dating sites ndo unielekeze [emoji1787][emoji1787]

Kuna mtu atasema nina njaa sina nimeshibaa nawapenda tu hao watu

Pia usiulize wala usinambie nibaki na mbongo simtaki


[mention]mamamzungu [/mention] + baba mzungu

Babamzungu anahitajika kama kuna connection huko
Wapowapo tu. Ila kwa kawaida huwa hawakatwi ngozi if you dont mind!
 
Pathetic… kila mtu na uhitaji wake wewe unavohitaji mwanamke mweupe with big matako sisi vimbaumbau unamuachia nani.. sisi weusi unamuachia nani

Kila mtu na mtue bwanaaa wewe
Kuna jamaa yangu yeye ni rasta na ana hostel ya kufikia wamarekani.
Huwa anawaunga sana wadada wa kibongo.
Mashrti yake umtumie picha yako awaonyeshe hao wazungu.
Ujira wake mtaelewana ukiwa utamvutia hata kitumbua anapokea
 
[emoji1787] mamamzungu toka 2019 hadi leo hujapata mzungu soon utarudisha timu kwa wamatumbi tukupe hata huyo mmoja mwenye kipilipili akuliwaze [emoji1787][emoji1787]

We mpe tu dada ako mimi nataka mthungu bhn
 
Kuna jamaa yangu yeye ni rasta na ana hostel ya kufikia wamarekani.
Huwa anawaunga sana wadada wa kibongo.
Mashrti yake umtumie picha yako awaonyeshe hao wazungu.
Ujira wake mtaelewana ukiwa utamvutia hata kitumbua anapokea

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mimi sina cha kumlipa mwambie atalipwa na Mungu anipe tu mthungu
 
Wazima humu nyie watu,,,

Kama kichwa cha habari kilivyoandikwa hapo juu.

Nimetokea kuvutiwa na wazungu Sanaa labda hii ni kutokana na maigizo yao nayoyaangalia sana

Kubwa zaidi natamani kuchanganya rangi nipate watoto wa kizungu machotara wenye manywele

Kama kuna anaejua namna ya kuwapata hao wazungu anidokeze au kama unae unipe

Namtaka mzungu wa umri miaka 23-48

NB:
Sitaki mababu wala sitaki mali nataka ni mix color [emoji23][emoji23][emoji23]
Sina hela ya kulipia dating sites labdaa kama kuna za bure yaani free dating sites ndo unielekeze [emoji1787][emoji1787]

Kuna mtu atasema nina njaa sina nimeshibaa nawapenda tu hao watu

Pia usiulize wala usinambie nibaki na mbongo simtaki


[mention]mamamzungu [/mention] + baba mzungu

Babamzungu anahitajika kama kuna connection huko

Huyu atakufaa sana
 

Attachments

  • 1660262109234.jpg
    1660262109234.jpg
    29.9 KB · Views: 12
 
Nenda Zanzibar Kuna wazungu kibao kutoka Ukraine wametulia Shamba baada ya vita, kamchukue mmoja umsaidie kuishi huku Bara.

Pangani, Ushongo Beach wazungu wapo kibao, ukikosa Nenda Mike's Hotel Mike ni mholanzi mtafyatua katoto shombe shombe maana yupo kuwapa dada zetu watoto coloured.
 
Back
Top Bottom