Sa 7 mchana
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 5,214
- 10,276
- Thread starter
-
- #21
CreditAnalystMkuu, sema wewe biashara zako bill wataalamu hawaendi...huoni research za marketing za sales. Nanma ya kuvita wateja, wafanyaje wateja warudi. Ubora wa huduma za wateja na ubora wa bidhaa.
Innovation wanakuja na vitu vipya katika KILA industry kwakua wako juuu kiteknologia.
Wewe unaeamini lazima uweke hirizi au uchinje au uzike au ufukie na matako vitu ndo biashara ifanikiwe...huo Ni mtazamo wako na baadhi ya wanao fanana na wewe.
Kumbe na wao wamo.Wazungu wana wanga sana, nilishuhudia hii nilipopanga kwenye nyumba ya kibibi kimoja cha kizungu wakati nasoma majuu. Kuna supermarket moja kubwa jamaa kama chizi hivi alikuwa anatangatanga nje ya hiyo supermarket na nafikiri wanatumia sana mapaka paka.
Nikweli..uchawi kwenye biashara upo..Tena Sana...lakini kwasababu wewe unafanya haimaanishi wote wanafanya mkuu...kunawengine hawafanyi uchawi na wanapata mafaisa makuubwa tu
Wananunua hadharani au nikwakificho?London kuna sehemu moja Inaitwa camden
Wazungu wanauza sana uchawi hapo
Sema uchawi wa wenzetu huko siyo wa kuumizana
Ova
Afrika hii hii?Nikweli..uchawi kwenye biashara upo..Tena Sana...lakini kwasababu wewe unafanya haimaanishi wote wanafanya mkuu...kunawengine hawafanyi uchawi na wanapata mafaisa makuubwa tu
Ase ndio maana umasikini ni mbaya.Biashara zao ni ubora wa bidhaa na huduma. Tz biashara haziendi kwa kuwa umasikini umezidi, watu hawana pesa za kutumia. Nchi zilizoendelea kuna ajira na kupelekea watu wengi kuwa na uwezo wa kufanya manunuzi, hivyo biashara zinashamiri.
Biashara ya kuuza majini inalipa sana mitandaoni na wengi ni matapeli basi wazungu wanaibiwa sana tu huko,unakuta mtu ana kila kitu lakini bado anapoteza hela zake kutaka kununua jini alifuge. Na hata hivi vitabu vya kishirikina vinauzwa sana mitandaoni na wazungu wananunua.Wazungu wanaongoza kwa uchawi na wana majini makali sana.
Hadharani ni kama sehemu ya gulio hivi.Wananunua hadharani au nikwakificho?
Unamaanishaje hapo?. Niko kwenye biashara karibia miaka 15. Lakini sijawahi kugusa hicho kitu unachosema. Wewe umewashuhudia wote wanaojishughurisha na biashara wanahusika na huo uchawi wako?Biashara zao zinaendaje mkuu. Maana huku bila wataalam mambo hayaendi.
Hichi kitu naona kama ni Cha kweli kabisa, wazungu ni wachawi ila wanakinga za kutosha kuzuia wasilogeke. Ndo mana enzi za ukoloni babu zetu walipata shida sana na uchawi wao kwa wazungu ulidunda.Hivi vijiuchawi vyenu wazungu walikwisha vipitia miaka ya 1250 walishajua kuhusu miti na nguvu zake sympathea mage na vyote miaka ya 1500 wakaanza kuhifadhi taarifa muhimu juu ya uchawi mwaka 1700 wakaanza kuupiga marufuku imani hizi infact mama wa yote haya mauchawi ni Greece na Latin America nchi kama Egypt zili adopt tu hata Waarabu pia wali adopt kutoka Latinos infact pia stage ambayo wanayo wazungu ni tofauti sana na ya kwetu Mf wao anaweza chora tu tatoo fulani ikawa na majina fulani yenye siri fulani ikawa hawezi kulogeka kamwe hata ufanye nini na katunguri kako ka Kibantu.
Wazungu ni nani? Define hiyo term "mzungu".Habari zenu wakuu.
Moja kwa moja naomba niende moja moja kwenye mada.
Naomba kuuliza hivi wazungu nao urogani katika small scale yani man to man? Diasporas naomba mtusaidie hili.
Habari zao za Ushirikiana tunazozile kubwa kubwa kama Freemason, Blue Order nk.
Maana kinachoonekana nikuwa wazungu wanatu-feed habari njema tu kuhusu wao:
Mara.....
▫ Wamekuja na technologia mpya
▫ Mara ooh watugawia misaada mbali mbali
▫ And blah blah blah
Sehemu kubwa ya hayo mambo ni imani zetu tu kwenye ushirikina,si kweli kwamba lazima uende kwa wataalamu ili ufanye biashara wapo watu wanafanya biashara pasina kufanya ushirikina na biashara zao zipo vizuri tu na wapo ambao hadi wanafirisika kwa kutumia hela kwa waganga na hakuna walichopata.Ndio mkuu, yani cha kwanza ni Guard, biashara isiingilike kwa dumba. Yani kama mtu anataka kukuaribia, ashindwe. Pili mambo na mipango yako inabidi uvipe assurance ya kuprosper.
We nae sio kila kitu ubishi tu,hilo neno linajulikana huwa linatumika kukusudia watu gani sasa sijui kuna haja gani ya kubishana katika hilo. Nenda kwenye jukwaa la lugha ukafundishe hilo neno vizuri.Wazungu ni nani? Define hiyo term "mzungu".
Unajuaje huyu mzungu, na huyu si mzungu?
Tuanzie hapo kwanza.
Uwo mchongo kaka ako bado anapiga?Yaani wazungu wachawi balaa nakumbuka Kaka yangu mpendwa alikuwa narafiki yake mkongo miaka ya 1998 huko wanauza vinyago vilivyotumika katika uchawi naushirikina bei ilikuwa nzuri na moja katika biashara iliyompelekea Kaka kuanza kutajirika ni hii.
Wananunua vinyamkera vinyago kwa waganga, wazee wa jadi na kwengineko na kuwauzia wazungu kutoka Ufaransa na hao wazungu walivyokuwa nyoko ukienda kuchonga kinyago kipya au kinunua hakija tumika katika mambo ya ushirikina au mambo ya jadi hawanunui.
Wazungu wachawi kwenye kila sekta usikute wanatupita hata sisi wa Afrika
Wazungu naowatambua mm n wale wenye origin ya ulaya na america ya kaskazani ukiunganisha na australia.Wazungu ni nani? Define hiyo term "mzungu".
Unajuaje huyu mzungu, na huyu si mzungu?
Tuanzie hapo kwanza.