Wazungu wana uchawi wa "small scale"?

Wazungu wana uchawi wa "small scale"?

Kwaiyo civil engineers kunamazingara mnabdi mpige tawire.
Lazima uwahusishe wenyeji mkuu. Tena sio civil engineer tu, ni kama fani zote. Uliza wale wa gas Mtwara ilikuwaje.
 
1608266405296.png
 
Basi usiniulize yasiyonihusu maana sitoweza kuwa na majibu yake.
Hata yanayokuhusu huwezi kuyajibu kwa uthibitisho, hujathibitisha uchawi upo.

Au hujathibitisha uchawi upo kwasababu hayakuhusu?
 
Hata yanayokuhusu huwezi kuyajibu kwa uthibitisho, hujathibitisha uchawi upo.

Au hujathibitisha uchawi upo kwasababu hayakuhusu?
Wewe toka mwanzo nilikwambia kuwa huwezi kuthibitisha kitu usichokijua,nimekupa uthibitisho wa uchawi ila kwa kuwa haujui uchawi ni nini ukaishia kuukataa uthibitisho niliyokupa,na ni kwa sababu hujui hata uchawi unafananaje na ndio maana hata uthibitisho wa uchawi huwezi kuutambua.
 
Wewe toka mwanzo nilikwambia kuwa huwezi kuthibitisha kitu usichokijua,nimekupa uthibitisho wa uchawi ila kwa kuwa haujui uchawi ni nini ukaishia kuukataa uthibitisho niliyokupa,na ni kwa sababu hujui hata uchawi unafananaje na ndio maana hata uthibitisho wa uchawi huwezi kuutambua.
Kwa maana hiyo uchawi hauujui na huwezi kuthibitisha uchawi upo?
 
Hivi vijiuchawi vyenu wazungu walikwisha vipitia miaka ya 1250 walishajua kuhusu miti na nguvu zake sympathea mage na vyote miaka ya 1500 wakaanza kuhifadhi taarifa muhimu juu ya uchawi mwaka 1700 wakaanza kuupiga marufuku imani hizi infact mama wa yote haya mauchawi ni Greece na Latin America nchi kama Egypt zili adopt tu hata Waarabu pia wali adopt kutoka Latinos infact pia stage ambayo wanayo wazungu ni tofauti sana na ya kwetu Mf wao anaweza chora tu tatoo fulani ikawa na majina fulani yenye siri fulani ikawa hawezi kulogeka kamwe hata ufanye nini na katunguri kako ka Kibantu.
Voo Doo
 
Habari zenu wakuu.

Moja kwa moja naomba niende moja moja kwenye mada.

Naomba kuuliza hivi wazungu nao hurogana katika small scale yani man to man? Diasporas naomba mtusaidie hili.

Habari zao za Ushirikiana tunazozile kubwa kubwa kama Freemason, Blue Order nk.

Maana kinachoonekana nikuwa wazungu wanatu-feed habari njema tu kuhusu wao:

Mara.....

- Wamekuja na technologia mpya
- Mara ooh watugawia misaada mbali mbali
- And blah blah blah
Blue order? Duh ngoja nikagoogle 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Acha kamba, mzungu asili yake ni bara la ulaya, hao waisraeli hawajawahi kusambaza ukristo kwa sababu hawamwamini huyo kristo na wana dini yao inayoitwa dini ya kiyahudi. Mtume Paulo ndiyo myahudi aliyepeleka ukristo kwa mataifa ikiwemo rumi (italy) na hao wataliano ndo walileta ukristo huku afrika.
Hatari sana, wazungu wengi sana asili yao ni Israel na niwakristo,wazungu wengi ni asili ya Israel pia ni wayahudi,shida hapo ni kuchanganya myahudi ni nani na mu-Israel ni nani.
 
Back
Top Bottom