Wazungu wana uchawi wa "small scale"?

Wazungu wana uchawi wa "small scale"?

Ukiona mtu anaongelea uchawi,huyo sio mchawi! Ukiona mtu anapinga uwepo wa uchawi,jua huyo ni mchawi aliyebobea. Mtu yeyote anayefanya kitu kiovu atalinda mambo yake kwa mbinu nyingi sana.Mchawi anawakatisha tamaa kujadili uchawi ili wasiligundulike,hawa wote wanaopinga uwepo wa uchawi,ni sehemu ya fani hiyo.
 
Mmmhh! Nimeipenda comment yako.
Ila kwenye ujenzi ni shule tu ndio hutumika ndugu. Tupo kwenye hiyo industry ya ujenzi ndio maana nasema hivyo.
Japo kuna mazingira mengine hutokea ugumu wa asili(mazindiko ya wakaazi wa eneo husika. Kama waliweka zindiko au hapana). Mfano, Kabiri la ukoo wa Kiyeyeu huko Iringa.
Ujenzi wa madaranja unaenda kwa mahesabu sana,kwa mfano wanatumia quick hardening cement na pia zege halitakiwi kupoteza maji mengi na kupelekea zege liwe casted usiku ili kupunguza evaporation,sasa mzungu akimwaga zege usiku ndipo tafsiri ya sisi ya uchawi inaanza.
 
Back
Top Bottom