Wazungu Wanamtumia Paul Kagame kuiba madini ya DRC halafu baadae watamuua

Wazungu Wanamtumia Paul Kagame kuiba madini ya DRC halafu baadae watamuua

deblabant

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2022
Posts
2,650
Reaction score
4,065
Sisi waafrika tumelaaniwa na sidhani kama Mwenyezi Mungu alituumba na akili sawasawa.

Ona Paul Kagame anavyotumiwa na nchi za Magahribi kuiba na kuua wacongo.

Ninavyojua mimi wanamtumia ti wakiwa wanamtegesha tu kwamba madini yakiisha tu wanammaliza Kagame mwenyewe. Au Kagame akishtuka tu wanammaliza kabisa.

Watamwekea waasi halafu watasema anakandamiza haki za binadamu maana kule Rwanda wapinzani wananyanyaswa effectively na kuuawa kwa baraka za wazungu maana ni beneficial kwao ila baadae itatumika kama siraha iwapo tu Kagame atakengeuka.

Wazungu wajanja sana. Walimtumia Mobutu kumuua Lumumba halafu wakamuua pia Mobutu.

Salute sana kwa wazungu.
 
Wazungu waliweza kumuua Patrice Lumumba aliyedai haki za wacongo miaka ile ya 60 hawawezi kushindwa kuwaharibu wacongo bila ya kumtumia Paul Kagame.

Wanavyomtaja Kagame lengo ni kuwachonganisha waafrika wao kwa wao, na mleta mada ni mmoja wa hao walioingia kwenye mfumo.

Kagame anao urafiki mzuri na wazungu, huyu ndio kiongozi wa Rwanda inayodhamini PSG na Arsenal. Ni mwanasiasa mwenye akili nyingi na mzunguko wa pesa anaoutengeneza unawafanya wazungu wamheshimu.
 
Sisi waafrika tumelaaniwa na sidhani kama Mwenyezi Mungu alituumba na akili sawasawa.

Ona Paul Kagame anavyotumiwa na nchi za Magahribi kuiba na kuua wacongo.

Ninavyojua mimi wanamtumia ti wakiwa wanamtegesha tu kwamba madini yakiisha tu wanammaliza Kagame mwenyewe. Au Kagame akishtuka tu wanammaliza kabisa.

Watamwekea waasi halafu watasema anakandamiza haki za binadamu maana kule Rwanda wapinzani wananyanyaswa effectively na kuuawa kwa baraka za wazungu maana ni beneficial kwao ila baadae itatumika kama siraha iwapo tu Kagame atakengeuka.

Wazungu wajanja sana. Walimtumia Mobutu kumuua Lumumba halafu wakamuua pia Mobutu.

Salute sana kwa wazungu.

Huu unabii tuuhifadhi chini ya jina la nabii nani?
 
Sisi waafrika tumelaaniwa na sidhani kama Mwenyezi Mungu alituumba na akili sawasawa.

Ona Paul Kagame anavyotumiwa na nchi za Magahribi kuiba na kuua wacongo.

Ninavyojua mimi wanamtumia ti wakiwa wanamtegesha tu kwamba madini yakiisha tu wanammaliza Kagame mwenyewe. Au Kagame akishtuka tu wanammaliza kabisa.

Watamwekea waasi halafu watasema anakandamiza haki za binadamu maana kule Rwanda wapinzani wananyanyaswa effectively na kuuawa kwa baraka za wazungu maana ni beneficial kwao ila baadae itatumika kama siraha iwapo tu Kagame atakengeuka.

Wazungu wajanja sana. Walimtumia Mobutu kumuua Lumumba halafu wakamuua pia Mobutu.

Salute sana kwa wazungu.
Kg atakufa mwenyewe tu kashazeeka yule . halafu kuiba madini hata hapa kwako wanaiba tu
 
Back
Top Bottom