Wazungu wanavyothamini Mbwa kuliko binadamu wenzao, chanzo ni nini hasa

Wazungu wanavyothamini Mbwa kuliko binadamu wenzao, chanzo ni nini hasa

Mbwa ni mnyama muaminifu sana na ni mnyenyekevu.

Mbwa hapewe rushwa.

Tofauti kati ya Mbwa na paka ni kwamba Mbwa ukimpa chakula anajua kua huyu mtu ananijali/ananipenda, ila Paka ukimpa chakula anakuona kama wewe unamtumikia yeye anakua anajisikia.

Ila mtu sasa ni kiumbe kinafiki very complex, unaweza ukamuona mtu kabeba chupa ya maji ukadhani anakiu kumbe ni ubishoo tu.

Wanyama wakiwa wanafanya kitu huwa wanakua na uhitaji kweri ila mtu sasa ni changamoto, Wanyama wakiwa wanajamiiana ni kwaajili ya kuzaliana, ila watu sasa malengo mengine kabisa.
 
Kuna mshamba mmoja nilimfadhili akae gheto wakati anatafuta kwake,nimevumilia vingi ikiwemo kuniharibia vipindi vyangu vya kuingiza pisi,Sasa wiki mbili zilizopita kapata ghto kaamia anaanza sambaza mbovu kuwa mm Sina utu,nlikuwa namnyanyasa msosi namnyima,naingiza Malaya ghto yaani maneno kibao.Huyu si Bora mbwa!?
 
Wanasema ni bora kuzaliwa mbwa ulaya kuliko kuzaliwa binadamu Africa.
 
Walijua tangu mwanzo kuwa mbwa ana mahusiano mazuri katika ulimwengu wa roho. Mbwa anamuongoza na kumuepusha na mengi. Kumbuka mbwa ana uwezo wa kuona wachawi.
 
Jinsi wazungu wanavyowajali Mbwa wanaowamiliki, wakati mwingine ni zaidi wanavyojali binadamu wenzao.

Mtu anaweza asiwe anaishi na binadamu mwenzie, lakini anaishi na Mbwa ambaye bajeti yake ya kumtunza inazidi gharama za kuhudumia binadamu maskini walioko mtaani.

Huwa najiuliza chanzo cha wazungu kuwajali kiasi hiki Mbwa kuliko binadamu wenzao, sipati jibu.
Inaonekana we bado ni mdogo, mbwa ndio rafiki wa kweli, wazungu wametuzidi akili.
 
Jinsi wazungu wanavyowajali Mbwa wanaowamiliki, wakati mwingine ni zaidi wanavyojali binadamu wenzao.

Mtu anaweza asiwe anaishi na binadamu mwenzie, lakini anaishi na Mbwa ambaye bajeti yake ya kumtunza inazidi gharama za kuhudumia binadamu maskini walioko mtaani.

Huwa najiuliza chanzo cha wazungu kuwajali kiasi hiki Mbwa kuliko binadamu wenzao, sipati jibu.
Kwanza usijidanganye labda km ni mnafki, kuhudumia maskini mitaani siyo wajibu wako, labda serikali
 
unaangalia mambo kijuu juu sana kama wangethamini mbwa klk binadamu wangekuwa na njaa kama tanzagiza, wangekuwa na watoto mitaani wakipekuwa majalalani kutafuta chakula kama tanzagiza, bajeti ya tanzagiza karibia nusu inatoka kwa Christian Wazungu unaosema wanathamini mbwa bila ya msaada wa Mzungu Christian sidhani kama leo hii ungejua kusoma na kuandika labda ungekuwa unajua kunrecite kuran tu, isotoshe kama Wazungu wanathamini mbwa klk binadamu na wewe na tanzagiza mnathamini nini ?
Kwl we ni kijakazi, majina huumba tabia. Unaitukana nchi yako? Una nchi nyingine hp duniani?
 
Sio Binadamu wote hawana shukrani na sio Mbwa wote wana shukrani,

Kwani hamjawahi kusikia Mbwa wamemuua mmiliki wao? hamjawahi kusikia Kingunge Mwiru aliumwa na Mbwa wake?
 
Jinsi wazungu wanavyowajali Mbwa wanaowamiliki, wakati mwingine ni zaidi wanavyojali binadamu wenzao.

Mtu anaweza asiwe anaishi na binadamu mwenzie, lakini anaishi na Mbwa ambaye bajeti yake ya kumtunza inazidi gharama za kuhudumia binadamu maskini walioko mtaani.

Huwa najiuliza chanzo cha wazungu kuwajali kiasi hiki Mbwa kuliko binadamu wenzao, sipati jibu.
Ni mambo mawili moja wanafuga mbwa kama vile watu wa Geita wanavyofuga fisi mbojo na lingine ni bestility
 
Back
Top Bottom