Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
❤️❤️👊🏻Mimi mwenyewe mbwa namthamini sana kwanza mbwa
Ana shkran sana na they are so loyal
Ova
Tena sio lazima akurudie kwa shukrani atakurudia kwa ubaya mpaka ujute why ulikubali kuwa nae karibu.
Kweli kabisa shem darlingMbwa ukiishi nae vizuri ana shukrani sio binadamu atageuka awe adui yako mkubwa.
Mimi kwa sasa nimejifunza kutenda Wema kwa idadi 😁😁Kweli kabisa shem darling
Ni jambo la kheri namimi najifunza kwako.Mimi kwa sasa nimejifunza kutenda Wema kwa idadi 😁😁
Inaonekana we bado ni mdogo, mbwa ndio rafiki wa kweli, wazungu wametuzidi akili.Jinsi wazungu wanavyowajali Mbwa wanaowamiliki, wakati mwingine ni zaidi wanavyojali binadamu wenzao.
Mtu anaweza asiwe anaishi na binadamu mwenzie, lakini anaishi na Mbwa ambaye bajeti yake ya kumtunza inazidi gharama za kuhudumia binadamu maskini walioko mtaani.
Huwa najiuliza chanzo cha wazungu kuwajali kiasi hiki Mbwa kuliko binadamu wenzao, sipati jibu.
Kwanza usijidanganye labda km ni mnafki, kuhudumia maskini mitaani siyo wajibu wako, labda serikaliJinsi wazungu wanavyowajali Mbwa wanaowamiliki, wakati mwingine ni zaidi wanavyojali binadamu wenzao.
Mtu anaweza asiwe anaishi na binadamu mwenzie, lakini anaishi na Mbwa ambaye bajeti yake ya kumtunza inazidi gharama za kuhudumia binadamu maskini walioko mtaani.
Huwa najiuliza chanzo cha wazungu kuwajali kiasi hiki Mbwa kuliko binadamu wenzao, sipati jibu.
Kwl we ni kijakazi, majina huumba tabia. Unaitukana nchi yako? Una nchi nyingine hp duniani?unaangalia mambo kijuu juu sana kama wangethamini mbwa klk binadamu wangekuwa na njaa kama tanzagiza, wangekuwa na watoto mitaani wakipekuwa majalalani kutafuta chakula kama tanzagiza, bajeti ya tanzagiza karibia nusu inatoka kwa Christian Wazungu unaosema wanathamini mbwa bila ya msaada wa Mzungu Christian sidhani kama leo hii ungejua kusoma na kuandika labda ungekuwa unajua kunrecite kuran tu, isotoshe kama Wazungu wanathamini mbwa klk binadamu na wewe na tanzagiza mnathamini nini ?
Kabisa dear, binadamu hawana shukrani. Utajitolea kwake anakuja kukufanya adui. Tupunguze wema binadamu hawana kumbukumbu.Tena sio lazima akurudie kwa shukrani atakurudia kwa ubaya mpaka ujute why ulikubali kuwa nae karibu.
Aisee!!Tupunguze wema binadamu hawana kumbukumbu.
Ni mambo mawili moja wanafuga mbwa kama vile watu wa Geita wanavyofuga fisi mbojo na lingine ni bestilityJinsi wazungu wanavyowajali Mbwa wanaowamiliki, wakati mwingine ni zaidi wanavyojali binadamu wenzao.
Mtu anaweza asiwe anaishi na binadamu mwenzie, lakini anaishi na Mbwa ambaye bajeti yake ya kumtunza inazidi gharama za kuhudumia binadamu maskini walioko mtaani.
Huwa najiuliza chanzo cha wazungu kuwajali kiasi hiki Mbwa kuliko binadamu wenzao, sipati jibu.