Wazungu wengi hunukia harufu moja je hio harufu ni mafuta au perfume gani?

Wazungu wengi hunukia harufu moja je hio harufu ni mafuta au perfume gani?

Hii ni hata wadada wa kibongo wanaotumia mkorogo...wana harufu flani mbayaaa
Harufu ya ile lotion inayoitwa carrolight demu akiwa anapaka hiyo lotion huwa naisi kama kufa hivi.
 
Wazungu nimefanya nao kazi miaka 18 Afrika hiyo harufu ni ngozi zao nahisi manake hata huko kwao hiyo harufu ipo.Hadi nguo zao.Good observations!
 
Wazungu wote harufu ya jasho inafanana, tofauti na watu weusi.
 
Yale mafuta yananukia vizur kwa ajili ya kuvuia mionzi ya jua ata watu wenye albinism wanatumia
 
Kwahiyo tuko jukwaani tunajadili harufu ya wazungu? [emoji54][emoji54][emoji54]
 
Kama ulishakutana na watasha somewhere wakikupitia utasikia harufu moja very amaizing je inaitwaje kama inauzwa madukani tuambiane .............
Ni kwa ajili ya mionzi ya jua ni jelly inayotumika mara nyingi wakiwa mikoa yenye joto hasa dar es salaam sio dawa ya kuzuia mbu zipo za aina tofauti kwa maana ya muda inayoweza kukaa kwa mwilini kwa siku mfano:
4-Aminobenzoic acid, Titanium dioxide, Ultraviolet...... nk zote kazi moja kama dawa ya meno tofauti n inadumu kwa muda gani mwilini.
 
Muuliza swali, jibu lake ni vyakula wanavyokula tangia wakiwa Wadogo kupelekea kuwa hivyo mimi nilikuwa na ndugu yangu kabisa alienda Austria amekaa muda tulipokutana naye alikuwa na harufu hiyo of course siyo harufu nzuri hata chembe kama hujaizoea ila ukiizoe unaona fresh tu.

Japo, mwingine anaweza sema kuwa ni lotion ama perfume kitu ambacho siyo kweli kwa sababu wazungu wako selective sana inapokuja issue ya vipodozi na lotions hadi sabuni ni lazima family doctor ama apate ushauri kutoka kwa daktari kuhusu vitu hivyo kabla hajavitumia.

Na haiwezikani wazungu, wote wakatumia sabuni na lotion brand moja siyo rahisi na haiwezekani kwa sababu, wazungu wanazo sabuni na lotion na perfume nyingi sana kiasi kwamba hawawezi kufanana.

Kwa hiyo basi chanzo chake ni vyakula kwa sababu kama asilimia 99% hivi nimehakikisha ni vyakula hasa vyakula vya makopo (canned food).

Mimi ndiyo hicho ninachoelewa na pia, nimebahatika kukaa na aina tatu za jamii ya wazungu (nimekaa nao kule kwao ), (walio kuja huku Africa , waka kaaa kwa muda fulani), na wanaoishi huku Africa yaani wazungu ambao wazazi wao ni wazungu ila watoto wamezaliwa huku na wamekaa huku Africa muda wote sasa katika makundi hayo matatu hayo harufu zao ni tofauti.
 
Wanashangaza wanapaka mafuta ya kujikinga na mionzi ya jua halafu ni hodari wa kukesha juani(unaweza mkuta mzungu anaota jua hadi la saa tano sita mchana)
Ni albino wa aina yake hawa itakuwa!
 
Baadhi kubwa ya wazungu wananuka vibaya sana tena wanawake zao, wakiwa makwao kuoga ni Mara mbinu kwa wiki wakatiwa baridi, wakikijoa hawakoshi utupu wao, wakinya ni karatasi tuu inayotumika, NA mchanganyiko wa kila vingi vilivyo ozeshwa kama Mvinyo, chees nk...

Usitudanganye, wewe .
 
Me huwa nahisi wananukia sabuni za unga kama omo'foma' hivyo nafua nguo zangu kwa sabuni za unga ninukie kama mzungu!!!!!
 
Kuna mafuta wanajipaka kwa ajili ya kuwazuia wasiunguzwe na jua pamoja na bacteria
 
Back
Top Bottom