Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu kwao. ..mcheza kwao hutunzwa. .endelea tu..
Sawa kabisa. Wazungu wana harufu mbaya sana wasipotumia manukatoWazungu nawasikiaga wote wana harufu fulani hivi mbayaaaa
Ni kwako maana sijui kama chp zinanuka. ....kwani hufui mdada wewe?Mkisemwa mnanuka vichupi mnatuponda eti nyodozz
Walikudanganya. Siri yao inajulikana, wanatumia karatasi wanapokwenda kwa choo. Ndio hiyo harufu inabakia. Na kama ulivyoandika wakioga au wakitumia maji kujisafisha harufu "inayofanana" inaondoka.nikweli wana harufu inayofanana niliwahi kuwauliza wakaniambia inaitwa harufu ya dhahabu. wakioga inaondoka ,wakitoa jacho lazima utaisikia .
Harufu ya pesaKama ulishakutana na watasha somewhere wakikupitia utasikia harufu moja very amaizing je inaitwaje kama inauzwa madukani tuambiane .............
Hata mimi, huwa nasikia harufu moja so unpleasant kutoka kwa wazungu. Tena watu wa Asia ndo harufu mbaya kabisaaa. Yani inshort hawa watu weupe wanatoa kiharufu flani hivi cha kibeberuWazungu nawasikiaga wote wana harufu fulani hivi mbayaaaa
Nzi pia wanapenda harufu moja very amazing. Harufu hiyo inawavutia sana. Je mtu akitoa jibu hapa, unatalaumu kwamba watu wanachukia nzi kwa sababu wanapenda hiyo harufu?Mtoa mada kaulizia harufu fulani amazing yaani inamvutia ila kwa chuki na ubaguzi uliowajaa wengi wanatoa majibu ya ku generalize wazungu wananuka hawaogi.
Hii forum ingekuwa ya wazungu wana discuss waafrika wananuka dunia nzima ingejua.
umejalibu kuwa uliza wao mkuu?Kama ulishakutana na watasha somewhere wakikupitia utasikia harufu moja very amaizing je inaitwaje kama inauzwa madukani tuambiane .............
hasa wanawake mkuu[emoji124]Hapo kwenye kuoga sawa,nimeona kwa waarabu.ni wavivu sana kuoga.
hahahahahahahahahahahaha........mkuu[emoji1]nasikia mzungu hata akijamba harufu yake sio kali sijui nikweli ila aachie black sasa lazima ushike tumbo
Mimi huwa naona inafanana na ya nguruwe wa kufugwa.Funny,isn't it.Anayetaka afanye utafiti ataona ni kweli.Ipo sababu kwa nini.Siku nikiamka vizuri nitaelezea ukweli wa jambo hili.Kama ulishakutana na watasha somewhere wakikupitia utasikia harufu moja very amaizing je inaitwaje kama inauzwa madukani tuambiane .............