Wazungu wengi wenye gundu la mahusiano nchi zao wakija bongo huokota kirahisi watoto wakali

Wazungu wengi wenye gundu la mahusiano nchi zao wakija bongo huokota kirahisi watoto wakali

R-K-O

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2023
Posts
482
Reaction score
2,178
Niliwahi kuingia kwenye mtandao wa reddit, kuna hawa wazungu ambao wana magundu, madomo zenge, n.k yani huko kwao wanapata wakati mgumu sana kupata wapenzi.

Hii si kwa wanaume tu hata wanawake hata wanaokaribia kuwa mabibi wakija huku ni kuokota tu.

Hawa jamaa huwa wanaenda nchi za asia na afrika kufanya utalii wa kutoa kupata wapenzi kirahisi na kweli wakifika huko huwa wanashobokewa sana.

Hata kuhonga wengi hawahongi huwa ni kuamua tu kutoa tip, wengi wakifika hapa kwetu bongo nadhani huwa mnaona hata mzungu akiweka picha tu kwenye group kwamba yupo mkoa flani basi full kushobokewa,
 
Hata kwa mademu wa kizungu same applies, tunaopoa kwa sana tu. Ila dah! Kuna wanangu mpaka wameoa na kuoa kabisa 😆 tena haswa hawa wa Germany!
 
Hata kwa mademu wa kizungu same applies, tunaopoa kwa sana tu. Ila dah! Kuna wanangu mpaka wameoa na kuoa kabisa 😆 tena haswa hawa wa Germany!
Naona hata mabibi waliofeli huko kwao wakija huku wanapanda dau,

Ila wale wazee wa kupenda madume ndo hawafai, wamasai huko Zanzibar naskia wengine wanakalia
 
Back
Top Bottom