Moja ya records za mwisho za Franco kabla hajaaga dunia
Les Rumeurs
Mboka epanzani sango eh eh
Majungu yanaendeshwa mjini kunihusu
Mboka epanzi ngai sango eh
Majungu yanaendeshwa mjini kunihusu
Balobi, akoti lopitalo eh
Wanasema nipo hospitali
Balobi, ba moni ye na Ngaliema eh
Wanasema nimeonekana Ngaliema eh (Ngaliema ni hospitali kubwa Kinshasha)
Balobi, akende Bruxelles oh
Wanasema nimekwenda Brussels (Kwa matibabu)
Balobi, ba moni ye na Anvers oh
Wanasema nimekenda Anvers oh (Anvers ni moja ya hospitali kubwa Brussels)
Balobi, akende Paris eh
Wanasema nimeenda Paris
Balobi, ba moni ye na Geneve
Wanasema nimeonekana Geneva
Balobi, akende na America eh
Wanasema nimeenda America eh
Parti Etat, efuteli ye ticket oh
Amepata tiketi ya kuondokea oh
Balobi, akende Paris eh
Ameenda Paris eh
Balobi, ba moni ye na Geneve
Ameonekena Geneva
Balobi, akende na America
Amekwenda America
Parti Etat, efuteli ye ticket oh
Amepata tiketi ya kuondokea oh
Verse 1
Swela obota ngai, ngai makila mabe maman
Swela ulinizaa, nilizaliwa na damu mbaya (akimaanisha mikosi)
Ebele ya bato oyo, ba lingi ngai te
Watu wengi hawanipendi
Lelo na moni na miso maman
Leo nimeona kwa macho yangu
Nasala nini mokili
Nitafanya nini ulimwenguni
Zairois alingaka se na tango ya bisengo eh
Wazaire wanakupenda wakati wa raha (bisengo ni raha)
Malade ba kangi yo
Ukipata maradhi yo (malade ni maradhi)
Akomi ko seka yo eh
Wanaanza kukucheka eh (Koseka ni kucheka)