Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo kwamba inaitwa Nakozonga?Nangozoma -by:- lokua kanza mwenye nao aniwekee hapa naupenda kweli hii music ya bana ba Congo!
mobimba maana yake ni nini?
Machugu mtu wa Mara anajua LingalaJumanne kuanzia saa 4-7 usiku,mtangazaji ni Charles Machugu, anajitahidi kwa kiasi chake
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Nalingi koloba lingala Papaa!!! umefanya vizuri kuileta kwa jukwaa hii ishuHapa wadau
Ni iwe ulijifunza, uliishi Congo na unaweza kuongea lingala basi unaweza kushare hata mistari miwili mitatu ukaeleza ina maana gani ili watu wanifunze lingala,
Mfano ule wimbo wa donat mwanza pale alipoimba “ Bana Congo tosimbanamaboko, congo elonga alimaanisha “ wakongomani wote tushikane mkono au tuungane Kongo isonge mbele “
Maneno kama Bolingo Nangai ni kusema mpenzi wangu au posa na bolingo inamaana ya kiu ya mapenzi, naomba wadau tuendelee kutiririka.
Mnaanza matusi sasa[emoji23][emoji23][emoji23]Litombo