Wazuri katika Mungu hawafi na wakifa husiifiwa sana kwa kuwa wanaenda Mbinguni kwa Mungu

Wazuri katika Mungu hawafi na wakifa husiifiwa sana kwa kuwa wanaenda Mbinguni kwa Mungu

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Hello Mungu ni mwamba wa yote!

Ama kwa hakika wazuri miongoni mwa wakorinto hawafi, na wakifa husifiwa mithili ya malaika wateule waishio thethalonike.

Spinning for the dead angels does not live long and doesn't work with the common majority. Now that, the minority have assumed bust up and ceremonial pwipwi.

It's time for glass and wine toasting once again, we hope they will converge a more bigger and fanatically organized event for themselves.

The balance sheet of Almighty God is loading. Manyuza is on alert the blessings are with him.

Yao macho ya walimwengu masikio.

Kwa matendo yetu kazi ya Mungu iendelee kutendeka kwa maana ufalme ni wa wazuri wampendezao Mungu.

Kwako Mungu pokea dua dhihirisha ukuu wako wewe hubagui kamwe na ni mwenye reciprocal hit back.

Tuendelee kushikamana kwa umoja wetu.

🙏🙏🙏 Lord

Amen
 
... ni kweli wazuri hawafi; inawezekana aliyetoa kauli ile alizungumza kiroho zaidi kama andiko hilo lishuhudiavyo. Madhalimu hufa kimwili na kiroho bali wenye haki huishi milele.

"Yesu akamwambia, Mimi ndimi huo ufufuo, na uzima. Yeye aniaminiye mimi, ajapokufa, atakuwa anaishi; naye kila aishiye na kuniamini hatakufa kabisa hata milele. Je! Unayasadiki hayo?"
 
Back
Top Bottom