WB Yaikopesha Tanzania Bilioni 284 Za Kuimarisha Jinsia na Kukabilina na Ukatili

WB Yaikopesha Tanzania Bilioni 284 Za Kuimarisha Jinsia na Kukabilina na Ukatili

Mara zote naunga mkono Serikali kukopa na Kwa kweli Iendelee kukopa Kwa sababu Nchi zote zilizoendelea zinakopa sana.

Hoja ni aina gani ya mikopo? Mikopo ya dizaini hii sikubalini kabisa.

Aliyeelewa jinsi huo Mkopo utatekekeza hayo mambo anisaidie.👇👇

View: https://www.instagram.com/reel/DDezmT7NXpU/?igsh=MXhsOTVicXMxeXNidg==
My Take
Mikopo ya hivi sijui nani Huwa anashuri na kuipitisha.
Kuna maeneo hayana Barabara za Mikoa kwa Mikoa badala tukopee miradi tunakopea posho,duu kazi ipo.

I stand to be corrected.

Mikopo hii ni kwa ajili ya kuniweka sawa kwa uchaguzi ujao kwani ni uchaguzi unaohitaji mgombea ajipake mapesa ili kila apitapo wapigakura wamtambue bila ya kuuliza. Hizo ni baadhi tu ya pesa watakazo gawana, hebu turejee zile pesa za juzi eti pesa za sherehe ya Uhuru zitumike mikoani kwa kufanya sijui jigijigi! Kuna wa Arusha waliombea mapepo, kuna wa Moshi walisafishia makaburi! Kuna wa Dar hatujui kama kweli walipanda miti na sijui waliinunia toka kwa mganga gani! Ila zilitumika kwa kupeana, nalo ni deni kwetu kwani tumepigwa na tutaendelea kupigwa mpaka uchaguzi uishe.
 
Mara zote naunga mkono Serikali kukopa na Kwa kweli Iendelee kukopa Kwa sababu Nchi zote zilizoendelea zinakopa sana.

Hoja ni aina gani ya mikopo? Mikopo ya dizaini hii sikubalini kabisa.

Aliyeelewa jinsi huo Mkopo utatekekeza hayo mambo anisaidie.👇👇

View: https://www.instagram.com/reel/DDezmT7NXpU/?igsh=MXhsOTVicXMxeXNidg==
My Take
Mikopo ya hivi sijui nani Huwa anashuri na kuipitisha.
Kuna maeneo hayana Barabara za Mikoa kwa Mikoa badala tukopee miradi tunakopea posho,duu kazi ipo.👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DDe0KhjiOgQ/?igsh=MW1sbXViMG5wc2Zqdw==

I stand to be corrected.



Yaani uchawa ni ugojwa.

Pesa kupambana na ukatili wakati hao hao serikali wanateka watu na kuwauwa. Hii nchi imekuwa takataka
 
Mara zote naunga mkono Serikali kukopa na Kwa kweli Iendelee kukopa Kwa sababu Nchi zote zilizoendelea zinakopa sana.

Hoja ni aina gani ya mikopo? Mikopo ya dizaini hii sikubalini kabisa.

Aliyeelewa jinsi huo Mkopo utatekekeza hayo mambo anisaidie.👇👇

View: https://www.instagram.com/reel/DDezmT7NXpU/?igsh=MXhsOTVicXMxeXNidg==
My Take
Mikopo ya hivi sijui nani Huwa anashuri na kuipitisha.
Kuna maeneo hayana Barabara za Mikoa kwa Mikoa badala tukopee miradi tunakopea posho,duu kazi ipo.👇👇

View: https://www.instagram.com/p/DDe0KhjiOgQ/?igsh=MW1sbXViMG5wc2Zqdw==

I stand to be corrected.

Mambo ya G20 hayo.

Nchi imefongoka....dola zimejaa mpaka zinamwagika

Lucas Mwashamba.
 
Najua Sana mkuu ...
Hizi pesa zinaenda kupigwa na wajanja Kwa Gia ya kuruhusu Haki za mashoga pamoja utawala bora
Kwenye hili hutasikia Westerners wakilalamkka hata Watu wapigwe risasi live.

Ccm imecheza vizuri sana.
 
W
Hapa wanadai ni sawa na Ile ya fanco phone countries,yaani Kuna deni tunalipa huko duniani Mana wazungu waliondoka kwa masharti kuwa lazima tulipwe tulichotengeneza la sivyo tunavunja ndipo tuondoke.
So Kuna Siri kubwa huko juu mpaka ufikepo ndipo uyajue.
Sie ni watumwa mpaka milele kwa Hawa jamaa weupe.
Madini wanachukua kufidia gharama za ukoloni Mana walijenga shule ,kanisa,roads nk
Jpm alisema kuwa Kuna miktaba ya OVYO

Mlijua anatania. Yaani ukiwa na roho ya ubinadamu huwezi kuwa kiongozi wa nchi hii cheki wote wanaotetea wananchi hawadumu ama tuanze kuwaorodhesha.
Waorodheshe
 
Wakuu,

Mwigulu ameendelea kukopa mikopo yenye "masharti nafuu" kutoka taasisi mbalimbali za fedha akisahau kuwa nchi hii kuna kipindi iliitwa "donor cantre"

==================================================

Serikali ya Tanzania na Benki ya Dunia (WB) wamesaini mikataba miwili yenye thamani ya dola za Marekani milioni 104, sawa na takriban shilingi bilioni 248, kwa ajili ya kusaidia utekelezaji wa Mradi wa Kukuza Usawa wa Kijinsia Nchini Tanzania maarufu kama “PAMOJA”.

Hafla ya utiaji saini wa mikataba hiyo imefanyika Jijini Dar es salaam kati ya Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba kwa niaba ya Serikali na Mkurugenzi Mkazi wa Benki ya Dunia, Nathan Belete.

millardayo_1734028620404.jpeg

Akifafanua kuhusu mikataba hiyo, Dkt. Nchemba amesema kuwa mkataba wa dola za Marekani milioni 4, sawa na zaidi ya shilingi bilioni 9.5 ni msaada na mkataba wa dola za Marekani milioni 100, sawa na zaidi ya shilingi bilioni 238 ni mkopo wenye masharti nafuu.

“Hili litatimizwa kupitia uimarishaji vikundi vya wanawake kwa kuwajengea ujuzi wa biashara na kuwaunganisha na fursa za masoko, kuongeza fursa za mikopo nafuu kwa vikundi vya wanawake, kuwaongezea upatikanaji wa huduma za kifedha kupitia mifumo rasmi ya kifedha pamoja na kuimarisha huduma za kukabiliana na ukatili wa kijinsia”

Amesema mradi huo utawanufaisha moja kwa moja Wanawake wapatao 319,850 na walengwa wengine 399,000, wakiwemo Wanafamilia za wanufaika.

Source: Millard Ayo
 
Hizo hela zote zinaenda kuliwa na wajanja, halafu deni tunalipa wananchi wote kupitia tozo kandamizi, kodi kandamizi, nk. This is not fair at all!
 
Haha! kabla hatujafika mbali samahanini hao WB wanaamini ktk jinsia ngapi..?
isijekuwa wanaamini na wale wa upinde baadae hizo fedha zikaanza kuleta utata!, tukaanza kuambiwa na wale ni jinsia ya tatu hivyo wanahaki ya kuwekewa usawa wa kijinsia!.

Dunia lasasa ni kama limevaa sketi bila chupi...🤣
 
Hizo hela zote zinaenda kuliwa na wajanja, halafu deni tunalipa wananchi wote kupitia tozo kandamizi, kodi kandamizi, nk. This is not fair at all!

Amesema deni lina "masharti nafuu" ila hayo masharti hajayataja
 
Wakuu,

Mwigulu ameendelea kukopa mikopo yenye "masharti nafuu" kutoka taasisi mbalimbali za fedha akisahau kuwa nchi hii kuna kipindi iliitwa "donor cantre"

==================================================

Serikali ya Tanzania na Benki ya Dunia (WB) wamesaini mikataba miwili yenye thamani ya dola za Marekani milioni 104, sawa na takriban shilingi bilioni 248, kwa ajili ya kusaidia utekelezaji wa Mradi wa Kukuza Usawa wa Kijinsia Nchini Tanzania maarufu kama “PAMOJA”.

Hafla ya utiaji saini wa mikataba hiyo imefanyika Jijini Dar es salaam kati ya Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba kwa niaba ya Serikali na Mkurugenzi Mkazi wa Benki ya Dunia, Nathan Belete.


Akifafanua kuhusu mikataba hiyo, Dkt. Nchemba amesema kuwa mkataba wa dola za Marekani milioni 4, sawa na zaidi ya shilingi bilioni 9.5 ni msaada na mkataba wa dola za Marekani milioni 100, sawa na zaidi ya shilingi bilioni 238 ni mkopo wenye masharti nafuu.

“Hili litatimizwa kupitia uimarishaji vikundi vya wanawake kwa kuwajengea ujuzi wa biashara na kuwaunganisha na fursa za masoko, kuongeza fursa za mikopo nafuu kwa vikundi vya wanawake, kuwaongezea upatikanaji wa huduma za kifedha kupitia mifumo rasmi ya kifedha pamoja na kuimarisha huduma za kukabiliana na ukatili wa kijinsia”

Amesema mradi huo utawanufaisha moja kwa moja Wanawake wapatao 319,850 na walengwa wengine 399,000, wakiwemo Wanafamilia za wanufaika.

Source: Millard Ayo
Tulitarajia iwe mikopo ya maendeleo kama ujenzi wa miundombinu lakini serikali inakubali kupokea mkopo ambao hauna tija kwa jamii ya Tanzania.
 
Hakika, watapata mitaji ya biashara, nyumba salama kwa manusura wa ukatili ambao wengine huwa mnatoa taarifa humu, vituo vya malezi na makuzi ya watoto vitajengwa, ofisi za maafisa ustawi wa jamii na maendeleo ya jamii zitajengwa na vitendea kazi vyao ikiwemo usafiri vitapatikana. Hii ni kwa uchache.
 
Tulitarajia iwe mikopo ya maendeleo kama ujenzi wa miundombinu lakini serikali inakubali kupokea mkopo ambao hauna tija kwa jamii ya Tanzania.
Miundombinu na vitendea kazi kwenye mradi huu ndiyo sehemu kubwa;

1. Mitaji ya biashara,
3. Nyumba salama kwa manusura wa ukatili ambao wengine huwa mnatoa taarifa humu,
4. Vtuo vya malezi na makuzi ya watoto,
5. Ofisi za maafisa ustawi wa jamii na maendeleo ya jamii zitajengwa na
6. Vitendea kazi vyao ikiwemo usafiri vitapatikana.

Hii ni kwa uchache.

Ahsante kwa maoni ✍🏻
 
Back
Top Bottom