WCB: Birthday ya 21 ya mavoko,sherehe tunafanyia South Afrika.

WCB: Birthday ya 21 ya mavoko,sherehe tunafanyia South Afrika.

🙄 21 yrz!!!!!!!!!!!
Sura yake ina- reflate 29-30Yrz au kaambiwa ukidanganya Umri utazidi kukaa Mzigoni kama hawa wazee waliokomalia maofisini wakiamini bado umri unamruhusu ! Mavoco bhana😵!
 
Jaribuni kuwa waelewa,kuna umri wa kazi na umri halisi. Overstood?
 
miake 21 labda ya zimbabwe aisee sio bongo kwakwel
 
Miaka 21 muonekano hule?huu ni uongo tena wa mchana kweupe au kwavle analelewa na WCB wakat agemet ya diamond kabisah yule
 
Duh, wakati anatoa ule wimbo video yake yuko LULU alikuwa na umri gani? Ebu tuacheni fix.
 
Unashangaa mavoko kua 21 dully saks alisema ana miaka 19 nikashika shavu
 
Samahani miaka mingapi vilee???
Huu uongo Mimi umegoma kumezeka.
Itakuwa ni 31 maana sio kwa uzee ile kama wa miaka 60.
Huyo sio wa 95 mwishoni huyo.
 
Wakati msanii Rich Mavoko akifikisha umri wa miaka 21 na hivyo kumfanya kuwa moja ya madogo wachache wanaocontrol industry,uongozi wa WCB umeamua kufanya kitu tofauti kabisa kwa kuporomosha bonge la sherehe maeneo ya South Africa.

WCB wamesema party hiyo iko wazi kwa mtanzania yyt ambaye yuko tayari kujilipia nauli ya kwenda na kurudi .hali hiyo imepokelewa tofauti na wadau wa burudani ambapo wengine wamedai ni njia nzuri ya kuzuia midananda.

Kwa maana nyingine itabidi ulipie nauli ya kwenda na kurudi South Africa ili kupata nafasi ya kupiga selfie na sahani ya chakula.
Mpaka leo asbh mfalme wa mitandao amethibitisha kuwa hatoweza kuhudhuria sherehe hiyo kutokana na gharama za maisha kuwa juu.
Mdau wa burudani nini maoni yako kuhusu Mavoko kushine katika umri mdogo?
Sio kweli mkuu mavoko hawezi kuwa mdogo hivyo


[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mavoko mtoto wa mwaka 1996 huu ni uongo mkuu
 
Miaka 21 duuh siwezi amini hata nioneshwe cheti cha kuzaliwa
 
Back
Top Bottom