princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,245
- 18,347
Mimi WCB kinachonikwaza ni kimoja tu!
producer!!!!!!!
producer akiwa mmbaya nyimbo zitakua mmbaya
waendelee tu leo kwa mensen, kesho kwa Tudd keshokutwa T touch kwa nahreel
producer wao mmbovu!!!
haendani na chama kubwa lile..
ni sawa na kumpa maximo afundishe Real madrid[emoji22]
Diamond huyo producer anachangia kutoka kwa nyimbo mbaya, beat ndo kila kitu Muziki wa darasa bila beat la TTouch nahisi ungekua ni miongoni mwa ngonjera tu.
mjirekebishe ,beat + mashairi + video + muimbaji = mziki mzuri
producer!!!!!!!
producer akiwa mmbaya nyimbo zitakua mmbaya
waendelee tu leo kwa mensen, kesho kwa Tudd keshokutwa T touch kwa nahreel
producer wao mmbovu!!!
haendani na chama kubwa lile..
ni sawa na kumpa maximo afundishe Real madrid[emoji22]
Diamond huyo producer anachangia kutoka kwa nyimbo mbaya, beat ndo kila kitu Muziki wa darasa bila beat la TTouch nahisi ungekua ni miongoni mwa ngonjera tu.
mjirekebishe ,beat + mashairi + video + muimbaji = mziki mzuri