WCB hamko serious na Videos mnazotoa sikuhizi

WCB hamko serious na Videos mnazotoa sikuhizi

Mimi WCB kinachonikwaza ni kimoja tu!

producer!!!!!!!
producer akiwa mmbaya nyimbo zitakua mmbaya

waendelee tu leo kwa mensen, kesho kwa Tudd keshokutwa T touch kwa nahreel
producer wao mmbovu!!!
haendani na chama kubwa lile..

ni sawa na kumpa maximo afundishe Real madrid[emoji22]

Diamond huyo producer anachangia kutoka kwa nyimbo mbaya, beat ndo kila kitu Muziki wa darasa bila beat la TTouch nahisi ungekua ni miongoni mwa ngonjera tu.

mjirekebishe ,beat + mashairi + video + muimbaji = mziki mzuri
 
Harmonize lile dude analovaaga kichwani sijui ni hirizi lile?
 
Mimi WCB kinachonikwaza ni kimoja tu!

producer!!!!!!!
producer akiwa mmbaya nyimbo zitakua mmbaya

waendelee tu leo kwa mensen, kesho kwa Tudd keshokutwa T touch kwa nahreel
producer wao mmbovu!!!
haendani na chama kubwa lile..

ni sawa na kumpa maximo afundishe Real madrid[emoji22]

Diamond huyo producer anachangia kutoka kwa nyimbo mbaya, beat ndo kila kitu Muziki wa darasa bila beat la TTouch nahisi ungekua ni miongoni mwa ngonjera tu.

mjirekebishe ,beat + mashairi + video + muimbaji = mziki mzuri
Kuna jamaa yule wa Uprise Music........."FRAGA"..........angewasaidia...........................
 
Back
Top Bottom