Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,976
- 32,195
Kwahiyo media ni bongo ni clouds pekeeimpact ya media ni kubwa sana mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo media ni bongo ni clouds pekeeimpact ya media ni kubwa sana mkuu
Nimekuelewa sana Mkuu. Umenikimbusha enzi zangu nameza! Catalyst is a chemical substance which speeds up the rate of reaction....!WCB income yao kubwa iko kwenye youtube na internet
hawahitaji clouds ili wafanikiwe
wanahitaji clouds kwa local spotlight ...
but kama wataanzisha media zao ...labda watafanikiwa kwa hilo..
But Ruge ni very smart hagombani na mtu ikiwa huyo mtu yuko top
anagombana only akiona decline imeshaanza...anaharakisha the fall ...
lets wait and see...
Mbosso sio level ya almasiyote kwa yote ukweli utabaki kuwa media wana impact sana kwenye muziki wetu... angalia kwa mfano mbosso, ndio kwanza ametambulishwa kundini na ametoa nyimbo mbili, kwa bahati mbaya kakutana na ugomvi, huoni kwamba huu ugomvi utamdhoofisha sana kijana ? muda utasema
Well said Mkuu,ni maslah yameingiliwa ndo chuki zote hizooo.by the way huyo MONDI wamemshindwa ndo mana wanachange kila gear ya kumkabiliHamna wanahabari huru mbele ya bosi wake kwa hiyo kawaida,ndio ujue uhuru wa habari kwa waandishi unamipaka.,bosi hakisema hamna basi hamna,na bosi hata akikosea vipi hutakiwi kuriport (mf Zamaradi na Mr Ruge).Tatizo la clouds hawataki mtu ujitambue,msanii akiwa mkubwa hata matumizi yanakuwa makubwa wao ,kila siku wanataka wakunyonye kisa wanakupa promo,hebu mcheki Barnaba ana nini .Alafu ilo swala la msani kuwa na media Mondi si wa kwanza akina Youssou N'Dour wana radio na wao kila siku wanazungumzia fursa na hizi ndio fursa kijana kaona kaamua kuifuata.Kwa staili hii ya Clouds ikiendekezwa tutatengeneza WASANII MASIKINI WENYE MAJINA MAKUBWA mf Barnaba.Ukichunguza huu mgogoro ni watu tu wanaona maslai yao yanavurugwa na Diamonda anaonekana hana nidham sababu ya kutetea maslai yake.Nakuhusu kushuka hiyo ni kawaida ktk sanaa kwani akina R kelly,P.didy,Brandy,Monica wapo wapi lkn leo si unaona wapo vizuri kiuchumi kwa hiyo tatizo sio kushuka bali unashuka huku ukiwa na Investment zinazokubeba na dogo kaamua kuwekeza na mkae mkijua hamna msanii ambaye hatokuja kushushuka (hata upewe promo kila sek kushuka lazima
) .Bora ushuke huku ushawekeza ,kuliko kushuka alafu hauna kitu kisa ulikuwa unataka upate promo.(kumsaidia mtu si lazima huko mbele umnyonye hata huyo LIL WYNE nae kamkazia BIRDMAIN na kamwambia album mpya haachii mpaka wampe dola mil 56,japokuwa alimsaidia sana)
Wanaweza ku deal na ruby au nandyJuzi nilimwambia jamaa yng ktk maongezi kuwa, clouds wangemuweza diamond yule wa 'nenda kamwambie', sio huyu wa leo wa 'sikomi'..... watahangaika sana.
Ten,times FM,magic na TBC wameanza kumendea fursa.HAPO NDIPO WASEMAPO KUFA KUFAANAKumbuka pia kuna baadhi ya media awapendi kuiona clouds ikiwa on form ivyoo i nikama vitaa izi media nyingne zita amia upande uu
Kbs Dreka, mm si mshabiki sana wa hz bongo fleva ila nimuonavyo mond ni km yupo serious sana na hii kazi yake! kupitia maisha magumu pengne kumemfanya kujitambua sana....Wanaweza ku deal na ruby au nandy
Ndo mnapodanganyana huko vijiwe vyenu vya mange siyo,mlivyo hamna haya kwa kuokoteza maneno hamfaiDiamond anapotea kwenye muziki kwa kasi sana, ukiangalia watu aliokuwa anashindana nao mfano Davido anazidi kumuacha mbali kwa mafanikio ya kimuziki.
Diamond yupo busy na beef lake na CMG, Mara huku anapelekwa mahakamani ana kesi na mchepuko wake(Hamisa). Kwa kifupi Diamond sasa hivi hana muda wa ku focus kwenye mziki wake.
Kweli mim pia si mpenz wa bongo flavour lakin struggle za almasi nazi appreciate sanaKbs Dreka, mm si mshabiki sana wa hz bongo fleva ila nimuonavyo mond ni km yupo serious sana na hii kazi yake! kupitia maisha magumu pengne kumemfanya kujitambua sana....
Kumiliki media sio sababu ya kutaka kunyanyasa wengine wasio na media.MEDIA can BUILD or DESTROY You! Period...
Diamond aache kujivuna kuna wanamuziki wengi duniani wameangushwa na MEDIA
Unamcheka mamba kabla hujavuka mto ........ Kuanzisha MEDIA sio jambo dogo so WCB wasijipandishe mabega safari bado sana.
Bashite anawajaza upumbavu ndio shidaKumiliki media sio sababu ya kutaka kunyanyasa wengine wasio na media.
Unaambiwa ukitaka kumuoana boss njoo afrika.
Ume wrong no.Bashite anawajaza upumbavu ndio shida