WCB hawajasikika top 20

WCB hawajasikika top 20

WCB income yao kubwa iko kwenye youtube na internet
hawahitaji clouds ili wafanikiwe
wanahitaji clouds kwa local spotlight ...

but kama wataanzisha media zao ...labda watafanikiwa kwa hilo..

But Ruge ni very smart hagombani na mtu ikiwa huyo mtu yuko top
anagombana only akiona decline imeshaanza...anaharakisha the fall ...
lets wait and see...
Nimekuelewa sana Mkuu. Umenikimbusha enzi zangu nameza! Catalyst is a chemical substance which speeds up the rate of reaction....!
 
Juzi nilimwambia jamaa yng ktk maongezi kuwa, clouds wangemuweza diamond yule wa 'nenda kamwambie', sio huyu wa leo wa 'sikomi'..... watahangaika sana.
 
Ukweli ni kwamba kwa sasa diamond ameshavuka level ya kutegemea media za ndan ili aweze ku mantain status yake.


Hiyo ban inaweza kuwa na madhara kwa wasanii kama Rama D au Nandy
 
yote kwa yote ukweli utabaki kuwa media wana impact sana kwenye muziki wetu... angalia kwa mfano mbosso, ndio kwanza ametambulishwa kundini na ametoa nyimbo mbili, kwa bahati mbaya kakutana na ugomvi, huoni kwamba huu ugomvi utamdhoofisha sana kijana ? muda utasema
Mbosso sio level ya almasi
 
Well sa
Hamna wanahabari huru mbele ya bosi wake kwa hiyo kawaida,ndio ujue uhuru wa habari kwa waandishi unamipaka.,bosi hakisema hamna basi hamna,na bosi hata akikosea vipi hutakiwi kuriport (mf Zamaradi na Mr Ruge).Tatizo la clouds hawataki mtu ujitambue,msanii akiwa mkubwa hata matumizi yanakuwa makubwa wao ,kila siku wanataka wakunyonye kisa wanakupa promo,hebu mcheki Barnaba ana nini .Alafu ilo swala la msani kuwa na media Mondi si wa kwanza akina Youssou N'Dour wana radio na wao kila siku wanazungumzia fursa na hizi ndio fursa kijana kaona kaamua kuifuata.Kwa staili hii ya Clouds ikiendekezwa tutatengeneza WASANII MASIKINI WENYE MAJINA MAKUBWA mf Barnaba.Ukichunguza huu mgogoro ni watu tu wanaona maslai yao yanavurugwa na Diamonda anaonekana hana nidham sababu ya kutetea maslai yake.Nakuhusu kushuka hiyo ni kawaida ktk sanaa kwani akina R kelly,P.didy,Brandy,Monica wapo wapi lkn leo si unaona wapo vizuri kiuchumi kwa hiyo tatizo sio kushuka bali unashuka huku ukiwa na Investment zinazokubeba na dogo kaamua kuwekeza na mkae mkijua hamna msanii ambaye hatokuja kushushuka (hata upewe promo kila sek kushuka lazima
) .Bora ushuke huku ushawekeza ,kuliko kushuka alafu hauna kitu kisa ulikuwa unataka upate promo.(kumsaidia mtu si lazima huko mbele umnyonye hata huyo LIL WYNE nae kamkazia BIRDMAIN na kamwambia album mpya haachii mpaka wampe dola mil 56,japokuwa alimsaidia sana)
Well said Mkuu,ni maslah yameingiliwa ndo chuki zote hizooo.by the way huyo MONDI wamemshindwa ndo mana wanachange kila gear ya kumkabili
 
Wanaweza ku deal na ruby au nandy
Kbs Dreka, mm si mshabiki sana wa hz bongo fleva ila nimuonavyo mond ni km yupo serious sana na hii kazi yake! kupitia maisha magumu pengne kumemfanya kujitambua sana....
 
Diamond anapotea kwenye muziki kwa kasi sana, ukiangalia watu aliokuwa anashindana nao mfano Davido anazidi kumuacha mbali kwa mafanikio ya kimuziki.
Diamond yupo busy na beef lake na CMG, Mara huku anapelekwa mahakamani ana kesi na mchepuko wake(Hamisa). Kwa kifupi Diamond sasa hivi hana muda wa ku focus kwenye mziki wake.
Ndo mnapodanganyana huko vijiwe vyenu vya mange siyo,mlivyo hamna haya kwa kuokoteza maneno hamfai
 
MEDIA can BUILD or DESTROY You! Period...

Diamond aache kujivuna kuna wanamuziki wengi duniani wameangushwa na MEDIA
Unamcheka mamba kabla hujavuka mto ........ Kuanzisha MEDIA sio jambo dogo so WCB wasijipandishe mabega safari bado sana.
 
MEDIA can BUILD or DESTROY You! Period...

Diamond aache kujivuna kuna wanamuziki wengi duniani wameangushwa na MEDIA
Unamcheka mamba kabla hujavuka mto ........ Kuanzisha MEDIA sio jambo dogo so WCB wasijipandishe mabega safari bado sana.
Kumiliki media sio sababu ya kutaka kunyanyasa wengine wasio na media.

Unaambiwa ukitaka kumuona boss njoo afrika.
 
Hivi huyu Ruge ana nini? Mwanzoni nilifikiri anaonewa, ila sasa ni too much.

Mbona anagombana na kila mtu mpaka mke wake yule mama watoto kabisa? Hua simuelewi halafu akigombana na mtu anataka ashuke. Anatumia ushawishi kwa media zake na CEO wengine kumzika mtu.
Si ajabu hata mtu mwenye watoto wake anataka kumuona akipata shida akisahau watoto wake ndio watateseka.

Japo sijawahi kua karibu nae lakini atakua na wivu wa maendeleo huyu jamaa.

Ifikie hatua sasa watanzania tuseme basi, kama ni kweli ana nia ya kumshusha Diamond na WCB nzima, nitakua tayari hata kuchangia any movement hili lisifanikiwe.
 
Back
Top Bottom