Walikosa misikiti ya kufanyia huo ujinga waoUsipomtaja alikiba uzi wako hautasomwa?
Kanisa mbona video za mbele tunaona scene hzo na hakuna shida yoyote na ndipo dini hizi zilipotokea?
Kwani hapa bongo kuna padri alilalamika,waambieni hao mazwazwa wenzenu,WCB forever
Achana na hyo kuna ile Church heathen ya Shaggy.Nawaza ile TUBONGE ya CHAMELEON
Mkuu mm mkristo wenzetu waislamu wanaheshimu Sana nyumba zao za ibada ipo siku porn zitafanyika kanisaniNasibu na zuhura kwani miskiti hamkuiyona? Waislamu wengi wanauonea ukristo kwa vile wakristu hawanaga habari ila wakristu wameamua kuwa na habari wao wanaona wamekosewa.
Sasa wabunge wanaheshima gani?Kosa la daimondi ni kufuturisha wabunge, ile ni dharau.
Toa tafsiri ya dini halafu ndio ushangae.Nashangaa kweli na ule wizi unaendelea pale tanganyika pekers kawe nayo ni dini?
Kinacho kufanya uwaze ni kitu gani? Wakati Kuna beti inasema "mungu baba tubonge; inahusiana na Mungu.Nawaza ile TUBONGE ya CHAMELEON
Watu mnalalamika eti aende msikitini akafanye hivyo[emoji2957][emoji2957], WAISLAMU wanaruhusiwa kuimba??? Katika uislamu hakuna mziki wa aina yoyote hivyo haiwezekani kwenda kuimba labda misikiti ya WAISLAMU wasiojitambua, tena wangewashiwa moto.
Nyinyi mnaimba na kucheza na yeye amefanya hivyo hivyo hamna kosa hapo. Kama mmechukia mezeni wembe [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Eyolaaaaaizaaaaa [emoji1][emoji1][emoji1]
Sasa wabunge wanaheshima gani?