WCB kukosea kupo kwanini mnajiona wa pakee

Usipomtaja alikiba uzi wako hautasomwa?
Kanisa mbona video za mbele tunaona scene hzo na hakuna shida yoyote na ndipo dini hizi zilipotokea?
Kwani hapa bongo kuna padri alilalamika,waambieni hao mazwazwa wenzenu,WCB forever
Walikosa misikiti ya kufanyia huo ujinga wao

USSR
 
Yeye ni islamu ameshindwa nini mpaka aende upande usio muhusu?, Nisawa kufungia hiyo nyimbo na awache kucheza na imani za watu iko siku atasababisha sinto fahamu.
 
Wajinga hao. Misikiti imejaa kipa kona wakaigize huko upuuzi wao huko.

Basata huu uwe umuendelezo hata kwa wale bongo movie wanaonajisi kanisa
 
Watu mnalalamika eti aende msikitini akafanye hivyo🤪🤪, WAISLAMU wanaruhusiwa kuimba??? Katika uislamu hakuna mziki wa aina yoyote hivyo haiwezekani kwenda kuimba labda misikiti ya WAISLAMU wasiojitambua, tena wangewashiwa moto.


Nyinyi mnaimba na kucheza na yeye amefanya hivyo hivyo hamna kosa hapo. Kama mmechukia mezeni wembe 🤪🤪🤪
 

Kama waislamu hawataki kuimba kaswida ni kitu gani? Pia waimbaji wengi hujenga misikiti kama sadaka ili kutakatisha, mbona huwa hawaikatai?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…