WCB kwa hili la kuidharau BASATA, hamtabaki salama

Watu wa dar achen ushamba hakuna kifupi cha nyegezi.WCB nyota kwisha baada ya kudhalilisha wanawake weee now wamehamia kuparamia majina na kugeuza kwa maana zao.

Kiki imebuma wafute tu huo wimbo
MANENO kuntu walahi
 
Je Basata waliwapa official letter juu ya hayo kabla hawajakimbilia kuongea na mapaparazi?. kama hawakuwapatia na wanasubiri wasikilizie mitandaoni basi nao ni majipu tu

Shame hawajiongezi katika kazi zao kwa mengi hadi leo.
MAKONDA OYEEEE
 
noted
 
Na haya ndo maoni ya wadau huko YouTube

Imenibidi nicheke tu kwakweli hahaha
wanaume wa mkoani mna nini lakini.
 
hahah jamaa wa WCB wanatoaga miziki ya XXX(P0RN), kwa nini BASATA wasiifungie maisha hii REBO...😎😎😎
 
Sasa youtube wao basata ina wahusu nini?
 
huwezi kuufungia wimbo... wafanye censorship Tu maneno yasiyotakiwa yafutwe.... kuwe na clean and dirty version baas
 
Ndugu mwanaJamiiforum hebu toa maoni yako juu ya kufungiwa kwa wimbo wa 'mwanza' kwa upande wangu basata naona wapo sahihi.kabisa ila naona wanakosea
Kutaka ufutwe hadi YouTube
Kwanii MTU mpaka autafute YouTube ni mapenzi yake mwenyewe
Pili nawaomba WCB wabadilike kidogo kwani karibia nyimbo zao zote za hivi karibuni ni za matusi sana
Alafu basata wanafanya makosa kuzuia wimbo usipigwe kwenye tamasha la kitaifa (wasafifestival)
Kwani inajenga taswira mbaya kwa
Mashabiki inakuwa kama kuna MTU anawashinikiza nyuma ya pazia kwasababu mimi ni mdau wa burudani sana nimefatilia tamasha la fiesta na numeshuhudia wimbo uliofungiwa (kiba 100) ukitumbuizwa na hakuna hatu zozote zilizochukuliwa alafu kwenye tamasha wanaoenda ni watu wazima
Kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…