BASATA ni chombo rasmi cha serikali ambacho kinafanya kazi kwa niaba ya serikali.
Leo wametangaza kuufungia wimbo wa Mwanza na kuwataka WCB wauondoe kwenye digital media zao zote.
Cha ajabu ni kwamba, badala ya kufanya hivyo wao ndio wanazidi kuutangaza tena kwa nguvu zote kuliko hata ilivyokuwa mwanzo, kana kwamba wanaonyeshana umwamba..
Hili sio sawa, hata kama hamkubaliani nao, taratibu zipo za kulalamika na kukata rufaa. Kwa nyie kujiona kwamba mko juu ya sheria hili haliwezi kuwaacha salama! ... mark my words.
Leo wametangaza kuufungia wimbo wa Mwanza na kuwataka WCB wauondoe kwenye digital media zao zote.
Cha ajabu ni kwamba, badala ya kufanya hivyo wao ndio wanazidi kuutangaza tena kwa nguvu zote kuliko hata ilivyokuwa mwanzo, kana kwamba wanaonyeshana umwamba..
Hili sio sawa, hata kama hamkubaliani nao, taratibu zipo za kulalamika na kukata rufaa. Kwa nyie kujiona kwamba mko juu ya sheria hili haliwezi kuwaacha salama! ... mark my words.