WCB kwa hili la kuidharau BASATA, hamtabaki salama

WCB kwa hili la kuidharau BASATA, hamtabaki salama

BASATA ni chombo rasmi cha serikali ambacho kinafanya kazi kwa niaba ya serikali.
Leo wametangaza kuufungia wimbo wa Mwanza na kuwataka WCB wauondoe kwenye digital media zao zote.
Cha ajabu ni kwamba, badala ya kufanya hivyo wao ndio wanazidi kuutangaza tena kwa nguvu zote kuliko hata ilivyokuwa mwanzo, kana kwamba wanaonyeshana umwamba..
Hili sio sawa, hata kama hamkubaliani nao, taratibu zipo za kulalamika na kukata rufaa. Kwa nyie kujiona kwamba mko juu ya sheria hili haliwezi kuwaacha salama! ... mark my words.
Hawawezi kushindana na vyombo vya serikali,hawa ni wazee wa kiki kwahiyo wanatumia siku ya leo kufanya makiki yao na promotion zao kisha wakishaenda kwa pilato wanakuwa wadogo kama piriton,basata wawape wiki moja wafute USENGE wao na NYEGE zao kwenye platforms zote wasipofanya hivyo wafungiwe kujihusisha na muziki.
 
Watananzania wenzangu samahani kidogo kwa kuuliza...BRACK ndio nn?
 
mechanism ya Basata ni ovyo sana wanasubiri wimbo utoke alafu watangaze kuufungia tena kwa kuwataka waliouweka ndio wautoe kama lengo ni kusimamia sanaa kwanini hizo nyimbo zisihakikiwe kabla hazijatolewa na msanii akikiuka ni kumpa maelelekezo TCRA anautoa fasta kabla haujawa na damage kubwa kisha wanadeal nae accordingly sasa hivi hata wakiufungia ni porojo tu mtaani kila nyumba upo offline zamani sana .... my take BASATA ni jipu wasanii waombe litumbuliwe for rhe time being ni kama wanaupa tu kick huo wimbo maana na mie imebidi niutafute....
 
Tatizo si kifupi cha neno,bali namna na Wakati hilo neno lilivyotumika. Hawa WCB naona wameanza kupotoka kwa kulewa sifa
 
Ila inaitwa Sengerema ingawa sijawahi fika huo mji wa washamba lakini spelling zake ni Sengerema...nasikia wenyeji wao wanaitwa Wasengerema
 
Ngoja niupakue kabla hawajauondoa. Ila wcb wachokozi sana
 
Kutoka Argentina hapa sisi tunanyegeka tu...

Ni huku Argentina Manzese.
 
Hivi nani ndiye mlezi wa WCB?

Dad is coming.
 
Je Basata waliwapa official letter juu ya hayo kabla hawajakimbilia kuongea na mapaparazi?. kama hawakuwapatia na wanasubiri wasikilizie mitandaoni basi nao ni majipu tu

Shame hawajiongezi katika kazi zao kwa mengi hadi leo.
 
Je Basata waliwapa official letter juu ya hayo kabla hawajakimbilia kuongea na mapaparazi?. kama hawakuwapatia na wanasubiri wasikilizie mitandaoni basi nao ni majipu tu

Shame hawajiongezi katika kazi zao kwa mengi hadi leo.
Mlezi wa WCB unamjua?

Dad is coming.
 
Asa shekere.mwendo wa kandanda ndani ya nangwanda,,,sa nisogezee leta msambwanda nikazie nganganga,,ananivuta geto nikampige bunduki!! Hee bunduki,,ila naogopa central michezo ya umber rutty,,
 
Back
Top Bottom