WCB kweli mmefikia hii hatua????

Kaka unabidi uwazoee wao wapo kwa ajili ya kuangalia mabo negative ya Mondi,hao ni ndugu zangu wa side B lakini matukio ya ndugu yao hawa yaanzishi thread ,nguo kama hizi angevaa Diamond ungeuona uzi umeanzishwa ila kavaa ndugu yao wanaona sawa,
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]chezeya kuikomoa basata
🤣🤣🤣🤣Wapige shoo huko BASATA wana wa Subiri kwa hamu walejee Tz
 
Mfano kwa jinsi demond alivyo kuwa anatingisha makalio angetokea shabiki akamvua ile suluali je kumbuka kwenye shoo asilimia kubwa wamelewa anacheza kijinga akitokea mwehu kumvunjia heshima.
 
Aaaah...! Hapo ndio nimeelewa. Kumbe ksbb ya zile side,wanatafutiza chochote cha kuponda? Mimi shabiki wa mtu anaefanya vizuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kidume kushikwa Dushe na mademu mashabiki sio noma, ila kushikwa tako nta comment bdae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…