True mkuu..yaani ni sawa na useme Popstar ni ya Drake akati ni ya DJ Khaled,,Sexy mama Ni ya Rommy Jones Ila kaimba Lavalava kama wanavofanyaga kina DJ Snake,David Guetta,Major Laser,DJ Neptune,DJ Seven,Alan Walker nk.Mmmmh ya kweli haya?
Sawa sawaWazo zuri ila vyema wakajikita kwenye kuibua vipaji vipya pia
Nimeelewa sasa kakaTrue mkuu..yaani ni sawa na useme Popstar ni ya Drake akati ni ya DJ Khaled,,Sexy mama Ni ya Rommy Jones Ila kaimba Lavalava kama wanavofanyaga kina DJ Snake,David Guetta,Major Laser,DJ Neptune,DJ Seven,Alan Walker nk.
Kula 5Nimeelewa sasa kaka
Jamaa amuelewi yeye analazimisha wote tusimuelewe, Lava Lava yupo vizuri kuna "niue" "Go Gaga" "Gundu" hizo ngoma noma Sana.Lavalava ni bonge la msanii sema kila mtu hawez kukubali,Hv ushasikilizaga "Dede" au ushawahi kusikiliza "hatuachani" dogo yuko vzuri sana sema huwezi kukubalika kwa kila mtu,though mm hata huyo mboso simkubali kabsa.lavalava ana goma lake jipya "ipekeche" hili goma weka kwenye bufa la maana halafu tuliza masikio utakuja kunishukuru!
Umelazimishwa na nani?Jamaa amuelewi yeye analazimisha wote tusimuelewe, Lava Lava yupo vizuri kuna "niue" "Go Gaga" "Gundu" hizo ngoma noma Sana.