Levels baby
JF-Expert Member
- Sep 26, 2019
- 831
- 770
- Thread starter
-
- #101
Hawez kuizima mana leo ndio inapelekwa uswahiliniDiamond ni genius nyie yupo kibiashara na anajua mbinu za ela hayo aloyafanya Jana ni moja ya njia mpka Leo hamjamuelewa tu yalofanywa Jana ni kuizima ngoma ya uno midomoni badala yake mdiscuss hili tunalofanya sasa
Maneno ya kuwa 'Domo' atapotea yameshakuwa bullshit story, yameanza zamani lakini ndiyo kwanza dogo anazidi kupaa.Naona boss Diamond hataki kukubaliana na ukweli kuwa Kondeboy kaondoka katika umiliki wake mpaka kutaka kutumia nguvu kubwa kutaka kumzima dogo huku amesahau kuwa alimfundisha njia zote ili arithi kiti chake, lakini alishindwa kucheza game ambayo ni fair kwa mfundishwaji.
Nikukumbushe unakumbuka safari yako ya mziki kwa kiasi kikubwa aliishikilia Ruge Mutahaba na akakufundisha njia zote bila kujua ipo siku utamkimbia na kutafuta chako mana mkataba wako nae uliiona unakunyonya, ndivyo ilitakiwa uucheze mchezo vizuri kuhusu kumsimamia Kondeboy.
Ilitakiwa umuongezee asilimia katika mapato ya show zake hata lebo kubwa duniani huwa zikiona msanii ana impact kubwa kwenye lebo zinamrekebishia mkataba ili nae anufaike zaidi kupitia jasho lake sasa wewe Kondeboy akapige show ya million 40 halafu mwisho wa siku achukue million 10.
Lingine najua kinachokuumiza ni yule bwana mdogo kuwa na akili za kujiongeza na impact yake uliona alivyoanzisha hiyo Zoom Production, lakini naona siku hizi kila mahali unamuweka karibu director Kenny ili asiondoke chini yako, sasa nikuambie dogo hata hiyo zoom kawaachia ila anahitaji amani nanyi ili mfanye kazi ya kulisukuma gurudumu la mziki.
Ila nawaonya mkiendelea kumuwaza bwana mdogo mtapotea maana nguvu aliyonayo nyuma yake sisi wengine tunaijua mtachemka vibaya mno.
Ngoma ipo kilocal haitavuka mipaka ya east AfricaHawez kuizima mana leo ndio inapelekwa uswahilini
Harmonize akimpita kwanza rayvanny ndo tutaamini kama anaweza kumpita diamond, note,hakuna msanii na hatotokea wa kumpita diamond.harmonize hata 1/3 tu ya diamond ajafika sembuse kumtetemesha?au kwa kuwa unajiita jina la kauli mbiu ya tigo fiesta levels baby(shoga),afu pia usimfananishe diamond (mbingu) na huyo ruge wako(ardhi) sawa.
Angalia pia upinzani alioupata baada kuachia ngoma yake kama asingekuwa na nguvu mngemzimakupata views 1m si tatzo, angalia nguvu kubwa aloitumia
Wewe ndio akili hamna kabisa eti hakuna mwanamziki atakuja kumpita Domo wewe ushabiki wako wa kijijini kabisa kila kitu kina isha hao kina billgates wanapata wapinzani kina Bakhressa wanapata wapinzani itakua DomoHarmonize akimpita kwanza rayvanny ndo tutaamini kama anaweza kumpita diamond, note,hakuna msanii na hatotokea wa kumpita diamond.harmonize hata 1/3 tu ya diamond ajafika sembuse kumtetemesha?au kwa kuwa unajiita jina la kauli mbiu ya tigo fiesta levels baby(shoga),afu pia usimfananishe diamond (mbingu) na huyo ruge wako(ardhi) sawa.
Kaka anajaribu kuficha hisia inashindikanaHarmonize kondeboy jeshi mutu peke aliyechomoa betri kwenye back ya domo
Mtu yuko busy na wasanii wenzie wakubwa ambao wamewahi kuchukua tuzo kubwa kubwa huko nchi za watu dunia iliko,kina wizkid tiwa savage nk, aanze kumfikilia msaani wa chitoholi kusini mwa gamboshi?Kaka anajaribu kuficha hisia inashindikana
Kwani huu wimbo wa diamond au jux,Nilichowaambia ni hiki nazan mmeamini .....kasikia mtoto anadondosha jiwe kesho kawashwa View attachment 1253221
Tulia dawa iwaingie vizuriKwani huu wimbo wa diamond au jux,
Mkuu Acha kuwashwa.
#levelsbaby πππππππππNimewaambia kk atapagawa sasa kaenda kufanya sponsored kuitafuta namba moja View attachment 1258778
sawa babu taleHiki ndio kitu Diamond alichotaka na kimeanza kufanya kazi, lengo lake lilikuwa awahamishe akili watanzania kutoka ushindani kati yake na ali kiba ambae kwa muda mrefu amesafiria nyota ya diamond na hiki kitu diamond hakikupemda
kwa sasa akili za wengi zimehamia kwenye ushindani Diamond vs Harmonize, Ali kiba hazungumziwi sana na hata Jana alipotoa ngoma haijabamba youtube.....Diamond alichifanya ni kama muuza chipsi kufungua banda la pili ili kumshusha jirani yake.
Hakuna bifu kati ya diamond na harmonize, ni mbinu tu ya kumpoteza kiba, hata harmonize anaendelea kumtania kishkaji diamond kwenye ngoma yake mpya,,,uno la Chibu chibu linamkondesha zari [emoji16] [emoji16]
Ni mbaya Sana kufananisha mtu mmoja na taasisi ....View attachment 1258842