WCB mshaurini boss wenu, akiendelea kumuwaza Kondeboy atapotea

WCB mshaurini boss wenu, akiendelea kumuwaza Kondeboy atapotea

Diamond ni genius nyie yupo kibiashara na anajua mbinu za ela hayo aloyafanya Jana ni moja ya njia mpka Leo hamjamuelewa tu yalofanywa Jana ni kuizima ngoma ya uno midomoni badala yake mdiscuss hili tunalofanya sasa
Hawez kuizima mana leo ndio inapelekwa uswahilini
 
KONDE ATAPIGA SHOW WASAFI FESTIVAL TENA BURE

tushasema dogo hataki ugomvi na nyie sema mnalazimisha
 
Wenzetu wanaingiza mamilioni sie tunabaki na ushabiki maandazi😃😃
 
Naona boss Diamond hataki kukubaliana na ukweli kuwa Kondeboy kaondoka katika umiliki wake mpaka kutaka kutumia nguvu kubwa kutaka kumzima dogo huku amesahau kuwa alimfundisha njia zote ili arithi kiti chake, lakini alishindwa kucheza game ambayo ni fair kwa mfundishwaji.

Nikukumbushe unakumbuka safari yako ya mziki kwa kiasi kikubwa aliishikilia Ruge Mutahaba na akakufundisha njia zote bila kujua ipo siku utamkimbia na kutafuta chako mana mkataba wako nae uliiona unakunyonya, ndivyo ilitakiwa uucheze mchezo vizuri kuhusu kumsimamia Kondeboy.

Ilitakiwa umuongezee asilimia katika mapato ya show zake hata lebo kubwa duniani huwa zikiona msanii ana impact kubwa kwenye lebo zinamrekebishia mkataba ili nae anufaike zaidi kupitia jasho lake sasa wewe Kondeboy akapige show ya million 40 halafu mwisho wa siku achukue million 10.

Lingine najua kinachokuumiza ni yule bwana mdogo kuwa na akili za kujiongeza na impact yake uliona alivyoanzisha hiyo Zoom Production, lakini naona siku hizi kila mahali unamuweka karibu director Kenny ili asiondoke chini yako, sasa nikuambie dogo hata hiyo zoom kawaachia ila anahitaji amani nanyi ili mfanye kazi ya kulisukuma gurudumu la mziki.

Ila nawaonya mkiendelea kumuwaza bwana mdogo mtapotea maana nguvu aliyonayo nyuma yake sisi wengine tunaijua mtachemka vibaya mno.
Maneno ya kuwa 'Domo' atapotea yameshakuwa bullshit story, yameanza zamani lakini ndiyo kwanza dogo anazidi kupaa.
He is a bloody strategist, he calculates every step. Mpaka waganga wa kienyeji walishajitokeza kwenye media uchwara wakimtabiria kupotea lakini ndiyo anazidi kupaa, biashara ya muziki na visa vya ushindani ni business so don't take any shit personal.
 
Sas ww unamfananisha harmonize&rayvanny kweny uhandishi
Harmonize akimpita kwanza rayvanny ndo tutaamini kama anaweza kumpita diamond, note,hakuna msanii na hatotokea wa kumpita diamond.harmonize hata 1/3 tu ya diamond ajafika sembuse kumtetemesha?au kwa kuwa unajiita jina la kauli mbiu ya tigo fiesta levels baby(shoga),afu pia usimfananishe diamond (mbingu) na huyo ruge wako(ardhi) sawa.
 
Harmonize akimpita kwanza rayvanny ndo tutaamini kama anaweza kumpita diamond, note,hakuna msanii na hatotokea wa kumpita diamond.harmonize hata 1/3 tu ya diamond ajafika sembuse kumtetemesha?au kwa kuwa unajiita jina la kauli mbiu ya tigo fiesta levels baby(shoga),afu pia usimfananishe diamond (mbingu) na huyo ruge wako(ardhi) sawa.
Wewe ndio akili hamna kabisa eti hakuna mwanamziki atakuja kumpita Domo wewe ushabiki wako wa kijijini kabisa kila kitu kina isha hao kina billgates wanapata wapinzani kina Bakhressa wanapata wapinzani itakua Domo
 
Nilichowaambia ni hiki nazan mmeamini .....kasikia mtoto anadondosha jiwe kesho kawashwa
Screenshot_2019-11-03-21-32-24.jpg
 
Kaka anajaribu kuficha hisia inashindikana
Mtu yuko busy na wasanii wenzie wakubwa ambao wamewahi kuchukua tuzo kubwa kubwa huko nchi za watu dunia iliko,kina wizkid tiwa savage nk, aanze kumfikilia msaani wa chitoholi kusini mwa gamboshi?

Aache kufikiria atakavyopiga hela kwenye wasafi festival aanze kumuwaza kijana ambae hata mtoto wa kusingiziwa hana(tasa)

Nyie nendeni tu mkaunge juhudi za Cloud's na UNO la mmakonde maana mziki umesha wakataa.
 
Nimewaambia kk atapagawa sasa kaenda kufanya sponsored kuitafuta namba moja
IMG_20191109_185815.jpg
 
Hiki ndio kitu Diamond alichotaka na kimeanza kufanya kazi, lengo lake lilikuwa awahamishe akili watanzania kutoka ushindani kati yake na ali kiba ambae kwa muda mrefu amesafiria nyota ya diamond na hiki kitu diamond hakikupemda

kwa sasa akili za wengi zimehamia kwenye ushindani Diamond vs Harmonize, Ali kiba hazungumziwi sana na hata Jana alipotoa ngoma haijabamba youtube.....Diamond alichifanya ni kama muuza chipsi kufungua banda la pili ili kumshusha jirani yake.

Hakuna bifu kati ya diamond na harmonize, ni mbinu tu ya kumpoteza kiba, hata harmonize anaendelea kumtania kishkaji diamond kwenye ngoma yake mpya,,,uno la Chibu chibu linamkondesha zari 😁 😁
 
Hiki ndio kitu Diamond alichotaka na kimeanza kufanya kazi, lengo lake lilikuwa awahamishe akili watanzania kutoka ushindani kati yake na ali kiba ambae kwa muda mrefu amesafiria nyota ya diamond na hiki kitu diamond hakikupemda

kwa sasa akili za wengi zimehamia kwenye ushindani Diamond vs Harmonize, Ali kiba hazungumziwi sana na hata Jana alipotoa ngoma haijabamba youtube.....Diamond alichifanya ni kama muuza chipsi kufungua banda la pili ili kumshusha jirani yake.

Hakuna bifu kati ya diamond na harmonize, ni mbinu tu ya kumpoteza kiba, hata harmonize anaendelea kumtania kishkaji diamond kwenye ngoma yake mpya,,,uno la Chibu chibu linamkondesha zari [emoji16] [emoji16]
sawa babu tale
 
Back
Top Bottom