Hebu acha kujivua nguo hadharani kwakuonyesha jinsi ulivyomtupu kichwani!Acha kujitoa ufaham kwa makusudi.Naomba niishie hapo.Aseeh kwahiyo alikiba management yake ni clouds ?
Clouds sio management yake ndo maana hawahusiki kupromo mziki wake.
Tatizo unataka wao walambe miguu ya mondi hata kama wanapata hasara..huo ni ujinga..
Yaani mnadhani mondi ni mungu asiongelewe
Taja msanii chini ya THT aliefika level za kimataifa.Full stopTakataka kabisaa.
Yaani wewe uchawa unakuharibu.
Wao clouds unawaona hata diamond mwenyewe ni matunda yao..yaani zao lao
Nafkiri unaijua THT na unajua imetoa vipaji vingapi.! Sasa ile ni zao lao..achilia mbali mondi mwenyewe.
Wao ilikuwa media inayohusika kusogeza muziki watu wausikie na hata social media hazikuwepo kwa watanzania wengi wa kipato cha kati.na chini.
Unajua hata juma nature ana tuzo ya MTV mama? Na tena alipata enzi hizo hakuna social media kama sasa access imekuwa rahisi mnoo mpka Huyo zuchu anajulikana hapo Nigeria..!
Utawaambia nini watu?
Lazima muwape heshima yao kwani wamecheza kwenye nafasi yao kama wcb wanavyofanya kwa sasa..
Nimemaliza bwana juma lokole
Huna unalolijua kuhusu cloudsHahaahh mbona sasa hapa wewe ndo umekataa ulichokikubali?
Alikiba ameenda hapo clouds kama wasanii wengine kutambulisha ngoma
Alikiba ana management yake inahusika na promo na wala sio clouds au kurudia rudia wimbo ndo kumpa promo?
Wewe hadi ukishawahi kuweka logo ya wasafi kama avatar yako sina cha kuongea na nilishaongea hapo.Taja msanii chini ya THT aliefika level za kimataifa.Full stop
Wewe mwenye kulijua hebu tuambieHuna unalolijua kuhusu clouds
Dogo unadhani Mimi ni chawa kama weweHebu acha kujivua nguo hadharani kwakuonyesha jinsi ulivyomtupu kichwani!Acha kujitoa ufaham kwa makusudi.Naomba niishie hapo.
Kwa saivi hata Mimi nikiamua kuwa msanii ni fasta kuna access sasa social media zinarahisisha.Zuchu licha yakuwa na umri mdogo ktk game lakini ni mkubwa sana kwasasa,huwezi kulinganisha na Linah,recho,lulu diva,shilole nk
Hahahhahaah naona umekimbia bro huleti chochote kinachoitwa fact Ku prove maneno yako ..Oooh, nimegundua huna chochote unachokijua kwenye tasinia ya mziki,huenda hujui hata maana ya promo kwenye mziki,hujui uhusiano uliopo kati ya Kiba na clouds.Nimeamua kukupuuza rasimi. innocent dependent njoo ujaribu na wewe ππππ
Sasa kama umeshamuita RAIS MTEULE TUNDU LISSU, unataka tumpe Kura za Nini tenaπ€?Naomba kuuliza Swali:
Kwa hivyo tumewaafikiana kwamba miaka 5 ya kwanza ya bwana magufuki , maisha ya wananchi hayajaboreshwa?
Kwani alivyoomba Kura 2015, si alisema maisha ya wananchi yataboreshwa na tutakuwa Ulaya?
Kama kashindwa awamu ya kwanza, kwanini apewe awamu ya pili?
Usipoteze kura yako kwa walioonesha kushindwa, mpe kura yako RAIS MTEULE TUNDU LISSU
ππππ We unadhani Hawa waliopo walioshindwa kutoboa,hawazioni hizo social medias? We unachukulia life simple Sana eeeh?Kwa saivi hata Mimi nikiamua kuwa msanii ni fasta kuna access sasa social media zinarahisisha.
Huyo zuchu labda ni msanii mkubwa kwenu
Hapana pia sijawadharau wasafi nao wana mchango wao kwenye game ya sasa.ππππ We unadhani Hawa waliopo walioshindwa kutoboa,hawazioni hizo social medias? We unachukulia life simple Sana eeeh?
Ila najua kabisa Afrimma Alikiba ndo alikuwa kwenye vipengele Vingi kuliko Dai[emoji23][emoji23][emoji23]Namba Sita namuona Zuchu na Diamond wakituwakilisha kimataifa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1584557
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
In factSasa kama umeshamuita RAIS MTEULE TUNDU LISSU, unataka tumpe Kura za Nini tena[emoji848]?
In fact,wewe Slut hauna uwezo wowote wa kumfanya Magufuli asirudi madarakani.In fact
Wewe whore, hatuhitaji kura yako
Hata mwalimu anapofundisha darasani sio wote watapata sawaHao wasanii wengine wamefika wap au ni diamond pekee ndio walimpa promo sana
Hizo ni jitihada binafsi, clouds media kupitia tawi lake THT walikikataa kipaji Cha diamond enzi hizo. Hivyo ni vyema ukakubali tu bwana mdogo juhudu binafsi ndizo zilizomfikisha pale alipo.Hata mwalimu anapofundisha darasani sio wote watapata sawa
Juhudi binafsi ndo hua znamfanya mwanafunz afaulu ila bila mwalim ni hakuna kituHizo ni jitihada binafsi, clouds media kupitia tawi lake THT walikikataa kipaji Cha diamond enzi hizo. Hivyo ni vyema ukakubali tu bwana mdogo juhudu binafsi ndizo zilizomfikisha pale alipo.
Juhudi binafsi ndo hua zinafanya mwanafunzi afaulu nothing elseHizo ni jitihada binafsi, clouds media kupitia tawi lake THT walikikataa kipaji Cha diamond enzi hizo. Hivyo ni vyema ukakubali tu bwana mdogo juhudu binafsi ndizo zilizomfikisha pale alipo.
Huo ualimu wa clouds kwa mond ni nini mkuu?Juhudi binafsi ndo hua znamfanya mwanafunz afaulu ila bila mwalim ni hakuna kitu
Juhudi binafsi ndo hua zinafanya mwanafunzi afaulu nothing else