WCB ndio imeshikilia Bongo Fleva kwa sasa, very creative label

Aseeh kwahiyo alikiba management yake ni clouds ?
Clouds sio management yake ndo maana hawahusiki kupromo mziki wake.
Tatizo unataka wao walambe miguu ya mondi hata kama wanapata hasara..huo ni ujinga..

Yaani mnadhani mondi ni mungu asiongelewe
Hebu acha kujivua nguo hadharani kwakuonyesha jinsi ulivyomtupu kichwani!Acha kujitoa ufaham kwa makusudi.Naomba niishie hapo.
 
Taja msanii chini ya THT aliefika level za kimataifa.Full stop
 
Hahaahh mbona sasa hapa wewe ndo umekataa ulichokikubali?
Alikiba ameenda hapo clouds kama wasanii wengine kutambulisha ngoma

Alikiba ana management yake inahusika na promo na wala sio clouds au kurudia rudia wimbo ndo kumpa promo?
Huna unalolijua kuhusu clouds
 
Taja msanii chini ya THT aliefika level za kimataifa.Full stop
Wewe hadi ukishawahi kuweka logo ya wasafi kama avatar yako sina cha kuongea na nilishaongea hapo.

Full stop
 
Hebu acha kujivua nguo hadharani kwakuonyesha jinsi ulivyomtupu kichwani!Acha kujitoa ufaham kwa makusudi.Naomba niishie hapo.
Dogo unadhani Mimi ni chawa kama wewe
Hebu basi elezea unalojua maana naona umekazana kuwa sisi hatujui we ndo unajua
 
Zuchu licha yakuwa na umri mdogo ktk game lakini ni mkubwa sana kwasasa,huwezi kulinganisha na Linah,recho,lulu diva,shilole nk
Kwa saivi hata Mimi nikiamua kuwa msanii ni fasta kuna access sasa social media zinarahisisha.

Huyo zuchu labda ni msanii mkubwa kwenu
 
Hahahhahaah naona umekimbia bro huleti chochote kinachoitwa fact Ku prove maneno yako ..

Sasa unadhani ukimuita chawa mwenzio inno atasema nini?
Kweli siku hizi wanaume tumebaki wachache mwanaume unanikimbia mwanaume mwenzako ..kisa tu nimekubana mbavu kidogo..

Hahahahahah innocent dependent eti wewe ndo mbabe wake?
 
Sasa kama umeshamuita RAIS MTEULE TUNDU LISSU, unataka tumpe Kura za Nini tenaπŸ€”?
 
Kwa saivi hata Mimi nikiamua kuwa msanii ni fasta kuna access sasa social media zinarahisisha.

Huyo zuchu labda ni msanii mkubwa kwenu
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ We unadhani Hawa waliopo walioshindwa kutoboa,hawazioni hizo social medias? We unachukulia life simple Sana eeeh?
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ We unadhani Hawa waliopo walioshindwa kutoboa,hawazioni hizo social medias? We unachukulia life simple Sana eeeh?
Hapana pia sijawadharau wasafi nao wana mchango wao kwenye game ya sasa.
Tatizo lipo kwako ulipoanzia kuwanyima value yao clouds kwani wameplay part yao kubwa mpk sasa
 
Namba Sita namuona Zuchu na Diamond wakituwakilisha kimataifa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Hata mwalimu anapofundisha darasani sio wote watapata sawa
Hizo ni jitihada binafsi, clouds media kupitia tawi lake THT walikikataa kipaji Cha diamond enzi hizo. Hivyo ni vyema ukakubali tu bwana mdogo juhudu binafsi ndizo zilizomfikisha pale alipo.
 
Hizo ni jitihada binafsi, clouds media kupitia tawi lake THT walikikataa kipaji Cha diamond enzi hizo. Hivyo ni vyema ukakubali tu bwana mdogo juhudu binafsi ndizo zilizomfikisha pale alipo.
Juhudi binafsi ndo hua znamfanya mwanafunz afaulu ila bila mwalim ni hakuna kitu
Hizo ni jitihada binafsi, clouds media kupitia tawi lake THT walikikataa kipaji Cha diamond enzi hizo. Hivyo ni vyema ukakubali tu bwana mdogo juhudu binafsi ndizo zilizomfikisha pale alipo.
Juhudi binafsi ndo hua zinafanya mwanafunzi afaulu nothing else

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…