Kama kawaida jeshi la mtu mmoja mwenye uwezo wa kumfanya kila anayemshika mkono awe mkubwaa tofauti na yule ambae ana mdogo wake anaitwa abdul hadi sasa ni underground mkongwe
Kutoa wimbo wa pamoja ni kawaida kwa wasanii walio pamoja si unaona vile weusi wanafanya
Ila ukweli usemwe tu,kiba katishaaaNdio ukweli huo mkuu jamaa amepata msaada wa mashabiki kutoka kwa wanao mchukia mond ila mond yuko peke ake anapambana nao vizuri tu
Kiba alianza yeye kutengeneza makundi kati yeye na dai wakati anataka kutoa wimbo wa mwana sasa sisi kama wanachama wa dai tukasimama kisawasawa hadi leo hvyo chuki aalianza nayo kiba ni vile tu anayeanza haonikani mbaya mmalizaji ndo mbayaKwahyo unajaribu kusema kuwa team WCB hawamchukii kiba
Hahahaha king pekee duniani anayefanya maajabu hayoDaah anajiita King alafu anatolea shooting TECNO W3......
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Maadui wa dai ni wengi siyo kiba tu ila sasa wameungana dhidi yake mtu mmojahakuna anayemfikiria na sasa ni wazi kwamba muda wote diamond anamfikiria KIBA ipo waaaazi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umetumia kigezo kipi kusema zimebumalabda waimbe a e i o u...katoa tatu zimebuma katoa eneka,nakukumbuka,fire afu jiiiiiiii kuskia seduce me katoa tena na next few days anatoa na patoranking bt ataburuzwa na seduce me mwaka mzima hahahahaaaaaaaaa.....KIIIIIING KIBAAAAAA uwe na huruma dogo anawaza had domo linaongezeka ukubwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nini maana ya kukopi tuanzie hapo kwanzaKwa ngoma gani anayotusua?mondi alikua zaman siku hizi anafanya mchezo wa ku-copy na ku-paste tu kwa kifupi anafanya comedy,kama ww ni msema kweli niambie ni ngoma ipi mondi kuanzia 2014 kafanya ya kipekee pasipo ku-copy ?
Sent using Jamii Forums mobile app
atakuwaje peke yake wakati wewe uko pamoja nae?Ndio ukweli huo mkuu jamaa amepata msaada wa mashabiki kutoka kwa wanao mchukia mond ila mond yuko peke ake anapambana nao vizuri tu