Nilishasema elimu inasaidia badhi wakanitolea povu. Pale kila moja anataka kumridhisha Dai maskini. Hadi body guard amekua video queen. Mwarabu fighterNdo raha ya kusoma [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] seven si mswahili!!yaani wamepanick!!
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] wataliaNilishasema elimu inasaidia badhi wakanitolea povu. Pale kila moja anataka kumridhisha Dai maskini. Hadi body guard amekua video queen. Mwarabu fighter
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiba amepata sapoti kubwa sana kutoka kwa mange.. Nahisi ile vita yake ya siasa sasa amehamishia kwa mond. Bashite ndo mshindi hongera Mh rc.
Kweli aisee wamekesha Leo....kama mkesha wa mwaka mpyaKITU CHA MIDA YA WANGA KILR,KIMEWATOA MAPOVU TEAM KIBA HAWAJALALAA KWENYE MAGROUP WANAHIMIZANA WAINGIEYOUTUBEKUMJAZIA VIEW KIBA
labda waimbe a e i o u...katoa tatu zimebuma katoa eneka,nakukumbuka,fire afu jiiiiiiii kuskia seduce me katoa tena na next few days anatoa na patoranking bt ataburuzwa na seduce me mwaka mzima hahahahaaaaaaaaa.....KIIIIIING KIBAAAAAA uwe na huruma dogo anawaza had domo linaongezeka ukubwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
huyu naye mzushi tu, huyo mond anamashabaki kibao, tukianza na mashabaki wake mwenyewe,Na bado mtatafutana sana, yaani ngoma moja tu mnatapatapa kila kona, moja haikai wala mbili haisimami!!!
Yoooooh!!
Kiba hana strategic huwa ni lazima ajibust kwa kutafuta vichokonoko kwa Mond ila wahenga tunammanya sana Mond...Mond ni moja ya Tunu za Taifa!Kama kawaida jeshi la mtu mmoja mwenye uwezo wa kumfanya kila anayemshika mkono awe mkubwaa tofauti na yule ambae ana mdogo wake anaitwa abdul hadi sasa ni underground mkongwe
Jitahidi kujikubalisha mawazo yako lakini usiforce tufanane mawazo.Ndio ukweli wenyewe huo dai yupo peke ake na mashabik zake huyo mwengine kapata msaada baada ya maadui wa dai kuungana
We team KIPUSA au team wemaaa,au mange kimambihivi umuweke kiba hapa na domo pale KE nani na ME nani?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] , domo kuanzia anavyojiweka had tabia ni KE mwaa mwii.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaka jichomeke kwenye magroup yao kuna vituko hukooo,maraa ooohh tunamuangusha boss wetuu,mara ooohh screen shoot tuone kama umeingia kumchangia you tube,hahahaaaa yani DAAAHH UTAFIKIRI wanalipwa
Unafikir hawajuiiii,TATZO TEAM ZAO WANAMPAMBANIA HUYU MUHENGA KIKONGWE ZILIPENDWAhizi nyimbo ni kweli zimebuma
iSIASA imemshinda sa hivi,anadai democracy lakini ulinambia kweli ana kublock sa sijui democracy gani anayotaka wakati the pillars of democracy tu ya tolerance inamshinda,ndo mana siku hizi watu wanamdharau tuKiba amepata sapoti kubwa sana kutoka kwa mange.. Nahisi ile vita yake ya siasa sasa amehamishia kwa mond. Bashite ndo mshindi hongera Mh rc.
Sent using Jamii Forums mobile app
Vip kuhusu mashabiki wa Zari,Raymond,Rich Mavoko,Harmonize,LavalavaKwanza diamond hana mashabiki bali ana wanachama.kupitia kwa diamond ndio maana kina lavalava,rayyvan,harmonize wana mashabiki lukuki na ndio maana endapo utataja top20 ya wasanii bora huwez kuacha kuwataja na wasanii wa wcb hvyo diamond ni jeshi la mtu mmoja lililoweza kuwapa nguvu anao washika mikono
Kiba anapata sapoti kutoka kwa mashabiki wake,mashabiki wa wema wa joketi wa mange na mashabik wa dimpoz na sasa wameongezeka mashabiki wa hamisa
Pamoja na kiba kusapotiwa na kundi kubwa la watu kwenye mitandao ila diamond anapambana peke ake yaan n jeshi la mtu mmoja na ana wapeleka puta maadui zake
HAKIKA DIAMOND SIO WA MCHEZO MCHEZO
Ukweli huo ndo hawautaki sasa,wacha wanyooke tuUkizungumzia biashara ya mziki hapa Tanzania,Intelligensia kubwa inayotumika kufanikisha biashara ya Mziki Tanzania,Hakiri kubwa iliyowekezwa kufanikisha Biashara ya Mziki Tanzania. Na vingine vyote vizuri hakika huwezi linganisha Alikiba na Diamond!!!
Na hata ukilinganisha maana yake unataka kumpa promo ambaye hana sifa ya kulinganishwa na Mtaalamu wa biashara ya Mziki!!!
Kuanzia leo tafadhali sana kulinganisha Diamond vs Alikiba kwenye Biashara hii ya Mziki!!!
Diamond si wa bongo kwa kulinganishwa! N wa kimataifa!!
Kiba unaweza mpambanisha na wasanii wa bongo lkn si Diamond.
Sent using Jamii Forums mobile app