WCB ni jeshi la mtu mmoja na alikiba ni muungano wa timu zipatazo 5

WCB ni jeshi la mtu mmoja na alikiba ni muungano wa timu zipatazo 5

Tuliozaliwa miaka ya 50s hapatuhusu hapa
 
labda waimbe a e i o u...katoa tatu zimebuma katoa eneka,nakukumbuka,fire afu jiiiiiiii kuskia seduce me katoa tena na next few days anatoa na patoranking bt ataburuzwa na seduce me mwaka mzima hahahahaaaaaaaaa.....KIIIIIING KIBAAAAAA uwe na huruma dogo anawaza had domo linaongezeka ukubwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
6f187b70c4a7255ab67ad5c50557370a.jpg
5ce16843c3a5642f8b49dbda0782f99d.jpg
04f78e40a3964ce0c2abec22030e27fa.jpg
2ac9885b69e86b3738631467ed02a92c.jpg
hizi nyimbo ni kweli zimebuma
 
Na bado mtatafutana sana, yaani ngoma moja tu mnatapatapa kila kona, moja haikai wala mbili haisimami!!!
Yoooooh!!
huyu naye mzushi tu, huyo mond anamashabaki kibao, tukianza na mashabaki wake mwenyewe,
mashabiki wa Zari wa ug na tz,
mashabiki wa moze iyobo na baby mama ake,
mashabiki wa bashite,
mashabiki wa le mutuz,
mashabiki wa harmo + mzungu wake,
mashabiki wa babu tale,
mashabiki wa sallam,
mashabiki wa rey van,
hapo sijaweka wa richmavoko, bi sandra, esma n.k n.k.
hilo jeshi la mtu mmoja kweli?
 
Kama kawaida jeshi la mtu mmoja mwenye uwezo wa kumfanya kila anayemshika mkono awe mkubwaa tofauti na yule ambae ana mdogo wake anaitwa abdul hadi sasa ni underground mkongwe
Kiba hana strategic huwa ni lazima ajibust kwa kutafuta vichokonoko kwa Mond ila wahenga tunammanya sana Mond...Mond ni moja ya Tunu za Taifa!
 
Ndio ukweli wenyewe huo dai yupo peke ake na mashabik zake huyo mwengine kapata msaada baada ya maadui wa dai kuungana
Jitahidi kujikubalisha mawazo yako lakini usiforce tufanane mawazo.
Sio wote tunaishi kiswahili au tunapenda kitu kwasababu ya wivu wa maendeleo au chuki binafsi. Acheni kuwa negative all the time.
Mwenye kujielewa anakuwa na category zake kwenye swala la mziki.
Bila kujali uteam kitu kizuri lazima kisifiwe
 
Ukizungumzia biashara ya mziki hapa Tanzania,Intelligensia kubwa inayotumika kufanikisha biashara ya Mziki Tanzania,Hakiri kubwa iliyowekezwa kufanikisha Biashara ya Mziki Tanzania. Na vingine vyote vizuri hakika huwezi linganisha Alikiba na Diamond!!!

Na hata ukilinganisha maana yake unataka kumpa promo ambaye hana sifa ya kulinganishwa na Mtaalamu wa biashara ya Mziki!!!

Kuanzia leo tafadhali sana kulinganisha Diamond vs Alikiba kwenye Biashara hii ya Mziki!!!

Diamond si wa bongo kwa kulinganishwa! N wa kimataifa!!
Kiba unaweza mpambanisha na wasanii wa bongo lkn si Diamond.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiba amepata sapoti kubwa sana kutoka kwa mange.. Nahisi ile vita yake ya siasa sasa amehamishia kwa mond. Bashite ndo mshindi hongera Mh rc.

Sent using Jamii Forums mobile app
iSIASA imemshinda sa hivi,anadai democracy lakini ulinambia kweli ana kublock sa sijui democracy gani anayotaka wakati the pillars of democracy tu ya tolerance inamshinda,ndo mana siku hizi watu wanamdharau tu
 
Kwanza diamond hana mashabiki bali ana wanachama.kupitia kwa diamond ndio maana kina lavalava,rayyvan,harmonize wana mashabiki lukuki na ndio maana endapo utataja top20 ya wasanii bora huwez kuacha kuwataja na wasanii wa wcb hvyo diamond ni jeshi la mtu mmoja lililoweza kuwapa nguvu anao washika mikono

Kiba anapata sapoti kutoka kwa mashabiki wake,mashabiki wa wema wa joketi wa mange na mashabik wa dimpoz na sasa wameongezeka mashabiki wa hamisa

Pamoja na kiba kusapotiwa na kundi kubwa la watu kwenye mitandao ila diamond anapambana peke ake yaan n jeshi la mtu mmoja na ana wapeleka puta maadui zake

HAKIKA DIAMOND SIO WA MCHEZO MCHEZO
Vip kuhusu mashabiki wa Zari,Raymond,Rich Mavoko,Harmonize,Lavalava

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukizungumzia biashara ya mziki hapa Tanzania,Intelligensia kubwa inayotumika kufanikisha biashara ya Mziki Tanzania,Hakiri kubwa iliyowekezwa kufanikisha Biashara ya Mziki Tanzania. Na vingine vyote vizuri hakika huwezi linganisha Alikiba na Diamond!!!

Na hata ukilinganisha maana yake unataka kumpa promo ambaye hana sifa ya kulinganishwa na Mtaalamu wa biashara ya Mziki!!!

Kuanzia leo tafadhali sana kulinganisha Diamond vs Alikiba kwenye Biashara hii ya Mziki!!!

Diamond si wa bongo kwa kulinganishwa! N wa kimataifa!!
Kiba unaweza mpambanisha na wasanii wa bongo lkn si Diamond.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukweli huo ndo hawautaki sasa,wacha wanyooke tu
 
Diamond anatia hasira jamani hahaa kuna watu watapewa mashuka Na net kabisa iliwakae miaka miwili ndo watoe tena nyimbo zao zinazoishia kibaha simbaaaaaaa[emoji23][emoji23][emoji23] ka ma mazuri vile
 
Back
Top Bottom