WCB ni jeshi la mtu mmoja na alikiba ni muungano wa timu zipatazo 5

Diamond anatia hasira jamani hahaa kuna watu watapewa mashuka Na net kabisa iliwakae miaka miwili ndo watoe tena nyimbo zao zinazoishia kibaha simbaaaaaaa[emoji23][emoji23][emoji23] ka ma mazuri vile
Watu vipaji vya kutunga vimeshaisha baada ya mwezi ndo anapata mstari mmoja lazma akae mwaka mzima ndo aweze kukamilisha ngoma moja maadui wa mond wanamsaidia sana walai
 
Vip kuhusu mashabiki wa Zari,Raymond,Rich Mavoko,Harmonize,Lavalava

Sent using Jamii Forums mobile app
Kabla ya zari kuwa na dai hakua na mashabiki wa maana ila baada ya kua na dai umaarufu wake ukaongezeka kwa sababu mashabiki wa mond nao wakawa wa zari

Ray hakuwai kuwa na mashabiki ila baada ya kusaini wcb nae akavuna utajiri wa mashabiki wa diamond hvyo bila ya dai huwenda hadi leo ray tusingemjua

Harmo hatukuwai kumjua kabla ila kupitia wcb nae akavuna mashabik wa dai

Rich alikua kashapotea ina maana mashabiki walikua washampotezea ila kutua kwake wcb nae akavuna mashabiki wa dai yaaan bila mond rich angekua underground mkongwe kama abdu kiba
 
iSIASA imemshinda sa hivi,anadai democracy lakini ulinambia kweli ana kublock sa sijui democracy gani anayotaka wakati the pillars of democracy tu ya tolerance inamshinda,ndo mana siku hizi watu wanamdharau tu
Sasa hivi kawa meneja wa king wa kariakoo
 
Diamond alinganishwe na davido na wizkid ni dhambi kubwa kumlinganisha na yoyote bongo
 
Ile kampeni insta umeiona lakin timu kubwa kubwa zikipambana na dai mmoja
Kwa hiyo mashabiki hawaruhusiwi kuhamasishana wampe support msanii wao...alafu sio kupambana na dai mmoja..ule wimbo sio wa dai ni wakikundi chote...ukiona mtoto anapiga kelele sana ujue mboko zimeingia...charaza bakora king kiba washaanza kuweweseka hukuπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Kiba alianza yeye kutengeneza makundi kati yeye na dai wakati anataka kutoa wimbo wa mwana sasa sisi kama wanachama wa dai tukasimama kisawasawa hadi leo hvyo chuki aalianza nayo kiba ni vile tu anayeanza haonikani mbaya mmalizaji ndo mbaya


Una uhakika kiba alitengeneza makundi au makundi yalijitengeneza yenyewe? Mbona mimi siyo team kiba na napenda baadhi ya nyimbo za mondi na kiba pia but simkubali mondi kwasababu ya mambo yake tuu
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Wimbo mpya aliouachia hauna ujumbe maksusi kama Sanaa inavyotaka.

Pamoja na kutokuwa na ujumbe mujarabu kama wenye akili timamu walivyochambua, bado Ali Kiba amefanikiwa kupata bahati ya kupendwa na wanaomchukia Diamond kama Wema, Jokate na Mange ambao kawala kawamaliza. Hawa hawatakaa wamsifie kwa wivu wa kimapenzi, ambalo ni jambo la kawaida.

Kundi la pili ni watu wenye huruma, hawa wameona kijana amebanwa sana katika soko na kushindwa kutengeneza pesa kwa muda mrefu.

Amepata bahati ambayo siyo rasmi vijana wa Midole Miwili wamejikita kumsaidia kama kumkomoa Diamond ambaye anajulikana kama mwana CCM.
 
Hivi Diamond alishawahi kutoka na Mange? Najua Wema na Jokate tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
in short Mimi nilikuwa die hard fan wa mondi nilikuwa siambiliki yani huniambii kitu kwa mondi nakumbuka kipindi kile cha kill music award nilipoteza msimbazi kumpigia kura ashinde. ila alichokuja kunikosea na kumwona siyo wa maana tena, ni kipindi kile cha uchaguzi alivyojitokeza hasharani kwa kuonesha mahaba ya dhati ya chama tawala.

kuanzia siku hiyo nilimvua vyeo nilibaki mpenzi mtazamaji atoe ngoma nzuri au mbaya sina time yaani siko upande wowote.

kuhusu kiba naweza sema ni msanii aliejaliwa sauti nzuri ya kipekee ila tatizo lake kichwani ni mweupe kwenye mashairi pia siyo mbunifu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…