WCB punguzeni kukopi na kupesti

WCB punguzeni kukopi na kupesti

Usher-smith MD

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2015
Posts
9,558
Reaction score
12,335
Utasikia Jason Deluro ndio kaiga [emoji23][emoji23][emoji23]
ImageUploadedByJamiiForums1462400794.536260.jpg
 
Video Director ndio mbeba lawama zote kwa kuiga IDEA za wengine, yaani vilevile
 
yaan asilimia kubwa ya nyimbo ya harmonize wameiga kutoka kwenye nyimbo hiyo ya derulo stupid love hata mwisho umalizikaji wa nyimbo unafanana kwa mademu wote kutoa machozi
 
Utasikia Jason Deluro ndio kaiga [emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 344836
mkuu una macho makali!!Ila hata hivo harmonize mwenyewe alisema ukiangalia interview alohojiwa na milard ayo kuna website ukiingia unaweza pata mawazo namna gani video yako iwe kulingana na ujumbe wa nyimbo yako!! itafute hio interview alofanya na milardayo!!
 
Hivi mara ya mwisho kibakuli kupiga shoo ilikuwa lini ............ ( watu kimya, chezea DIAMOND wewe ) kajitahidi mwenyewe kuingia kwenye maonyesho yake na yule mwenye makalio feki ili apate sapoti ya kambi ya pili lakini nayo kadunda.
 
Kuna wakati idea hufanana au wazungu hutuiga hapa simaanishi hii video namaanisha video ya YULE by AY na
Ule Wa Chris's brown mwishoni wote wameinama kisha msichana anakuja kumbuka AY NDO WA KWANZA
 
Back
Top Bottom