WCB This is Too Much

WCB This is Too Much

Kingsmann

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2018
Posts
4,805
Reaction score
17,850
Kila wimbo mnaotoa kwa sasa mnasifu tendo la ndoa, bora hata mngekuwa mnaimba issues zingine za mapenzi hapo sawa. Yani hata huu wimbo mpya wa dada yetu Queendarleen ni mrengo uleule, tena kaamua kuupa jina la direct kabisa, MUHOGO.

Kidogo Harmonize anajitahidi kugusa nyanja mbalimbali za mapenzi, lkn wengine wote mmebweteka hamuwezi hata kutumia tafsida.

Soon watu watawachoka sababu hamna jipya kwenye tunzi zenu, shame on you.
 
Hili ni kweli kabisa... Mimi nawakubali sana hawa jamaa tena ni shabiki yao kweli kweli, huwa tunabishana sana na watu kuhusu DABILIYUSIBI kwa sababu huwa nawatetea karibu katika kila wanalofanya.
Lakini hivi karibuni hizi nyimbo zao hata mimi zinaniudhi, melodi ni nzuri sana na zinapendwa na watu wengi tu, lakini ukisikiliza kwa makini wanachokiimba huwa nachukia.. bora ingekuwa kwenye baadhi ya nyimbo tu lakini hii kwa sasa imezidi.
Natamani wabadilike kidogo kiukweli katika hili, haiwajengei picha nzuri kwenye jamii kwa sasa maana karibu kila eneo wanapingwa kutokana tu na aina ya uimbaji wanaoufanya sasa hivi...
 
Mziki ni bzness kama mchele ndio unalipa na faida ya kutosha ndio na soko lake ni uwakika nikuendelea nao tu.
Eti ukakomae na mahindi wakati hayana soko la uwakika huo ni ukichaa kiongozi


Sent from my iPhone using JamiiForums
kabisa
 
Mziki ni bzness kama mchele ndio unalipa na faida ya kutosha ndio na soko lake ni uwakika nikuendelea nao tu.
Eti ukakomae na mahindi wakati hayana soko la uwakika huo ni ukichaa kiongozi


Sent from my iPhone using JamiiForums

Exactly
 
Kila wimbo mnaotoa kwa sasa mnasifu tendo la ndoa, bora hata mngekuwa mnaimba issues zingine za mapenzi hapo sawa. Yani hata huu wimbo mpya wa dada yetu Queendarleen ni mrengo uleule, tena kaamua kuupa jina la direct kabisa, MUHOGO.

Kidogo Harmonize anajitahidi kugusa nyanja mbalimbali za mapenzi, lkn wengine wote mmebweteka hamuwezi hata kutumia tafsida.

Soon watu watawachoka sababu hamna jipya kwenye tunzi zenu, shame on you.
Tuwachoke mara ngapi???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mziki ni bzness kama mchele ndio unalipa na faida ya kutosha ndio na soko lake ni uwakika nikuendelea nao tu.
Eti ukakomae na mahindi wakati hayana soko la uwakika huo ni ukichaa kiongozi


Sent from my iPhone using JamiiForums
Hata kama huo mchele unasumu uuzwe tu kwasababu unalipa huo ni ubinafsi uliotukuka ungepende umkute mtoto wako au mdogo wako wa miaka mitatu anaimba NYEGEZI ?
 
Kila wimbo mnaotoa kwa sasa mnasifu tendo la ndoa, bora hata mngekuwa mnaimba issues zingine za mapenzi hapo sawa. Yani hata huu wimbo mpya wa dada yetu Queendarleen ni mrengo uleule, tena kaamua kuupa jina la direct kabisa, MUHOGO.

Kidogo Harmonize anajitahidi kugusa nyanja mbalimbali za mapenzi, lkn wengine wote mmebweteka hamuwezi hata kutumia tafsida.

Soon watu watawachoka sababu hamna jipya kwenye tunzi zenu, shame on you.
They have run out of ideas, anyway it's an awful song. Yes shame on them.
 
Mziki ni bzness kama mchele ndio unalipa na faida ya kutosha ndio na soko lake ni uwakika nikuendelea nao tu.
Eti ukakomae na mahindi wakati hayana soko la uwakika huo ni ukichaa kiongozi


Sent from my iPhone using JamiiForums
Sio kweli unachosema. WCB wananguvu ya kuset trend, wangeweza kuimba bila kutumia matusi au kuimba mada zingine tofauti na kuhamasisha au kusifia ngono na bado wangekimbiza tu lakini naona sasa wao ndo wamekazana kutuhamasisha mambo ya kujamiiana tu mara kuzibua mitaro aaaah this is too much. Mi najiona ninavyoacha kushabikia muziki wa Bongo Flavour kwasababu niliowaaminia wananiangusha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom