WCB wamewekeza Sana ni halali Yao kuvuna walichokipanda

WCB wamewekeza Sana ni halali Yao kuvuna walichokipanda

Kama zilipishana hazikupishana miezi kibao sikumbuki upi ulitangulia kutoaka ila ilikuwa mwaka huo huo nadhani. Ila nilidhani Diamond ni msanii wa msimu na Belle atakuwa mkubwa sana. Nenda kamwambie sikuwahi kuolewa huo wimbo kabisa. Nilianza kumuelewa alipotoa mbagara, nitarejea sikuuelewa sana nilikuja kuelewa moyo wangu, kizaizai , mawazo ila hapo sasa nilikuwa nimekwisha kugundua tayari huyu kijana ni moto wa kuotea mbali.
Belle kwa upande mwingine kila ngoma yake na collabo aliyofanya niliikubali kuanzia ngoma yake ya masogange, we ni wangu, collabo yake na sheta, na nyingine.
Ni kama juzi kumbe zaidi ya miaka 13 iliyopita vile kweli wakati unaenda mbio
Ni kweli mkuu, hakika wewe ni mfatiliaji mzuri wa bongofleva.
 
Duh huo wimbo unatoka niko chuo mwaka wa pili. Wakati anaanza Belle 9 naye ndipo alipokuwa anatoka. Wimbo wa nenda kamwambie sikuwahi kuuelewa nikawa nasema huyu msanii wa msimu tu ila Belle wa kukaa.

Mara ikaja mbangara, nikaanza hisi huyo kijana mbona ananiprove wrong, ikaja nitarejea, sijakaa sawa ikaja moyo wangu, kizaizai akaniua kabisa na ukimwona (huu ni wimbo wangu classic kabisa),
Ghafla nikajikuta nimekuwa shabiki wake. Ila recently hajatoa wimbo wowote nikaupenda maan mimi siyo mpenzi wa masebene.


Hahaaha
 
bongotrending_tz-___CQTJZ5SLDgq___-.jpg
 
Back
Top Bottom