WCB Wanapo Recycle Vizee Vya Bongofleva Trying To Bring Back 1990's in 2016

WCB Wanapo Recycle Vizee Vya Bongofleva Trying To Bring Back 1990's in 2016

C.T.U Bro Umesema Vitu Rare Na Priceless Ila Lets Just B Honest Tunajua Kwa Nni Hzo Label Zinasign Hao Wakina Sinatra Na Wakinaphil Collns Na The Beatles,,,,ni Kwa Ajili Ya Kaz Walizotoa Si Kwa Ajili Ya New Material And U Seem To Know That Lakin Hyo Ina Faida Mbele Kwa Sababu Ya Macopyrights And Whatnots,,.Kwa Bongo Its Not A Smart Move,,,,,by The Way I Appreciate Umewataja Wakina Skrillex Na Paramore Na Coldplay Ngoja Nikachukue Ipod Nile Mangoma Za Hao Watu,,,,wala Haihusiani Ila My Favourite Track Of All Time Ni Viva La Vida
 
Yadda yadda dot com, point hamna. Tz iko kwenye baby steps about managing wasanii and here comes a loooonggg pointless thread. Kwani akiwa managed na huyo muhaya whoever he is kuna tatizo gani? Diamond anajaribu kuitangaza Tz and more, kuwa na label yake, akichukua mwanamuziki wa 90yrs old au 5 yrs old, does it matter? So, basically u sitting ur nasty behind somewhere waiting for wcb downfall right? Instead of ....wishing them the best and how hard they fight to represent/introduce Tanzania music to the world? Unadhani diamond angeshindwa ku sign ktk label kubwa ya nje kwa level aliyoko sasa? Do u think hajapata such offers? Why anazi turn down ana market WCB to the world? Hata iki fail, HE DID HIS BEST TO KEEP TANZANIA KWENYE RAMANI YA DUNIA fool! Ukitaka asaini wanamuziki unaotaka wewe fungua label yako bibie.
By the way Can u remind again mtanzania gani aliwahi kupata nominations japo mara moja tu za BET before Diamond?
I swear Watanzania wana roho za korosho hadi kwenye majeneza yenu zinaonekanaga! Hivi how much does it cost to wish somebody the best?? Sometimes najiulizaga ilikuwaje nikazaliwa kwenye linchi la watu wako super super NEGATIVE!!!!
U have said it all lady. Thank you.
 
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji12] [emoji12] [emoji12] Kama nakuona vile unapotokwa povuu[emoji36] [emoji36] [emoji36] , kutoka kimuziki ndo kuujua mziki? Acha kukalili unajua njia mbadala anazotumia ili ajulikane? Najua utatukana lakn kiukweli diamond hajui mziki na kuhusu whizkid yeye hakutoa promo yoyote na wala hakuomba kura and what abt domo mpaka wema kamuombea [emoji13] [emoji13] but what happened[emoji12] BET sio kili music wana vigezo vyao sio kubanabana pua tu ndo upewe tuzo, jiulize kaja kupewa tuzo MTU ambaye wala alikuw hadhaniwi. Relax hayo mahaba Niue yako kwa domo yatakuua kweli na bado[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
basi imba basi ww unaejua mziki......maneno meng lkn contentless
 
Lara mdogo wangu mziki wa bongo flava is a very complicated yaaani kuna kitu kinaitwa System ndio ambayo ilikuwa ina control the music for the last decade...

hiyo system ilikuwa inacontroliwa na baadhi ya watu ambao siwataji sasa hivi kwa sababu zangu binafsi..
hao watu ndio waliowaondoa kwenye ramani kina nature, sugu, jay, na kwa taarifa yako hao watu walitaka kumuondoa kwenye ramani diamond baada ya kuhitilafiana nao baadhi ya mambo...

na ndio wakamwingiza mtu fulani wa kum replace ila sema sasa kwa dimond wamefeli...
so they speak lugha ya diamond

hivi unajua kuna kituo fulani cha redio mjini hapa hakipigi nyimbo ya diamond kwa miaka kadhaa sasa hivi?

why??

jiulize

tuje issue ya kina nature unajua kuwa kuna watu wa enzi zetu hatuwaelewi kina nerdy, rayvanny, harmonize na wenzake

sie tunawaelewa kina nature, jay, doro, kr, na kina fanani... tunamiss watu hao na yes tukirudishiwa watu hao tutanunua kazi zao na tutakwenda kwenye shoo zao ndio maana mdogo wangu katika biashara kuna kitu kitu kinaitwa market segmentation wewe na wavaa supra msipoenda kwenye shoo za kina nature, msiponunua kazi zao jua kuna watu watataka kazi zao na kuna watu wanazimiss...
daimond anataka kufanya kitu kama hicho....


na hata kwenye record label kubwa duniani mfano hizo ulizotolea mfano umetolea mfano cashmoney

je unajua walimsign msanii Mysticak ambaye hakutoa nyimbo yeyote tokea 2001 album yake ya mwisho iliyoitwa Tarantula na around 2011 cashmoney walimsign ?
unajua kwanini market segmentation strategies

hao hao cashmoney wamemsign paris hilton wewe nyimbo za paris hilton hata moja unaijua?? huijui kwanini?? sio taste yako ya msanii na huyo paris hilton mara ya mwisho kutoa album ni mwaka 2006 ambapo aliitoa self titled album


umeongelea issue ya age eti juma nature ana 40 hawezi ku dub Atlantic Records sio wapumbavu kumsign Phil Collins kizee cha miaka 69 na kina Tony braxton,Missy Eliot wakati wao wana wasanii kama kina gratitude, King Floyd, Jojo, washkaji zangu matchbox twenty na etc unajua kwanini?

Market Segmentation why?? wanajua kabisa kwa vijana wa 20s watanunua kazi za kina paramole, wauza unga na ma negro watawasikiliza kina maino na lupe fiasco, wadada wa miaka 30s manegro watamsikiliza missy eliot, wazee wa 50s,kwenda juu Phill collins ofcourse


Hivyo hivyo kwa Capitol nao sio wajinga kuwa na vizee Red Hot Chilli Papper , Chingy, Dilated People, Faith Evans, Foo Fighters, Ice Cube wakati wana vijana kama kina Bastile, Alter Bridge, Coldplay na wengine wengi

tena hawa capitol ndio wanachekesha Frank Sinatra amefariki siku nyingi lakini mkataba wake bado wanau renew kila ukiisha wana sign a new contract why?

mwaka 2012 wamesign kuwa ndio wasimamizi wa kundi la the beatles worldwide wakati ni kundi ambalo hali exist anymore are they stupid?? no my dear they are very clever more than you think..


hao Red Hot chilli paper katika billboard katia Billboard album yao mpya hii kuna nyimbo inaitwa Dark Neccessities ile kuingia tu inapanda fasta sana kuelekea chati za juu wiki hii imekuwa ya nane wiki iliyopita imekuwa ya 10 hapo maana yangu stressed out ya 21 pilots inashuka kwa kasi sana so wazee ni wazee tu naona madogo wanawapisha wazee




Hitimisho langu ni hili kuna tatizo kubwa sana kwenye MEDIA za Tanzania hasa watangazaji wa vipindi vya burudani wanaujua mziki kidogo sana yaani wana cycle ndogo mno katika kuujua mziki

mtu ambaye anaujua mziki pekee ni massoud massoud ila hawa wengine hawa hamna kitu east africa wana kipindi chao cha gheto wanasema wanapiga nyimbo za nje ila wao utakuta wanapiga nyimbo za naigeria nje ya afrika watampiga drake, tyga, fetty wap, wamemaliza ukiwauliza unawajua bastile, awolnation, avicii, hozier, foster the people wanabaki wametoa macho kama mjusi aliyebanwa na mlango Queen FIFI anajitahidi lakini sio kwa kiwango kikubwa baado sana amebase sana kwenye trap music

xxl ya clouds fm kule ndio ushuzi mtupu wasipopiga all the way up ya fat joe wanahisi bado hawajapiga nyimbo Kennedy the remedy ndio khaaaaa kuna siku mtu aliomba nyimbo ya neck of the woods ya birdman ft lil wayne eti yeye akamrekebisha akasema nyimbo inaitwa uptown Kumbe yeye ndio kakosea nyimbo inaitwa neck of the woods


haya kina mamy na adam mpaka leo hawajui kuwa major lazer ni KUNDI wao wakipiga nyimbo ya major lazer wanasema eti huyu jamaa anaitwa major lazer wanashindwa kuelewa major lazer ni kundi la kina diplo na jillionaire



huu upeo mdogo wa media kuchagua wasanii wa kuwapiga ndio kunawafanya wasanii wengine nyimbo zao zisiwe zinaonekana Tanzania sana

leo hii watu wanamjua Tekno kuliko Hozier, leo hii Tanzania watu wanamjua yemi alade kuliko Kelly Clakson, watu wanamjua AKA kuliko 21 pilots, watu wanawajua dbanji kuliko Skrillex watu wanamjia wizkid kuliko Avicii na mie wala siwashangai ni kwa sababu media zetu zimewafanya hao watu wawe maarufu kuliko hawa


ile nyimbo ya homecoming ya kanye west ft cris martin watangazaji fulani walisema kanye west kamshirikisha undergroud chris martin wakati chris martin ni superstar kuliko kanye west

bob ft hailey williams nyimbo ile ya airplane watangazaji fulani nao wakasema bob kamshirikisha undergroud yaani wamesahau kuwa hailey williams ni superstar kuliko B.o.b au hawakuwa wanajua masikini


so hilo ndio tatizo tunalili face sasa hivi


anachokifanya DIMOND ni kitu ambacho label zote kubwa duniani unazozijua wewe zinafanya alichofanya WCB ndio Interscope wamefanya kumsign MADONA na bado wana SERENA GOMEZ

ndicho walichokifanya Columbia kumsign Celine Dion wakati wana kina Katharine Macphee


ukistaajabu ya diamond na WCB utayaona ya MERCURY records kuwa sign U2 wakati wana Justin Bieber
Aisee kumbe kuna watu wanajua mziki km jf yaan tatizo la wabongo wao wanasikilza clouds xxl nyimbo zenye izo izo tu kila cku na wao wanakaririshwa n wasanii hao hao hao ndo yale mtu anamshangaa et black coffe ndo nani wao wanawajua wakina yemi alade, N wiz kid hao 21 pilots n wakali sana ila wabongo hawajui halafu kuna hawa OneRepublic nao wanafanya mziki mzuri sana
 
Huyu Lara 1.... Mkuu Kuna maneno ya kisomali kwenye post yako? Kuna mawe mpaka tunashindwa ku grasp content ya post.
 
mtu ambaye anaumia ukifanikiwa/anafurahi ukikosa tuzo anawezaje kukushauri ufanikiwe? mtu anayeleta hoja ya ushauri ni muongo tuu sema kapata njia ya kuwasilisha hisia indirectly,point ya team kiba ya ushauri ni uongo mtupu.haha! ni njia ya kuficha tabia za kichawi.
 
Kwamba eti hata Jide wakati yupo na Ruge alikuwa anazoa tuzo za nje ukweli ni kwamba tuzo karibu zote ni za East African category na hakuwahi hata mara moja kuchukua competitive overall African category... kama ipo; taja moja!

Umemzungumzia Said Fella! Hata kama hakubahatika kuchukua; Juma Nature alishawahi kuwa nominated MTV Europe na kuchukua tuzo ya Channel O East African category chini ya huyo huyo Saed Fella!

Ungefahamu kwanini Babu Tale alitaka support ya Fella kum-manage Diamond wala usingehangaika kutoa mfano wa Tip Top connection!

Kwamba engineer wa yote hayo ni Ruge vinginevyo basi haya yanayoonekana kwa Diamond yangeanza kwanza kuonekana kwa THT!

Itoshe tu kusema kwamba, Diamond amefika pale alipo cuz' he's hungry guy... tough and hardworking huku akipata back up ya kutosha kutoka kwa Sallam ktk level za kimataifa pamoja na Fella & Tale kwenye soko la nyumbani!

BTW, hivi kweli leo hii mtu unaweza kusema kufungua label ni kumuiga XYZ au ili mradi tu uweke negativity?! Hivi mfanyakazi anayepata shida ya usafiri kisha akanunua gari ndo utasema ameiga wakati ni jambo la wazi kwake? Hivi leo Ray Kigosi akipata mkwanja wa maana akaamua kujenga studio ya film ndo utasema amewaiga Universal, MGM au Walt & Disney wakati hayo ni mambo ya kawaida kwenye film industry?!
 
Bro Samahan Naomba Nitajie Hit Ya Madonna In The Last 3yrs Na Ilipeak Namba Ngap Kwenye Billboard Charts
Samahan Bro Naomba Nitajie Hit Ya Mwisho Ya Madonna Na Ilipeak Number Ngap Kwenye Billboard Charts,,,,,sawa Pengne Mleta Uzi Alianza Kwa Kusema Vtu Tokana Na Ushabiki/sio Ushabiki Wake Ila Lazma Ukubali Alichosema Kina Substance Mi Ni Fan Mkubwa Wa Diamond Lakini Juma Nature,,,really, Na Nimenotice Hzo Mbwembwe Za Kumpondea Dai Ni Style Yake Ya Uandish Mleta Uzi Maana Thread Zake Nyingi Zinaanza Kwa Mtindo Huo Igweeeeeeeeeeeeeeee Just Angalia Content What Shes Saying Is MOSTLY True

katika album ya mwisho ya madonna iitwayo Rebel Heart ya mwaka jana kama sijakosea nyimbo ya living for love ilishika namba 1 kwenye billboard dance songs chat (ikumbukwe billboard wana categories) na album yenyewe ilishika namba 2 kwenye billboard top 200 swali jingine?
 
Aisee kumbe kuna watu wanajua mziki km jf yaan tatizo la wabongo wao wanasikilza clouds xxl nyimbo zenye izo izo tu kila cku na wao wanakaririshwa n wasanii hao hao hao ndo yale mtu anamshangaa et black coffe ndo nani wao wanawajua wakina yemi alade, N wiz kid hao 21 pilots n wakali sana ila wabongo hawajui halafu kuna hawa OneRepublic nao wanafanya mziki mzuri sana


one republic wana sound kama Muse wako poa sana..
 
Bro Samahan Naomba Nitajie Hit Ya Madonna In The Last 3yrs Na Ilipeak Namba Ngap Kwenye Billboard Charts
Samahan Bro Naomba Nitajie Hit Ya Mwisho Ya Madonna Na Ilipeak Number Ngap Kwenye Billboard Charts,,,,,sawa Pengne Mleta Uzi Alianza Kwa Kusema Vtu Tokana Na Ushabiki/sio Ushabiki Wake Ila Lazma Ukubali Alichosema Kina Substance Mi Ni Fan Mkubwa Wa Diamond Lakini Juma Nature,,,really, Na Nimenotice Hzo Mbwembwe Za Kumpondea Dai Ni Style Yake Ya Uandish Mleta Uzi Maana Thread Zake Nyingi Zinaanza Kwa Mtindo Huo Igweeeeeeeeeeeeeeee Just Angalia Content What Shes Saying Is MOSTLY True
Jukwaa la great thinkers naona limevamiwa....Naona na wewe una tatizo la comparing.. Tunavyoongelea hii topic inabidi utumie akili ya ziada kufanya analysis ya mtu anayeongelewa kwenye maada kulingana na mfano nliotoa unaosupport feasibility ya anayeongelewa (nature)
Madonna kwa sasa ana miaka 57 which is far more than a miracle kwamba bado ni mwanamziki...Fanya compare Madonna yule aliyekuwa age sawa kama za juma nature kwenye 40... Nenda google mbona kwenye miaka ya 40s Madonna alikuwa yupo poa tu...wasanii ambao wapo kwenye 40s na bado wanahit wapo wengi just google. Mkuuu....usipende kumtendea haki mtu mfupi kwa kumpigisha magoti mtu mrefu ili wafanane na mfupi
 
Kwamba eti hata Jide wakati yupo na Ruge alikuwa anazoa tuzo za nje ukweli ni kwamba tuzo karibu zote ni za East African category na hakuwahi hata mara moja kuchukua competitive overall African category... kama ipo; taja moja!

Umemzungumzia Said Fella! Hata kama hakubahatika kuchukua; Juma Nature alishawahi kuwa nominated MTV Europe na kuchukua tuzo ya Channel O East African category chini ya huyo huyo Saed Fella!

Ungefahamu kwanini Babu Tale alitaka support ya Fella kum-manage Diamond wala usingehangaika kutoa mfano wa Tip Top connection!

Kwamba engineer wa yote hayo ni Ruge vinginevyo basi haya yanayoonekana kwa Diamond yangeanza kwanza kuonekana kwa THT!

Itoshe tu kusema kwamba, Diamond amefika pale alipo cuz' he's hungry guy... tough and hardworking huku akipata back up ya kutosha kutoka kwa Sallam ktk level za kimataifa pamoja na Fella & Tale kwenye soko la nyumbani!

BTW, hivi kweli leo hii mtu unaweza kusema kufungua label ni kumuiga XYZ au ili mradi tu uweke negativity?! Hivi mfanyakazi anayepata shida ya usafiri kisha akanunua gari ndo utasema ameiga wakati ni jambo la wazi kwake? Hivi leo Ray Kigosi akipata mkwanja wa maana akaamua kujenga studio ya film ndo utasema amewaiga Universal, MGM au Walt & Disney wakati hayo ni mambo ya kawaida kwenye film industry?!

Hahaaaaa! Hizo za EA sio tuzo? Kabla ya Jide ni msanii gani aliwahi kuzoa japo hizo tu.

Juma Nature alivogombana na Said Fella kumbuka alivoweka wazi kabisaa kwenye media Fella ni MNYONYAJI na hakuwa na mchango wowote kwenye tuzo zake.

Felle na Tale yale yale VIVULI VYA MHAYA TU.

THT kwa Ruge ni CHARITY ila Dimond, Ray C, Jide are or were BUSINESS.

Ofcurse Dai is hardworking na Ruge is one hell of a manger. HASHINDWI. Sema tu ndo ukitaka upate, ukubali apate zaidi yako.

Kuhusu Negativity I AM ONE HELL OF A NEGATIVE MF. Guilty as charged.
 
Jukwaa la great thinkers naona limevamiwa....Naona na wewe una tatizo la comparing.. Tunavyoongelea hii topic inabidi utumie akili ya ziada kufanya analysis ya mtu anayeongelewa kwenye maada kulingana na mfano nliotoa unaosupport feasibility ya anayeongelewa (nature)
Madonna kwa sasa ana miaka 57 which is far more than a miracle kwamba bado ni mwanamziki...Fanya compare Madonna yule aliyekuwa age sawa kama za juma nature kwenye 40... Nenda google mbona kwenye miaka ya 40s Madonna alikuwa yupo poa tu...wasanii ambao wapo kwenye 40s na bado wanahit wapo wengi just google. Mkuuu....usipende kumtendea haki mtu mfupi kwa kumpigisha magoti mtu mrefu ili wafanane na mfupi
Nimekuelewa The Real Great Thinker
 
Hahaaaaa! Hizo za EA sio tuzo? Kabla ya Jide ni msanii gani aliwahi kuzoa japo hizo tu.

Juma Nature alivogombana na Said Fella kumbuka alivoweka wazi kabisaa kwenye media Fella ni MNYONYAJI na hakuwa na mchango wowote kwenye tuzo zake.

Felle na Tale yale yale VIVULI VYA MHAYA TU.

THT kwa Ruge ni CHARITY ila Dimond, Ray C, Jide are or were BUSINESS.

Ofcurse Dai is hardworking na Ruge is one hell of a manger. HASHINDWI. Sema tu ndo ukitaka upate, ukubali apate zaidi yako.

Kuhusu Negativity I AM ONE HELL OF A NEGATIVE MF. Guilty as charged.
East African Category is like any other East African Awards ambayo ingeweza kutolewa EA but inakuwa independent category outside EA... mnapambanishwa wana EA Musicians tupu, is like KTMA... no stiff competition! Ilikuwa ukishabamba Tanzania, unajihakikishie tuzo East African Category... ni kama akina Lulu wanavyojihakikishia Tuzo za Filamu Bora za Kiswahili hata kama tuzo hizo zitatolewa Alaska!

Kwamba Fella alikuwa mnyonyaji kwangu sio jambo la kusikia bali kuliona mwenyewe ingawaje ukweli ni kwamba hata Fella mwenyewe alikuwa akinyonywa; sana tu na wajanja! On top of that, wapo ambao ni kweli walikuwa wakinyonywa terribly... bado nakumbuka baadhi ya wasanii kulipwa Sh.5000/= baada ya show ya uzinduzi wa album pale Billz! Hata hivyo, Nature alikuwa ni mmoja wa wanufaikaji wa unyonyaji wa Fella! Lakini kubwa kuliko yote, ni Fella ndie alimfanya Nature awe more organized na ndio maana baada ya kupigana nae chini, Nature akaanza kupotea taratibu!

Fella na Tale ni kivuli cha Mhaya inategemea na tafsiri yako! Kikubwa wanachokifahamu Fella na Tale ni fitina za muziki wa Kibongo! Don't underestimate them linapokuja suala fitina za kibongo... huyo Ruge mwenyewe anasubiri!

THT is just a Charity? Yaani kv wanasema isn't for profit ndo basi tena unaamini Ruge anatangaza dini pale? You're smart than this hasa ukizingatia kwamba kuna charities kibao hata makanisani na misikiti na bado watu wanapiga pesa ndefu huko!
 
C.T.U asante sana kwa list hiyo.Nyimbo tamu sana...Ubarikiwe sana.Napataje you tube hizo?Zipo kwenye category gani?Nipe neno ambalo naweza andika nikaletewa songs kali kama hizo.Again asante asante asante saana!
 
Lara mdogo wangu mziki wa bongo flava is a very complicated yaaani kuna kitu kinaitwa System ndio ambayo ilikuwa ina control the music for the last decade...

hiyo system ilikuwa inacontroliwa na baadhi ya watu ambao siwataji sasa hivi kwa sababu zangu binafsi..
hao watu ndio waliowaondoa kwenye ramani kina nature, sugu, jay, na kwa taarifa yako hao watu walitaka kumuondoa kwenye ramani diamond baada ya kuhitilafiana nao baadhi ya mambo...

na ndio wakamwingiza mtu fulani wa kum replace ila sema sasa kwa dimond wamefeli...
so they speak lugha ya diamond

hivi unajua kuna kituo fulani cha redio mjini hapa hakipigi nyimbo ya diamond kwa miaka kadhaa sasa hivi?

why??

jiulize

tuje issue ya kina nature unajua kuwa kuna watu wa enzi zetu hatuwaelewi kina nerdy, rayvanny, harmonize na wenzake

sie tunawaelewa kina nature, jay, doro, kr, na kina fanani... tunamiss watu hao na yes tukirudishiwa watu hao tutanunua kazi zao na tutakwenda kwenye shoo zao ndio maana mdogo wangu katika biashara kuna kitu kitu kinaitwa market segmentation wewe na wavaa supra msipoenda kwenye shoo za kina nature, msiponunua kazi zao jua kuna watu watataka kazi zao na kuna watu wanazimiss...
daimond anataka kufanya kitu kama hicho....


na hata kwenye record label kubwa duniani mfano hizo ulizotolea mfano umetolea mfano cashmoney

je unajua walimsign msanii Mysticak ambaye hakutoa nyimbo yeyote tokea 2001 album yake ya mwisho iliyoitwa Tarantula na around 2011 cashmoney walimsign ?
unajua kwanini market segmentation strategies

hao hao cashmoney wamemsign paris hilton wewe nyimbo za paris hilton hata moja unaijua?? huijui kwanini?? sio taste yako ya msanii na huyo paris hilton mara ya mwisho kutoa album ni mwaka 2006 ambapo aliitoa self titled album


umeongelea issue ya age eti juma nature ana 40 hawezi ku dub Atlantic Records sio wapumbavu kumsign Phil Collins kizee cha miaka 69 na kina Tony braxton,Missy Eliot wakati wao wana wasanii kama kina gratitude, King Floyd, Jojo, washkaji zangu matchbox twenty na etc unajua kwanini?

Market Segmentation why?? wanajua kabisa kwa vijana wa 20s watanunua kazi za kina paramole, wauza unga na ma negro watawasikiliza kina maino na lupe fiasco, wadada wa miaka 30s manegro watamsikiliza missy eliot, wazee wa 50s,kwenda juu Phill collins ofcourse


Hivyo hivyo kwa Capitol nao sio wajinga kuwa na vizee Red Hot Chilli Papper , Chingy, Dilated People, Faith Evans, Foo Fighters, Ice Cube wakati wana vijana kama kina Bastile, Alter Bridge, Coldplay na wengine wengi

tena hawa capitol ndio wanachekesha Frank Sinatra amefariki siku nyingi lakini mkataba wake bado wanau renew kila ukiisha wana sign a new contract why?

mwaka 2012 wamesign kuwa ndio wasimamizi wa kundi la the beatles worldwide wakati ni kundi ambalo hali exist anymore are they stupid?? no my dear they are very clever more than you think..


hao Red Hot chilli paper katika billboard katia Billboard album yao mpya hii kuna nyimbo inaitwa Dark Neccessities ile kuingia tu inapanda fasta sana kuelekea chati za juu wiki hii imekuwa ya nane wiki iliyopita imekuwa ya 10 hapo maana yangu stressed out ya 21 pilots inashuka kwa kasi sana so wazee ni wazee tu naona madogo wanawapisha wazee




Hitimisho langu ni hili kuna tatizo kubwa sana kwenye MEDIA za Tanzania hasa watangazaji wa vipindi vya burudani wanaujua mziki kidogo sana yaani wana cycle ndogo mno katika kuujua mziki

mtu ambaye anaujua mziki pekee ni massoud massoud ila hawa wengine hawa hamna kitu east africa wana kipindi chao cha gheto wanasema wanapiga nyimbo za nje ila wao utakuta wanapiga nyimbo za naigeria nje ya afrika watampiga drake, tyga, fetty wap, wamemaliza ukiwauliza unawajua bastile, awolnation, avicii, hozier, foster the people wanabaki wametoa macho kama mjusi aliyebanwa na mlango Queen FIFI anajitahidi lakini sio kwa kiwango kikubwa baado sana amebase sana kwenye trap music

xxl ya clouds fm kule ndio ushuzi mtupu wasipopiga all the way up ya fat joe wanahisi bado hawajapiga nyimbo Kennedy the remedy ndio khaaaaa kuna siku mtu aliomba nyimbo ya neck of the woods ya birdman ft lil wayne eti yeye akamrekebisha akasema nyimbo inaitwa uptown Kumbe yeye ndio kakosea nyimbo inaitwa neck of the woods


haya kina mamy na adam mpaka leo hawajui kuwa major lazer ni KUNDI wao wakipiga nyimbo ya major lazer wanasema eti huyu jamaa anaitwa major lazer wanashindwa kuelewa major lazer ni kundi la kina diplo na jillionaire



huu upeo mdogo wa media kuchagua wasanii wa kuwapiga ndio kunawafanya wasanii wengine nyimbo zao zisiwe zinaonekana Tanzania sana

leo hii watu wanamjua Tekno kuliko Hozier, leo hii Tanzania watu wanamjua yemi alade kuliko Kelly Clakson, watu wanamjua AKA kuliko 21 pilots, watu wanawajua dbanji kuliko Skrillex watu wanamjia wizkid kuliko Avicii na mie wala siwashangai ni kwa sababu media zetu zimewafanya hao watu wawe maarufu kuliko hawa


ile nyimbo ya homecoming ya kanye west ft cris martin watangazaji fulani walisema kanye west kamshirikisha undergroud chris martin wakati chris martin ni superstar kuliko kanye west

bob ft hailey williams nyimbo ile ya airplane watangazaji fulani nao wakasema bob kamshirikisha undergroud yaani wamesahau kuwa hailey williams ni superstar kuliko B.o.b au hawakuwa wanajua masikini


so hilo ndio tatizo tunalili face sasa hivi


anachokifanya DIMOND ni kitu ambacho label zote kubwa duniani unazozijua wewe zinafanya alichofanya WCB ndio Interscope wamefanya kumsign MADONA na bado wana SERENA GOMEZ

ndicho walichokifanya Columbia kumsign Celine Dion wakati wana kina Katharine Macphee


ukistaajabu ya diamond na WCB utayaona ya MERCURY records kuwa sign U2 wakati wana Justin Bieber

Redio pekee iliyokuwa inajitahidi siku za karibuni ni choice fm lakini tangu walipoanza uswahili ikaaribika na massod massod pia kuna jabiri Salehe ktk upande Wa hiphop.
 
Lara mdogo wangu mziki wa bongo flava is a very complicated yaaani kuna kitu kinaitwa System ndio ambayo ilikuwa ina control the music for the last decade...

hiyo system ilikuwa inacontroliwa na baadhi ya watu ambao siwataji sasa hivi kwa sababu zangu binafsi..
hao watu ndio waliowaondoa kwenye ramani kina nature, sugu, jay, na kwa taarifa yako hao watu walitaka kumuondoa kwenye ramani diamond baada ya kuhitilafiana nao baadhi ya mambo...

na ndio wakamwingiza mtu fulani wa kum replace ila sema sasa kwa dimond wamefeli...
so they speak lugha ya diamond

hivi unajua kuna kituo fulani cha redio mjini hapa hakipigi nyimbo ya diamond kwa miaka kadhaa sasa hivi?

why??

jiulize

tuje issue ya kina nature unajua kuwa kuna watu wa enzi zetu hatuwaelewi kina nerdy, rayvanny, harmonize na wenzake

sie tunawaelewa kina nature, jay, doro, kr, na kina fanani... tunamiss watu hao na yes tukirudishiwa watu hao tutanunua kazi zao na tutakwenda kwenye shoo zao ndio maana mdogo wangu katika biashara kuna kitu kitu kinaitwa market segmentation wewe na wavaa supra msipoenda kwenye shoo za kina nature, msiponunua kazi zao jua kuna watu watataka kazi zao na kuna watu wanazimiss...
daimond anataka kufanya kitu kama hicho....


na hata kwenye record label kubwa duniani mfano hizo ulizotolea mfano umetolea mfano cashmoney

je unajua walimsign msanii Mysticak ambaye hakutoa nyimbo yeyote tokea 2001 album yake ya mwisho iliyoitwa Tarantula na around 2011 cashmoney walimsign ?
unajua kwanini market segmentation strategies

hao hao cashmoney wamemsign paris hilton wewe nyimbo za paris hilton hata moja unaijua?? huijui kwanini?? sio taste yako ya msanii na huyo paris hilton mara ya mwisho kutoa album ni mwaka 2006 ambapo aliitoa self titled album


umeongelea issue ya age eti juma nature ana 40 hawezi ku dub Atlantic Records sio wapumbavu kumsign Phil Collins kizee cha miaka 69 na kina Tony braxton,Missy Eliot wakati wao wana wasanii kama kina gratitude, King Floyd, Jojo, washkaji zangu matchbox twenty na etc unajua kwanini?

Market Segmentation why?? wanajua kabisa kwa vijana wa 20s watanunua kazi za kina paramole, wauza unga na ma negro watawasikiliza kina maino na lupe fiasco, wadada wa miaka 30s manegro watamsikiliza missy eliot, wazee wa 50s,kwenda juu Phill collins ofcourse


Hivyo hivyo kwa Capitol nao sio wajinga kuwa na vizee Red Hot Chilli Papper , Chingy, Dilated People, Faith Evans, Foo Fighters, Ice Cube wakati wana vijana kama kina Bastile, Alter Bridge, Coldplay na wengine wengi

tena hawa capitol ndio wanachekesha Frank Sinatra amefariki siku nyingi lakini mkataba wake bado wanau renew kila ukiisha wana sign a new contract why?

mwaka 2012 wamesign kuwa ndio wasimamizi wa kundi la the beatles worldwide wakati ni kundi ambalo hali exist anymore are they stupid?? no my dear they are very clever more than you think..


hao Red Hot chilli paper katika billboard katia Billboard album yao mpya hii kuna nyimbo inaitwa Dark Neccessities ile kuingia tu inapanda fasta sana kuelekea chati za juu wiki hii imekuwa ya nane wiki iliyopita imekuwa ya 10 hapo maana yangu stressed out ya 21 pilots inashuka kwa kasi sana so wazee ni wazee tu naona madogo wanawapisha wazee




Hitimisho langu ni hili kuna tatizo kubwa sana kwenye MEDIA za Tanzania hasa watangazaji wa vipindi vya burudani wanaujua mziki kidogo sana yaani wana cycle ndogo mno katika kuujua mziki

mtu ambaye anaujua mziki pekee ni massoud massoud ila hawa wengine hawa hamna kitu east africa wana kipindi chao cha gheto wanasema wanapiga nyimbo za nje ila wao utakuta wanapiga nyimbo za naigeria nje ya afrika watampiga drake, tyga, fetty wap, wamemaliza ukiwauliza unawajua bastile, awolnation, avicii, hozier, foster the people wanabaki wametoa macho kama mjusi aliyebanwa na mlango Queen FIFI anajitahidi lakini sio kwa kiwango kikubwa baado sana amebase sana kwenye trap music

xxl ya clouds fm kule ndio ushuzi mtupu wasipopiga all the way up ya fat joe wanahisi bado hawajapiga nyimbo Kennedy the remedy ndio khaaaaa kuna siku mtu aliomba nyimbo ya neck of the woods ya birdman ft lil wayne eti yeye akamrekebisha akasema nyimbo inaitwa uptown Kumbe yeye ndio kakosea nyimbo inaitwa neck of the woods


haya kina mamy na adam mpaka leo hawajui kuwa major lazer ni KUNDI wao wakipiga nyimbo ya major lazer wanasema eti huyu jamaa anaitwa major lazer wanashindwa kuelewa major lazer ni kundi la kina diplo na jillionaire



huu upeo mdogo wa media kuchagua wasanii wa kuwapiga ndio kunawafanya wasanii wengine nyimbo zao zisiwe zinaonekana Tanzania sana

leo hii watu wanamjua Tekno kuliko Hozier, leo hii Tanzania watu wanamjua yemi alade kuliko Kelly Clakson, watu wanamjua AKA kuliko 21 pilots, watu wanawajua dbanji kuliko Skrillex watu wanamjia wizkid kuliko Avicii na mie wala siwashangai ni kwa sababu media zetu zimewafanya hao watu wawe maarufu kuliko hawa


ile nyimbo ya homecoming ya kanye west ft cris martin watangazaji fulani walisema kanye west kamshirikisha undergroud chris martin wakati chris martin ni superstar kuliko kanye west

bob ft hailey williams nyimbo ile ya airplane watangazaji fulani nao wakasema bob kamshirikisha undergroud yaani wamesahau kuwa hailey williams ni superstar kuliko B.o.b au hawakuwa wanajua masikini


so hilo ndio tatizo tunalili face sasa hivi


anachokifanya DIMOND ni kitu ambacho label zote kubwa duniani unazozijua wewe zinafanya alichofanya WCB ndio Interscope wamefanya kumsign MADONA na bado wana SERENA GOMEZ

ndicho walichokifanya Columbia kumsign Celine Dion wakati wana kina Katharine Macphee


ukistaajabu ya diamond na WCB utayaona ya MERCURY records kuwa sign U2 wakati wana Justin Bieber
nimesisimka sana kusoma post yako bro music unaujua....natamani sana siku moja ray c awe mmoja wao...yaani katika wanamuziki wa kike ni ray c na jaydee tu
 
Back
Top Bottom