WCB Wasafi kiwanda Bora cha mziki mjini

WCB Wasafi kiwanda Bora cha mziki mjini

Slowly

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2016
Posts
10,589
Reaction score
35,268
Watanzania tumejaaliwa majungu chuki na wivu , hzo ndizo zawadi Bora kabisa tulizoachiwa, na Kwa kweli tupo vizur na tunazitendea haki,.....thus why Sisi ni moja kati ya nchi kumi zenye umaskini wa kutupwa duniani, .... hata hvyo katika sekta ya burdani Tanzania, WCB isifananishwe na utopolo mwingine wwte , hata Kondegang kampuni tanzu ya WCB inachechemea against well organized WCB Wasafi ... Hope comeback ya Kiba itanogesha game

Endelea kuenjoy na wababe wa music Tanzania

IMG_20210629_204448.jpg
 
Sijaona ubora wowote wa muziki kisa trend ambayo hutengenezwa na wati hao kucomment kwenye v husika

Ubora wa muziki hata Jolie kawashinda nje ya mahab yako otherwise uwe mwanafunzi unaesubiria.shuke kufunguliwa
 
Sijaona ubora wowote wa muziki kisa trend ambayo hutengenezwa na wati hao kucomment kwenye v husika

Ubora wa muziki hata Jolie kawashinda nje ya mahab yako otherwise uwe mwanafunzi unaesubiria.shuke kufunguliwa
Huyo jolie Nani anamfahamu? Wasafi wanafanya mziki kwajili ya watu wengi na hitaji ya soko na ndio maana Ngoma zao nyingi zinakuwa hitsong kwa sababu zinapendwa na wengi.Hiv unazani kwanini wasanii wengi wa zamani wanaoachia Ngoma zao kwenye kipindi hiki Ngoma zao nyingi hazifanyi vizuri?
 
WCB kuna mitambo hatari ya kuzalisha mahitsong ya kutosha... naamini siku wakiamua wasafi wote and their co waachie nyimbo kwa pamoja. huko youtube trend ya 1-10 itatekwa..
itakuwa hv
1. mond
2. zuchu
3. rayvanny
4. mbosso
5. lavalava
6. romy jones
7. baba levo
8. dulla makabila
9. queen darlin
10. gigy mtonyo
 
WCB kuna mitambo hatari ya kuzalisha mahitsong ya kutosha... naamini siku wakiamua wasafi wote and their co waachie nyimbo kwa pamoja. huko youtube trend ya 1-10 itatekwa..
itakuwa hv
1. mond
2. zuchu
3. rayvanny
4. mbosso
5. lavalava
6. romy jones
7. baba levo
8. dulla makabila
9. queen darlin
10. gigy mtonyo
Mwisho ni 6 hapo hao viumbe wa chini sijui umewatoa wapi mkuu.
 
Sijaona ubora wowote wa muziki kisa trend ambayo hutengenezwa na wati hao kucomment kwenye v husika

Ubora wa muziki hata Jolie kawashinda nje ya mahab yako otherwise uwe mwanafunzi unaesubiria.shuke kufunguliwa
IQ yako imefanana na mwandiko wako.
 
Back
Top Bottom