WCB Wasafi kusaini wasanii wapya wawili, mashahidi wao watatoka BASATA na COSOTA

WCB Wasafi kusaini wasanii wapya wawili, mashahidi wao watatoka BASATA na COSOTA

sinza pazuri

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2014
Posts
3,344
Reaction score
9,066
IMG-20220815-WA0001.jpg

Huu ndio utaratibu mpya wa recording label namba moja Africa.

Japo hauwezi kuzuia watu wabaya kuwarushia maneno ila utapunguza wachimba chumvi kutema nyongo zao.

Kwa sasa kupata nafasi WCB Wasafi linakuwa ni jambo la kitaifa.

WCB for life baby!

===
Alichoandika Babu Tale.... Hivi karibuni tuta sain wasanii wawili kujiunga lebo ya Wasafi ila safari hii tumeamua msanii atakua na mashaidi wawili kutoka COSOTA na BASATA. Music ni biashara yetu na nijukumuletu kukuza na kusimamia hii kazi atuwezi kuacha hata iwe vipi.
 
Maumivu unayopitia ni yakujitakia ukiacha roho mbaya na chuki utapata nafuu. WCB ndio kwanza kumekucha subirini muione show mfundishwe biashara ya muziki. Kuna watu mtawasahau kabisaaa.
😂
 
Mkiupata mkataba pandisheni PDF hapa.

Usikute ulikua wa kiingereza masikini wasanii lugha ya kisheria hawakuielewa.
Cosota na Basata nao watakuwa hawaja uwelewa?Manake pale wanasheria wapo.

Ila naona wana discuss mikataba ya label ya WCB tu, ila wanasahau mikataba ya label nyingine, hapo ndipo unapojua chuki zao kwa WCB wamezificha kwenye mikataba.

Cha ajabu hao wanaolalamikiwa kunyonywa wapo vizuri kuliko wasanii wa label nyengine, cha ajabu hawajiulizi why wasanii wa WCB wapo vizuri kuliko wengine.
 
Back
Top Bottom