TADPOLE
JF-Expert Member
- Nov 18, 2015
- 2,914
- 9,472
Hii nchi ina watu wa ajabu kinoma na ndio maana no wonder ni moja ya nchi za watu maskini duniani,watu wamejaa husda na chuki zisizo na msingi na hata wasanii wanaojitoa WCB wanajua hili ndio maana wakitoka wanaanza kutafuta public sympathy kwa watu wenye husda na WCB hili waendelee kuhit..Cosota na Basata nao watakuwa hawaja uwelewa?Manake pale wanasheria wapo.
Ila naona wana discuss mikataba ya label ya WCB, ila wanasahau za label nyingine, hapo ndipo unapojua chuki zao kwa WCB wamezificha kwenye mikataba.
Cha ajabu hao wanaolalamikiwa kunyonywa wapo vizuri kuliko wasanii wa label nyengine, cha ajabu hawajiulizi why wasanii wa WCB wapo vizuri kuliko wengine.
Mtu kama Harmonize point yake sijui ni nini mara aseme alikuwa ameridhika na asilimia 40 za Wcb ila kilichomuondoa ni figisu za kina Sallam mara tena aseme ananyonywa na mkataba alisaini mwenyewe yaan fujo tupu,label kubwa duniani hasa zile zinazomilikiwa na Universal(Universal inamiliki zaidi ya asilimia 98 ya soko la music zikiwemo label kubwa za music kama Def Jam ma interscope records na nyinginezo) huwa zinatoa around asilimia 13 mpaka 28 za mapato kwa wasanii aheri asilimia 40 za wcb na mikataba huwa ni ya maisha, utakuta msanii marekani anamilikiwa na label tano moja inahusika na publishing,nyingine recording let say na zote zinamkata asilimia za production hiyo ndio dunia ya kibepari inavyoenda