sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
Sasa itakuwa 80%60% tamu sana ujue
Chawa msainiwe na nyieSasa itakuwa 80%
Mkataba wetu tutawaletea JF muuchambue mpaka mkiridhika ndio tutausainChawa msainiwe na nyie
Wewe mkataba utaishia kuusikia kwenye story za vijiwe vya wanywa kahawa huko ujijiMkataba wetu tutawaletea jf muuchambue mpaka mkiridhika ndio tutausain
Unaongea alafu unajikataa una roho ya mkosaji stress zinakusumbua unaigiza uanaharakatiWewe mkataba utaishia kuusikia kwenye story za wanywa kahawa ujiji
Harakati za kudai haki hadi kwenye sanaa ni muhimu πUnaongea alafu unajikataa una roho ya mkosaji stress zinakusumbua unaigiza uanaharakati
Shiba kwanza ndio ufanye harakati kinachokusumbua sio haki ni njaa ukiwa na njaa unaona kila mtu muonevu.Hatakati za kudai haki hadi kwenye sanaa ni muhimu π
Ndio hivyo lebo imechuja lakini inasain wasanii wapya wawili nchi nzima inawasubiri wasanii wa lebo iliyochujaSema ukweli hii lebo imeshachuja asaiv hata huyo mond nae wa kawaida tu kama kina mb Dogg na matonya akomae na radio tu muziki awaachie kondeboy na rayvanny
πMaumivu unayopitia ni yakujitakia ukiacha roho mbaya na chuki utapata nafuu. WCB ndio kwanza kumekucha subirini muione show mfundishwe biashara ya muziki. Kuna watu mtawasahau kabisaaa.
Sema ukweli hii lebo imeshachuja asaiv hata huyo mond nae wa kawaida tu kama kina mb Dogg na matonya akomae na radio tu muziki awaachie kondeboy na rayvanny
View attachment 2324837
Huu ndio utaratibu mpya wa recording label namba moja Africa.
Japo hauwezi kuzuia watu wabaya kuwarushia maneno ila utapunguza wachimba chumvi kutema nyongo zao.
Kwa sasa kupata nafasi WCB Wasafi linakuwa ni jambo la kitaifa.
WCB for life baby!
MBONA UNATESEKA BILA SABABU YA MSINGI???Chawa msainiwe na nyie
Na wewe ni mataga wa wcb?MBONA UNATESEKA BILA SABABU YA MSINGI???
Cosota na Basata nao watakuwa hawaja uwelewa?Manake pale wanasheria wapo.Mkiupata mkataba pandisheni PDF hapa.
Usikute ulikua wa kiingereza masikini wasanii lugha ya kisheria hawakuielewa.