Alwatan
Nikikwambia nawajua kwa undani marehemu Elam (Guru) na DJ Premier tangu wakiwa Boston hawajaenda NYC,sio nasema for the sake of it..Nawajua vizuri.
Ndio maana nakwambia,I dare you,weka link hapa!
Marehemu Guru hajawahi kua na beef na Curtis Jackson,na nina media interviews zote za marehemu mpaka mauti yake.Hajawahi fanya interview akamzungumzia Curtis Jackson in any capacity,na hakua na beef lolote nae.Ninasema hivi kwa maana ninajua.Post yako uliyotoa ni uongo mtupu,na ulifikiri watu watakua hawamjui Guru kwa karibu hivyo watakua na uelewa suspect.
Hiyo beef haipo,na hiyo interview haipo kabisa.Weka ushahidi hapa.
Na sisemi hivi kubishana na wewe.Im a hiphop head,na Gangstarr is my number hiphop duo of all times,I have all their materials.
Kama kweli wewe ni mkweli,niwekee hiyo interview hapa tumalize mabishano!Simple!