Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thank youI just like your comments!!
Be blessed!!
Cloud FM na TV hawapigi ngoma za diamond na crew ya wasafi..!! Hata wewe ukiwa na tangazo ukalipitia utapiguwa tuS
Shigongo alijaribu akashindwa juzi kareport tukio la Hyatt kauza magazeti kama hana akili kapiga kopi mara mbilimbili WCB ni kama maji tu utayasusia kisa yamesomba mazao yako shambani,wakati huo huo unayahitaji uyanywe na kusafishia mwili wako.....by the way Clouds wanapiga ngoma za wcb kama kawaida tu na wanamtangazia Diamond Karanga kila siku....Don talk myth speak the fact....japokuwa hii hoja yako ningependa ichukuliwe kama ushauri na sio going on act....!!
ukishakuwa na nguvu kwenye social network...yeyote....Mfano Instagram na YouTube... basi ujuwe ata media zikogoma kuplay nyimbo zako...unakuwa umeshawin.sasa Diamond kweny social network yuko vizur yeye na wasanii wake.MKuu usicheze na Media,Media zina nguvu sana,zinaweza kukushusha na ukapotea kabisa kwenye ramani,utabaki kupigwa kwenye bajaji na bodaboda tu.
Kwani wasaniii walikuwa wanaenda kwa ajili ya mziki au Mambo ya madawa ya kulevyaMziki wenyewe kiujumla naona kwa sasa umepoa sana show hawapati wasanii vidili dili vya kwend sauth vimepungua
Yeah, not for everyone coz it's a VIRTUEA nice one!
Sadly, staying humble is a habit that takes years to develop!
It's an art and probably a talent!
It's not for everyone!
Mbona huwa nazisikia nyimbo zao huko?
MKuu usicheze na Media,Media zina nguvu sana,zinaweza kukushusha na ukapotea kabisa kwenye ramani,utabaki kupigwa kwenye bajaji na bodaboda tu.
It's possible...It can be achieved!A nice one!
Sadly, staying humble is a habit that takes years to develop!
It's an art and probably a talent!
It's not for everyone!
Hapana
Zari hadi uku unama fekeroWanasema pata hela tukujue tabia yako Heshima inaanzia nyumbani ukianzia mama yake kutwa vijembe anatukana watu insta uhuni vibenten yote yake dada yake nae bendera fataupepo wanajiona kama watoto wa bakhresa vile, domo skendo za hovyo hovyo kuto muheshimu mke wake umalaya uliokithiri kuchezea mabinti hata under 18 ngono inanuka kwanzia kwao mpaka ofice nzima, kiki za kipumbavu kila uchwao tume wachoka domo umalaya umepiku kazi zake sasa hivi mpaka ma dancer wanavimba sijui wanajiona kina nani haswa, ngoma ikilia sana mwishowe hupasuka wakwendeee[emoji57]
Unajitekenya halafu unacheka mwenyeweHivi hao jamaa bado wapo? Sijawasikia muda sasa. Kiburi kwa media hakitawaacha wakiwa salama.
Bado ndoto izo mnazoNdiyo maporomoko hayo
Alama za nyakatiBado ndoto izo mnazo