WCB Wasafi wamebaki wakiwa..Tatizo ni nini?

Kwnza uku tunapoelekeaa Tv na Redio ztapunguza watazamaji kwa asilimia 50...vitabaki kutazamwa vipnd vichache sanaaaaa km shilawadu na vyingne.....hii inatokana na Waandaaji kutokua wabunifu....Kitu kingine sikuizi kuna utandawazi sana wananchi wanataka kupata kitu wanachokihitaji kwa muda wanaoutaka hii inapelekea watu kuikacha tv na redio na kukimbilia mitandaoni (youtube na insta) mfano: Unakuta mtu yuko busy muda mwingi kwahyo karibu vipindi vyote anavyovipenda ana vimiss mwsho wa cku anaona nibora akaacha tu kulipia ela kwa ajili ya kingamuzi akanunua bando akavicheki vitu vyote online....sina maana kwamba Tv na radio havina muhimu...maana yangu ni kwamba vinazd kupoteza ubora kutokana na kukua kwa technolojia.....technolojia inakua kwa kasi uku Tv na redio vikienda slow slow....Kwa mtu kama mimi nna mwaka sijasikiliza redio...Tv yenyew naangaliaga nikikosa bundle
 
kweli mkuu hawa clouds ni wangese sana ipo siku watashuka, tulikua na tbc taifa,kisha earadio sasa ni wao clouds .its a matter of time watashuka tu, wanajikuta miungu mtu, wananiboa kinyama, wanataka kusujudiwa kama ruby alichokifanya, kwa mond watasubri sana
 

Hapa meneja wa WCB akiwa na mmiliki wa clouds media groups wakiteta mambo yao makubwa.
Na kupata muda wa dinner yenye future zidi ya WCB wasafi.
KAMA MWENYE MBWA KASEMA NDIO WW NANI WAKUSEMA HAPANA JU YA DIAMOND [emoji184] na lebo yake.



Picha hz zote ni DUBAI anakoishi CEO
4-2-2018
 


Haya sawa....Jiulize kwa nini Lavalava na Mbosso wanatoa nyimbo mpya wanaenda zitambulisha radio zote kasoro Clouds, Efm ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…