Barcelona763
Member
- Mar 9, 2018
- 26
- 21
😃😃😃😃😃watu wakinyimwa the morning glory wanaleta threads za mwendokasi
Nitaelewa baada ya kunywa uji Wa uleziushidani wa kutoa nyimbo kutoka wasafi records. Rich Mavoko malalamiko yake inaonyesha kuwa upedeleo kati ya wale wanaopewa kibao katika lebo hiyo. Rich Mavoko lazima ajiondoae kwenye lebo hiyo aikoe career yake ya muziki.C.E.O wa lebo ya WCB Wasafi Diamond Platinumz hajafanya lolote kuhusu malalamiko yake inaonyesha hana uongozi mzuri.View attachment 845456
Hapo ndo katulia..hawezi kuandika vizuri zaidi ya hivyoMkuu hebu tulia uandike kitu kinachoeleweka.
hahahahah mkuu umeona eeh?? ushaona kuwa na Hans mtanashati huwa anaandika uharo mtupu .ule mnyarwanda hana akili.umeandika kama unashindana na hance mtanashati.